Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
- Thread starter
- #1,181
alternative ni kueka plugin kwa .zip manual lakini hutapata updates kila ikitoka version mpya utaeka hilo zipHaloo ndugu yangu Chief-Mkwawa nimejaribu kufwata maelekezo yoote jinsi ya kua Add-ons ila nikifa hapa nikibonyeza Repo niliyoiweka inaleta hako kameseji (picha)View attachment 330381 lakini internet yangu ipo imara tofauti na inavyodai, nashindwa tatizo nini nimehangaika nayo karibia week nzima sasa' nafata maelekezo yote vizuri ila nikifika hapo inasema hivyo Network is not connected! Embu nisaidie kama kuna njia nyingine brother. Ahsante.
pia unaweza tafuta link mwenyewe ukazi add kwenye kodi kama tunavyofanya chanell za Tanzania.