Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kuwa mwanamke wa kwanza kuweza ambapo baadhi ya wanaume waneshindwaHatimaye nimefanikiwa
Asante sanaHongera kuwa mwanamke wa kwanza kuweza ambapo baadhi ya wanaume waneshindwa
Ahsante sana Mkuu, hatimaye nami nimefanikiwa. Sana nafurahia Kodi.chini yake kuna option mbili za hardware acceleration jaribu kuzi untick.
Pita post za nyuma yote unayoyataka yashajadiliwaHellow mkuu tafadhali naomba nielekezwe jinsi gani nifanye katka kodi niweze angalia tv za bongo kama Star tv ITV TBC Channel 10 nk naomba nielekezwe A To Z ikiwa ni pamoja na Addons husika Asante mkuu Nawasilisha.
page ya 49, 48, 47 kushuka ndio zina hizo tv nenda utazikutaHellow mkuu tafadhali naomba nielekezwe jinsi gani nifanye katka kodi niweze angalia tv za bongo kama Star tv ITV TBC Channel 10 nk naomba nielekezwe A To Z ikiwa ni pamoja na Addons husika Asante mkuu Nawasilisha.
ipo kwenye nn hiyoDuuh nimefurahia soka zuri kupitia moneysports bila kukatakata yani clear kabisaaaa madrid akimuuwa mtu.
nimeziweka kwenye kodi zinafanya kazi vizuri tu japo quality si kubwa sana ila server ni nzuri hazinati nati
![]()
![]()
![]()
jinsi ya kuzieka kwenye kodi yako
1. download attachment hapo chini
2.ikiwa kwenye pc right click then extract
3. litatokea folder la tv ndani utakuta file la tv.strm
fungua kodi then fuata njia hizi
nenda video then files then add videos, kutatokea windows click browse halafu navigate hadi lilipo folder la tv then click ok utaona neno tv ukiliclick zitatokea tv zote.
Pc yangu inaonyesha rangi mbayaa naweza kurekebisha rangi????
Nice one kaka!!!Habari zenu wadau wote wa humu. Leo napenda kuwaletea link moja hasa kwa wale wapenzi wa muziki wa Afrika. Hii link au m3u ni channel iitwayo HIT AFRICA. http://136.243.130.143/tvchannel/ngrp:hitafrica_all/playlist.m3u8
Mkuu naomba ile link ya ku check mpira youtuberangi mbaya kivipi? hujabadilisha display ya hio pc? ni laptop au desktop?
Naomba hilo file plsmimi nina file la m3u list, kama unataka sema nikushushie. unatumia box au player gani kuangalia?