Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Chief jamaa umemwambia speed nzur na anatumia halotel kama mimi inakuwaje hapo?
ya kwako ni 0.24mbps na ya kwake ni 3.03mbps kuna utofauti mkubwa sana, speed yake ni mara 13 zaidi ya yakwako. pia ping yake ni 47 wakati yako ni 394 jinsi ping inavyokuwa ndogo ndio inavyokuwa nzuri hapo pia kakupita

mitandao ya simu ya Tanzania haiaminiki speed unapata kutokana na eneo ulipo angalia pia na kifurushi maybe wanalimit speed kwa hicho kifurushi
 
6cb4d6193bbbb0a3d61d9ca26fe20c7b.jpg
Naomba kujua jina la hii application tafadhari nami nipime yangu
 
Hii kitu iko poa sana

Zaidi napendelea Kuichomeka Laptop yangu kwa HDMI kwenye TV then nakula vitu
kODI ina majina Mengine kama XBMC na kuna latest Build inaitwa TVMC hii imekuja pre configured kila kitu wewe ni kuinstalll then next next done
Kama upo serious sana "Kodi" inapatikana katika Devices ambazo zimekua designed na kutumika na TV kama :-

1)Raspberry Pi
2)Android TV boxes
3)Amazon firesticks
4)Enigma II receivers
5)E.T.C

Hivo kama hautaki kutumia Laptop au Desktop yako au hautaki kutumia Simu au Tablet waweza consider hizo first 3 devices ni around 40$ kupanda juu lakini zinatumia WiFi so itabidi uwe na Router pia au simu ambayo utai sacrififce kurusha WiFi

Personally,Hii kitu na enjoy sana and my best addons ni

1)Paki Indi TV
2)Phoenix TV
3)Offsidestreams

Thanks to mleta mada sikujua kama huyu jamaa vdtube25 nae anayo addon yenye premium contents nzuri

Kuhusu swala la Internet ni challenge sana lakini mm nilichogundua ni kwamba kama unajua Internet yako ina Ping Speed ndogo fulani walau hakikisha basi inaweza ku peak mpaka 4Mbps bila wasi wasi
Mm natumia hii kitu na Tigo Ping speed yangu sio nzuri kivile ila walau my maximum Ping speed kwa speedtest.net napata average 170ms ila zile Download speeds zinapanda mpaka Downlink 7Mbps kwa 2Mbps Uplink.
Naweza angalia Channel kwa almost 1hr with simply initial buffers na baada ya hapo mambo yanakaa smooth

Najua hii part wabongo wengi bado maana kuna watu walikaririshwa eti TZ mitandao yake fake wakati kuna mitandao una stream 1080p video mwanzo mwisho bila buffer na ni 3G na kwa Live event

oDHsWy.jpg



Kama pia Upo serious unataka kushusha madishi yote juu ya paa la nyumba yako kama mm :teeth:
Waweza consider kutumia jamaa wanaitwa offsidestreams.com jamaa hata uwe na Ping 200ms na Dwnlink internet ya 1Mbps waweza angalia mpaka beinsports HD Bila shida yoyote....
Tatizo wana charge pesa ila kama nilivosema kama upo serious sana na hii kitu waweza kuwajaribu

N:B: Hawa jamaa ukitumia Fake credit Card unapata free access ya 3-4days,Credit cards fake ziko Online nyingi waweza google Fake VBV/Credit cards
Mm hii huwa naipendelea kukiwa na match kali sana afu internet yangu magumashi
waweza angalia Video yangu moja youtube ya 8minutes kuanzia dakika ya 2 nilikua na stream at less than <1Mbps bila shida na ping yake sio kivile

Ukiitazama katika Thumbnails form kitu inavutia kweli mm nshasahau sana kuangalia TV kwa dishi antenna

