Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Yaah niligugo nikaipata ya phoenix....ya superRepo ndo sijaipata mkuu..na naihitaji kwaajili ya channels za dstv....au kama kuna plugin nyingine yenye hizi channels waweza nipatia...

Mkuu sorry kwa kuchelewa kujibu naona Chief Mkwawa kajitahidi kukuelekeza hapo juu...

Binafsi nina kitu hiki nataka nikufafanulie...

Katika KODI huwa kuna repository na addon, repository ni maktaba ambayo hubeba addons nyingi ndani yake. Ni kama vile ilivyo kwa atlas ni kitabu chenye taarifa za ramani za nchi nyingi.

Sasa kuna repositories nyingi tu watu wamekuwa wakizitengeneza mfano lambda, metakettle n.k.

Superrepo nayo ni mojawapo ya repositoy maarufu tu na ni developer wa mwanzo kabisa.(sikumbuki vizuri ndani ya superrepo kama kuna phoenix addon)

Phoenix ni addon kama ilivyo Vdubt25, Sportsdevel n.k

Sasa unapotaka kuinstall addon yoyote kuna njia mbili za kufanya hivyo.

1. Unanstall kwanza repository kwa kuadd source ya repository, kwa kawaida huwa ni url link.
Ukisha-add repository kutokea ndani yake ndio utaendelea kuinstall addon.

2. Njia ya pili ni kudownload moja kwa moja addon file ambalo ni zip, then kutokea katika local storage unainstall hiyo addon kwa KODI.

Pia hapa Nina zip file ya azam TV na star TV aliyoweka Watu8 ila nimesahau jinsi ya kuiweka ili nizipate hizi channels.

Hili nilishaeleza huko nyuma post #176

Kwa kuwa wewe umeshapakua lile file nililoweka basi anza kufuatilia maelekezo hatua ya pili...
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sorry kwa kuchelewa kujibu naona Chief Mkwawa kajitahidi kukuelekeza hapo juu...

Binafsi nina kitu hiki nataka nikufafanulie...

Katika KODI huwa kuna repository na addon, repository ni maktaba ambayo hubeba addons nyingi ndani yake. Ni kama vile ilivyo kwa atlas ni kitabu chenye taarifa za ramani za nchi nyingi.

Sasa kuna repositories nyingi tu watu wamekuwa wakizitengeneza mfano lambda, metakettle n.k.

Superrepo nayo ni mojawapo ya repositoy maarufu tu na ni developer wa mwanzo kabisa.(sikumbuki vizuri ndani ya superrepo kama kuna phoenix addon)

Phoenix ni addon kama ilivyo Vdubt25, Sportsdevel n.k

Sasa unapotaka kuinstall addon yoyote kuna njia mbili za kufanya hivyo.

1. Unanstall kwanza repository kwa kuadd source ya repository, kwa kawaida huwa ni url link.
Ukisha-add repository kutokea ndani yake ndio utaendelea kuinstall addon.

2. Njia ya pili ni kudownload moja kwa moja addon file ambalo ni zip, then kutokea katika local storage unainstall hiyo addon kwa KODI.



Hili nilishaeleza huko nyuma post #176

Kwa kuwa wewe umeshapakua lile file nililoweka basi anza kufuatilia maelekezo hatua ya pili...

Asante mkuu
 
Asante mkuu

Niliuninstall kodi sasa kila nikijaribu kuinstall upya napewa ujumbe huuu
Nashindwa nifanyeje na hata version ya kwanza nayo inagoma😕😕😕
 

Attachments

  • 1442045085298.jpg
    1442045085298.jpg
    9.7 KB · Views: 216
Niliuninstall kodi sasa kila nikijaribu kuinstall upya napewa ujumbe huuu
Nashindwa nifanyeje na hata version ya kwanza nayo inagoma😕😕😕

Cheki na app manager kama kodi imetoka yote
 
Cheki na app manager kama kodi imetoka yote

Bado tu mkuu inakuja error no 24 nimejaribu hata ile njia ya kurwfreash palystore kwa kuforce stop-uninstall updates then clear data bado tu
 

Attachments

  • 1442091902476.jpg
    1442091902476.jpg
    22.7 KB · Views: 274
Bado tu mkuu inakuja error no 24 nimejaribu hata ile njia ya kurwfreash palystore kwa kuforce stop-uninstall updates then clear data bado tu

Seems nipo sawa hio error inatokana na un install isiokamilika. Kodi haijatoka yote.

Hope umeroot simu tumia file manager yoyote yenye root acess halafu nenda root folder then nenda data halafu tena data utaona data za apps zote itafute kodi halafu uidelete
 
Seems nipo sawa hio error inatokana na un install isiokamilika. Kodi haijatoka yote.

