Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Hivi naweza kutumia hii simu kuangalia mpira kwenye tv yaan simu ikatumika kama receiver
 
Wadau ninaomba mtutupie addon za mpira ambazo ni free ukiacha sportsdevil
 
Mbona hilo jukwaa la wakubwa sijaliona mkuu?? Na hiyo fusion nayo pia sijaiona msaada mkuu wa link

kupata access ya huko mpaka uwe umeruhusiwa na admni oky fanya hivi ingia Google au youtube then search how to install Fusion add on in kodi then utapata full direction
 
Mkuu ni shida tisha ile mbaya.ubarikiwe na mungu.na je ya ngumi naweza pata?? Ziwe za kivita,action,kung fu nk. Naomba msaada wko na wengine humu

Chukua 4U movies, HD movies pia phoneix ni nzur pande hzo
 
Sportsdevil, UK Turks, Phoenix, Vdubt25 ZemTV, NJM Soccer, Pears, MoneySports na nyingine nyingi unapata links za michezo...

Nimefanikiwa....Asante sana...nimenunua 5 GB za smile(4G) zinaweza chukua mda gani kama ntakua nacheki mpira tu? nataka niwe na Bajeti kabisa... Chief-Mkwawa
 
Last edited by a moderator:
Nimefanikiwa....Asante sana...nimenunua 5 GB za smile(4G) zinaweza chukua mda gani kama ntakua nacheki mpira tu? nataka niwe na Bajeti kabisa... Chief-Mkwawa

Inategemea na resolution utakayoangalizia, jinsi quality inabyokuwa kubwa na mb ndio zinavyoenda nyingi
 
Last edited by a moderator:
habari wanajf,samahani naomba mnisaidie free software ya kuangalia TV online mfano AZAM,TBC,STARTV,CLOUDS etc kwa kutumia PC(LAPTOP) bila kulipia,ahsanteni sana,MUNGU AWABARIKI.
 
Inategemea na resolution utakayoangalizia, jinsi quality inabyokuwa kubwa na mb ndio zinavyoenda nyingi

Chief-Mkwawa nimedownload KODI kwenye PC nika-install ikaingia...tatizo kila nikijaribu kuifungua iyo KODI inaandika hivi "ERROR: Unable to create GUI. Exiting" je tatizo ni nini apo...naomba msaada wako tafadhali.
 
Naona watu wengi wanapata shida kwa ile njia ya mwanzo ambayo nilipata kuelekeza hapo awali:

Sasa ngoja nielekeze njia mpya ambayo ni mbadala ambayo bila shaka itakuwa rahisi kwa kila mmoja:

1. Download addon inayoitwa "Playlist Loader" na kisha install katika KODI...(Bila shaka kila mtu anajua namna ya kuistall addon)

2. Baada ya kuinstall, fungua notepad au notepad++ au text editor yoyote katika ndani yake weka kitu hiki:

#EXTINF:0 ,Azam 2


http://196.41.40.253:1935/live/myStream/playlist.m3u8

3. Save hilo file kwa kulipatia jina lolote mfano Azam2 na hakikisha liwe na extension ya dot mu3 (.mu3) badala ya dot txt (.txt), kama unatumia simu basi lihamishie kwa simu file hilo.

4. Kama ukishindwa kutengeneza hilo file basi tembelea link hii hapa chini nimetengeneza hilo file kwa faida ya wote.
https://drive.google.com/file/d/0B16EjXCF75lRbVVraDU3MzZYQVU/view?usp=sharing

5. Fungua Playlist Loader na fuatisha maelekezo haya. Add a new list

8-add-list1.png


6. Andika jina lolote ila napendekeza uandike Azam 2 ili iwe rahisi kukumbuka baadaye

9-list-name.png


7. Baada ya hapo chagua New local list na uweke sasa ile pathname ya lile file ulilopakua toka kwangu hapo juu nambari 4.

10-REMOTE-OR-LOCAL.png


8. Baada ya hapo Azam 2 itakuwa added, unaweza ifungua kuitazama.

Mkuu kwangu hiyo azamu inagoma kuonesha kabisa sijui tatizo nini?? Msaada hapo
 
Mkuu kwangu hiyo azamu inagoma kuonesha kabisa sijui tatizo nini?? Msaada hapo

1. Umefuatilia maelekezo yote na kuyafuata bila kukosea?

2. Unaweza kufungua vitu vingine na ukifungua Azam kinaonekana kitu gani?

3. Kama umefanya kama nilivyoelekeza na unaweza kufungua vitu vingine basi jaribu kuifungua Azam mara nyingi itafunguka.

4. Zaidi jaribu kufuatilia kama kuna mahali umekosea.
 
1. Umefuatilia maelekezo yote na kuyafuata bila kukosea?

2. Unaweza kufungua vitu vingine na ukifungua Azam kinaonekana kitu gani?

3. Kama umefanya kama nilivyoelekeza na unaweza kufungua vitu vingine basi jaribu kuifungua Azam mara nyingi itafunguka.

4. Zaidi jaribu kufuatilia kama kuna mahali umekosea.
Mkuu inaniandikia hivi nikiifungua hiyo chanel
ONE OR MORE ITEMS FAILED TO PLAY.CHECK THE LOG FOR MORE INFORMATION ABOUT THIS MESSAGE
 
Back
Top Bottom