8oMZ0N.png

Mkuu nisaidie jinsi ya chaneli kuziweka kwenye mfumo wa thumbnail maana nijitahidi nimeshindwa
 
ya kwako ni 0.24mbps na ya kwake ni 3.03mbps kuna utofauti mkubwa sana, speed yake ni mara 13 zaidi ya yakwako. pia ping yake ni 47 wakati yako ni 394 jinsi ping inavyokuwa ndogo ndio inavyokuwa nzuri hapo pia kakupita

mitandao ya simu ya Tanzania haiaminiki speed unapata kutokana na eneo ulipo angalia pia na kifurushi maybe wanalimit speed kwa hicho kifurushi
Chief mkwawa naomba nisaidie jinsi ya kuziweka chaneli kwenye mfumo wa thumbnail
 
Tumezoea katika maisha yetu tukiangalia Tv basi huduma ile tunaipata kupitia madishi, cable au antenna. siku zinavyosogea mbele na technology ndivyo inavyokuwa na ndio jinsi madish na antenna vinavyopitwa wakati. leo kwenye uzi huu tutaangalia IPTV.

Ni nini hii IPTV?
IPTV ni kifupi cha Internet Protocal TeleVision. Hii ni aina ya uangaliaji TV kupitia mtandao wa internet ambapo kituo cha TV badala ya kutumia satelite dish au cable wenyewe wanarusha matangazo kwa internet.

Unawezaje kuangalia IPTV?
Utahitaji kifaa chenye internet na uwezo wa kustream ili kuweza kuangalia kama vile smartphone, tablet, laptop, desktop hadi TV zenye internet zinaweza kustream.

Internet yenye speed gani inahitajika?
Internet yoyote hata ya edge inaweza kustream ila iwe na latency nzuri, zipo stream zinahitaji speed ya 200kbps tu (25KBps). Kama una latency ndogo hata internet iwe na speed vipi huwezi kustream live utastream tu vitu ambavyo si live. Kujua zaidi kuhusu latency nenda thread hii
Je! mtandao ukiwa na download speed kubwa ndio mzuri ?

Je software gani inatumika kustream hizo TV?
Kikawaida browser yenye flash au html5 inaweza kustream tv lakini ukitaka kustream vizuri zaidi software kama VLC au KODI ni muhimu. Kutokana na uhaba wa links za VLC nitazungumzia zaidi jinsi ya kutumuia KODI kuangalizia IPTV.

KODI ni nini?
KODI ni software (media centre) ambayo hutumika kuubadili muonekano wako wa simu uwe kama TV na kuweza kuenjoy TV unazotumia na inapatikana kwenye simu, tablet, computer hadi TV.
Kodi-devices-smudged.jpg


Kuidownload nenda website yao hii hapa chini, ni bure haiuzwi
Downloads | Kodi

Nikishadownload kodi nini kinafuatia?
Utahitaji ku install plugin ili uweze kuangalia TV online. Click video add on halafu chagua watchmojo, install halafu ifungue tuone kama itafanya kazi.
9vW4MHp.jpg


KODI imefanya kazi, je siwezi angalia mpira na vipindi vyengine?
Unaweza angalia mpira chanel unayotaka kuanzia za ki-Africa kama Super sport, za Ulaya kama Sky sport, za Asia kama Bein sport hadi za kimarekani kama NBC cha muhimu uwe na plugin (add ons) husika, hizi plugin za mpira na michezo mengine zinapatikana tu internet mfano mimi plugin yangu ninayotumia inaitwa Vdtube25 ina channel nyingi sana kuanzia mpira hadi movie.
zNbDtYR.jpg

PppArCw.jpg


Hio hapo juu sky sport 3

Uzuri wa hizi plugin za kodi zipo TV ni HD na nyengine ni full HD kabisa hivyo internet yako tu.

