iyengamuliro
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 819
- 366
Msaada ndugu sijakuelewa unafungua hivyo VLC kwa browser au hayo maandishi ya kiarabu?.Wakuu Salama ?
leo nimekuja special kwa wale wapenda soka ninawaletea njia smart sana kwa kuangalia kila aina ya soka katika laptop au simu......
kwanza kabisa install VLC player ktk laptop au simu.
kisha fungua kwa njia ya web browser hii website:
قنوات البث المباشر
click ktk neno limeandiwa :
مشاهدة البث
hapo utaona channel inafanya kazi.
uzuri wa njia hii hakuna mambo ya freezing na kuna channel 10.
Amani ya mola iwe nanyi.
Habari wana forum mi natumia FREESAT decoder napata Sport 24 HD ambayo inaonyesha ligi kuu lakini kwa sasa signal imeshuka mpaka 55 badala ya 60 kwasasa ina scratch nina dishi la futi 8 kama mwenye skills naomba niweze kuongeza signal ?
Asante sana Mkuu...mwazo signal quality 60 na ilikuwa fresh bila scratch but now imeshuka 55 na ina scratch sana....ngoja nitafute hiyo Inverto thn ni set dish upya...Thnx sanatoka mwanzo kulikua na scratch?
au mwanzo ilikua sawa ?
kama mwanzo ilikua safi na sasa tu ndio limeanza scratch hio itakua dish limecheza.
na kama toka mwanzo lilikua na tatizo basi jaribu kuweka LNB aina ya Inverto.
na dish kama lina mawimbi jaribu kurekebisha.
asante
vifaa vya madish vinapatikana msimbazi nyuma ya jengo la simba, sijawahi kukosa kitu pale,Mkuu skydmx hizo LNB aina ya Inverto C BAND zinapatikana kwa gharama gan na maeneo yapi? Kama kuna duka unalijua unaweza kunipa info...Help please
vifaa vya madish vinapatikana msimbazi nyuma ya jengo la simba, sijawahi kukosa kitu pale,
kuna LNB za 40,000 na 10,000 jamaa za C jamaa waliniambia hio ya 40 ni kwa ajili ya maeneo ambayo signal hushuka
Mkuu skydmx hizo LNB aina ya Inverto C BAND zinapatikana kwa gharama gan na maeneo yapi? Kama kuna duka unalijua unaweza kunipa info...Help please
ni tatizo la gpu mkuu unatumia kifaa gani?mkuu muanzisha uzi nimedownload KODI ila hai display video nimefunga aljezira nasikia watu wanaongea tu siwaoni
natumia desk top computer ya HPni tatizo la gpu mkuu unatumia kifaa gani?
unaweza ukaiforce kodi itumie cpu tu kwa kwenda setting then kwenye video setting kwenye acceleration utakuta kuna software na hardware render untick hardware then tick software, kuna baadhi ya vifaa unaweza kuta mpangilio tofauti ila concept ni hio hio
ttz jingine hii app nimeiweka kwenye taskbar kila nikiifungua badala ya kufunguka moja kwa moja ,naanza upya tena kuinstall na kuirun upya, i mean haifunguki moja kwa mojani tatizo la gpu mkuu unatumia kifaa gani?
unaweza ukaiforce kodi itumie cpu tu kwa kwenda setting then kwenye video setting kwenye acceleration utakuta kuna software na hardware render untick hardware then tick software, kuna baadhi ya vifaa unaweza kuta mpangilio tofauti ila concept ni hio hio