Hope umeroot simu tumia file manager yoyote yenye root acess halafu nenda root folder then nenda data halafu tena data utaona data za apps zote itafute kodi halafu uidelete

Yeah my phone iko rooted. Let me try
 
Seems nipo sawa hio error inatokana na un install isiokamilika. Kodi haijatoka yote.

Hope umeroot simu tumia file manager yoyote yenye root acess halafu nenda root folder then nenda data halafu tena data utaona data za apps zote itafute kodi halafu uidelete

Thanks chief it worked.
 
​Chief-Mkwawa nakupa Big up tena kwa mara nyingine!! Sasa hivi nimemaliza kuangalia EPL review kwenye BT 1. Raha sana!!.
 
Bado tu mkuu inakuja error no 24 nimejaribu hata ile njia ya kurwfreash palystore kwa kuforce stop-uninstall updates then clear data bado tu

jaribu kwa kutumia aptoede achana na play store mi nimefanikiwa
 
Yeah nshaisoma fresh Mm nilichofanya ni kama inavyooonekana kwenye hii picha

FN4x4F.png


Hapa ntatengeneza custom List ya channel nazopenda tu, achana na zile m3u unapakua unakuta channel 200 unashindwa uangalie ipi uache ipi na mpaka upate channel unayotaka nayo ni shida pia
Kuna Kipindi nilisha load mpaka channel zikawa book ikawa ni tabu kutafuta channel yako nzuri ipo namba ngapi

Results zangu kutumia PVR IPTV Simple client hizi hapa chini

cMURUM.png

Mkuu... Kuweka hizo channels kwenye sim inakuwaje?
 
Mkuu sorry kwa kuchelewa kujibu naona Chief Mkwawa kajitahidi kukuelekeza hapo juu...

Binafsi nina kitu hiki nataka nikufafanulie...

Katika KODI huwa kuna repository na addon, repository ni maktaba ambayo hubeba addons nyingi ndani yake. Ni kama vile ilivyo kwa atlas ni kitabu chenye taarifa za ramani za nchi nyingi.

Sasa kuna repositories nyingi tu watu wamekuwa wakizitengeneza mfano lambda, metakettle n.k.

Superrepo nayo ni mojawapo ya repositoy maarufu tu na ni developer wa mwanzo kabisa.(sikumbuki vizuri ndani ya superrepo kama kuna phoenix addon)

Phoenix ni addon kama ilivyo Vdubt25, Sportsdevel n.k

Sasa unapotaka kuinstall addon yoyote kuna njia mbili za kufanya hivyo.

1. Unanstall kwanza repository kwa kuadd source ya repository, kwa kawaida huwa ni url link.
Ukisha-add repository kutokea ndani yake ndio utaendelea kuinstall addon.

2. Njia ya pili ni kudownload moja kwa moja addon file ambalo ni zip, then kutokea katika local storage unainstall hiyo addon kwa KODI.



Hili nilishaeleza huko nyuma post #176

Kwa kuwa wewe umeshapakua lile file nililoweka basi anza kufuatilia maelekezo hatua ya pili...

Nimefika mpaka hapa mkuu lakini hazioneshi zinaload tu bila mafanikio...nimekosea sehemu?
 

Attachments

  • 1442483602577.jpg
    1442483602577.jpg
    42.1 KB · Views: 248
kama kuna mtu anajua online
tv za bure zenye Chanel za Tanzania hasa itv
 
kama kuna mtu anajua online
tv za bure zenye Chanel za Tanzania hasa itv

za bure issue...ila kuna AITV app wao unalipia kama 12 elfu tu kwa mwez utapata stations nyingi tu za bongo na za nje.
 
mkuu Chief-Mkwawa huduma hii ni nzuri ila kwa bando zetu za mb8 na unlimited feki si bora tutafte kazi zingine za kufanya tu!
 
Last edited by a moderator:
mkuu Chief-Mkwawa huduma hii ni nzuri ila kwa bando zetu za mb8 na unlimited feki si bora tutafte kazi zingine za kufanya tu!

Dar kuna zantel, mikoani kuna smart wana vifurushi vizuri tu vya internet. Kwa shilingi 1000 unaweza angalia hadi mechi 3
 
Last edited by a moderator:
Dar kuna zantel, mikoani kuna smart wana vifurushi vizuri tu vya internet. Kwa shilingi 1000 unaweza angalia hadi mechi 3

Zantel kwa moro hata 3G hawana na hao smart hata ofisi hawana mpaka ukutane nao kama zali. Wanakera sana.
 
Back
Top Bottom