Malipo?
Kila kitu kuanzia juu hadi hapa ulipofikia ni bure hutoi pesa, ila hizi plugin za bure haziaminiki zipo za kulipia ambazo hazikati ovyo. Mimi sijawahi kulipa natumia tu bure ila kama unahitaji service nzuri zaidi unaweza kulipa ila pia kuwa makini na matapeli

Tutorial ya kuweka na mahala pa kupatia plugins
kutokana na request nyingi za watu nita updates hapa mara kwa mara plugins ambazo zipo avtive

1.DNA TV
hii ipo active nimetest chanell kama BT sport na Sky sport zinafanya kazi vizuri tu. install toka hapa
Tutorial How to Install DNA TV for Kodi
ina tatizo la kuandika servel full sababu traffic ni kubwa hivyo ikiandika hivyo angalia chanell nyengine au endelea kuclick hadi ikubali.

pia kwenye repository yake kuna clone za IPTV stalker ila sijazitest.

2.PHOENIX TV
kama uli install phoenix kama .zip file pengine sasa hivi huoni kitu utahitajika kueka version mpya, tumia hii link
Tutorial How to Install Phoenix Kodi XBMC
nimetest chanell za movie na mpira zinafanya kazi

3.ISRAEL LIVE TV
sio mbaya ukiwa nayo kama backup kwenye chanell zake za sports kuna chanell za portugal huwa zinaonesha mpira japo quality si nzuri.

Tutorial How to Install IsraeLIVE Video Add-On Kodi
Kama una swali lolote usisite kuuliza chini
 
Chief-Mkwawa ndugu yangu chifu embu nipe mwangaza kidogo nianzeje kutumia hii Kodi kwenye kaIphone kangu nimeiweka jana toka Cydia ila nimeishia hapa tu sijui niendeleeje ili na mimi iwe kwenye ulimwengu huu!!? Nitafurahi sana nikipata msaada. ahsante
ImageUploadedByJamiiForums1455956840.593262.jpg
 
Chief-Mkwawa ndugu yangu chifu embu nipe mwangaza kidogo nianzeje kutumia hii Kodi kwenye kaIphone kangu nimeiweka jana toka Cydia ila nimeishia hapa tu sijui niendeleeje ili na mimi iwe kwenye ulimwengu huu!!? Nitafurahi sana nikipata msaada. ahsanteView attachment 324374


mkuu nafkiri kodi ni hio hio tutorial za huko juu unaweza tumia pia kwako.

tatizo ni hiyo skin yako hivyo vitu huwenda vikawa na procedure tofauti.

kwa kuanza anza na kueka add ons zilizo store ili utest halafu ndio ufanye mpango wa addons nyengine kama za movie na mpira.

click hapo video halafu nenda add addons halafu chagua addons yoyote utakayoipenda kama watchmojo hivi then install halafu ifungue uone kama itaonyesha.
 
mkuu nafkiri kodi ni hio hio tutorial za huko juu unaweza tumia pia kwako.

tatizo ni hiyo skin yako hivyo vitu huwenda vikawa na procedure tofauti.

kwa kuanza anza na kueka add ons zilizo store ili utest halafu ndio ufanye mpango wa addons nyengine kama za movie na mpira.

click hapo video halafu nenda add addons halafu chagua addons yoyote utakayoipenda kama watchmojo hivi then install halafu ifungue uone kama itaonyesha.
Asante mkuu ngoja nijaribu pakiwa na tatizo tena nitakuhitaji kwa msaada zaidi Usituchoke wadau.
 
mkuu nafkiri kodi ni hio hio tutorial za huko juu unaweza tumia pia kwako.

tatizo ni hiyo skin yako hivyo vitu huwenda vikawa na procedure tofauti.

kwa kuanza anza na kueka add ons zilizo store ili utest halafu ndio ufanye mpango wa addons nyengine kama za movie na mpira.

click hapo video halafu nenda add addons halafu chagua addons yoyote utakayoipenda kama watchmojo hivi then install halafu ifungue uone kama itaonyesha.
Chief, hivi kuna link yeyote ambayo naweza chek azam TV online streaming au kupitia addon kwa kodi?
Nijuze please.
 
Back
Top Bottom