Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Poa poa mkuu... nakukubali saana!

nimetengeneza hii playlist ina
skysport 1 mpaka 5
beinsport 1 mpaka 12 (hd na sd)

hivyo jaribu hizo beinsport sd (quality ndogo/internet ndogo) uone kama zitacheza smooth.

jinsi ya kueka playlist kwanza extract hili zip file mahala utapopakumbuka mfanyo kwenye desktop halafu ingia kwenye kodi nenda video then file halafu add then nenda locate folder ulipoextract mfano kwenye desktop folder la tv then bonyeza ok. turn back utaona folder la tv limeongezeka ingia utaziona tv
 

Attachments

nimetengeneza hii playlist ina
skysport 1 mpaka 5
beinsport 1 mpaka 12 (hd na sd)

hivyo jaribu hizo beinsport sd (quality ndogo/internet ndogo) uone kama zitacheza smooth.

jinsi ya kueka playlist kwanza extract hili zip file mahala utapopakumbuka mfanyo kwenye desktop halafu ingia kwenye kodi nenda video then file halafu add then nenda locate folder ulipoextract mfano kwenye desktop folder la tv then bonyeza ok. turn back utaona folder la tv limeongezeka ingia utaziona tv

Sasa kaka mkubwa mm natumia simu... nilijaribu kutumia pc nilivyojaribu kudownnload KODI ikagoma kuwa installed... ndio nikaamua kuswitch kwenye simu!
 
Sasa kaka mkubwa mm natumia simu... nilijaribu kutumia pc nilivyojaribu kudownnload KODI ikagoma kuwa installed... ndio nikaamua kuswitch kwenye simu!

hata simu unafanya njia ni hizo hizo
 

Attachments

  • 1445434225142.jpg
    1445434225142.jpg
    14.6 KB · Views: 250
Uzi mzuri , nimejifunza mambo kadhaaa.
asante mleta mada Chief Mkwawa
mkwavinyika wa mwamuyinga wa kalenga
karibu na kidamali kwa kina mgiriki (wazee wa tumbaku).
 
Last edited by a moderator:
mkuu nauliza kama unaweza kupata tv za tanzania kupitia hii app.
 
mkuu nauliza kama unaweza kupata tv za tanzania kupitia hii app.

hii app ni kionyesheo tu haina tv zake, ila unaweza kujaza tv kadri ya uwezo wako. hivyo kama kuna sehemu umeona tv za kitanzania online tuambie tutazichukua na kuziweka humu
 
iVue TV Guide

Means hapa ukiwa na wasi wasi soccer litaoneshwa Channel gani unacheka Guide few hours kabla ya kuanza then unatafuta addon nzuri yenye hiyo channel

wNOCTa.png


FTV Guide

Na hii ni kama hiyo ya juu inatoa Guide



WnX8ot.png
 
mkuu naomba msaada jinsi ya kudownload/ku install hiyo kodi kwenye smart phone maana sioni kwenye maelezo ya hiyo link
 
Back
Top Bottom