Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
natumia kodi kwa pc ila nataka ninunue kodi android device ambayo iko na addons preloaded amazon, kuna mtu mwenye uzoefu navyo maana hofu yangu ni namna ya ku connect internet, ntatumia modem au njia ipi? Chief-Mkwawa Njunwa Wamavoko
Thanx mkuu, Je kuna mwenye link ya ITV?
Mkuu hii link ya star tv kwako inaonesha?Thanx mkuu, Je kuna mwenye link ya ITV?
wanadai Zinashika 3G pia umejaribu?Ndio nimenunua juzi m8s plus jail broken. Hii unatumia wifi au ethrnet
ninavyojua kifaa chochote chenye usb otg kinakubali modem, mimi nazichomeka sana kwenye simu na ule waya wa otgM8S na M8S+ zina Support 3G angalia ebay baadhi kule chini kwenye Connectivity utakuta wameandika 3G support.
Other android boxes including hizo m8s zina Support WiFi na Ethernet.
Nimewai nunua MXQ siku za nyuma ila nkai shortcircuit kwa kumix up adapter yake nkaiwekea ya volts nyingi.
Nimeagiza tena hiyo M8S sababu mm nazipenda hizi android device sababu ya Mobodro ukiwa na mobodro sidhani hata kama unaitaji Kodi I see inakua kama unatumia premium service kabisa
M8S ni standard box ikiwa na 8GB ROM na 2G RAM kuna ambazo ziko Rooted sellers wanaita Jailbroken
Example
M8S on Ebay
Ndio kiongozi, natumia vlcMkuu hii link ya star tv kwako inaonesha?
Kwangu me inaoneshaMkuu hii link ya star tv kwako inaonesha?
Ulaji wake wa bando ni kama ilivyo kwa Qsat(kwa xperience nikiyonayo) au inakula sana?M8S na M8S+ zina Support 3G angalia ebay baadhi kule chini kwenye Connectivity utakuta wameandika 3G support.
Other android boxes including hizo m8s zina Support WiFi na Ethernet.
Nimewai nunua MXQ siku za nyuma ila nkai shortcircuit kwa kumix up adapter yake nkaiwekea ya volts nyingi.
Nimeagiza tena hiyo M8S sababu mm nazipenda hizi android device sababu ya Mobodro ukiwa na mobodro sidhani hata kama unaitaji Kodi I see inakua kama unatumia premium service kabisa
M8S ni standard box ikiwa na 8GB ROM na 2G RAM kuna ambazo ziko Rooted sellers wanaita Jailbroken
Example
M8S on Ebay
ninavyojua kifaa chochote chenye usb otg kinakubali modem, mimi nazichomeka sana kwenye simu na ule waya wa otg
Ulaji wake wa bando ni kama ilivyo kwa Qsat(kwa xperience nikiyonayo) au inakula sana?
Je, chaneli muhimu za tz zaweza kuwekwa zote au ni hizi chache tu!?
Mi natumia MXQ-4K Ultra HD ila mobdro inanizingua ila kodi ipo njema sana tu,YoutubeM8S na M8S+ zina Support 3G angalia ebay baadhi kule chini kwenye Connectivity utakuta wameandika 3G support.
Other android boxes including hizo m8s zina Support WiFi na Ethernet.
Nimewai nunua MXQ siku za nyuma ila nkai shortcircuit kwa kumix up adapter yake nkaiwekea ya volts nyingi.
Nimeagiza tena hiyo M8S sababu mm nazipenda hizi android device sababu ya Mobodro ukiwa na mobodro sidhani hata kama unaitaji Kodi I see inakua kama unatumia premium service kabisa
M8S ni standard box ikiwa na 8GB ROM na 2G RAM kuna ambazo ziko Rooted sellers wanaita Jailbroken
Example
M8S on Ebay
Sikujua hiyo...
Unafahamu vipi device ina support OTG kwa kucheki USB kama ni USB 2.0 Plus ama?
Je hizi MHL cable nazo ziko based kwenye OTG to HDMI?
Kuna mtu alitaka nimsaidie kuchomeka simu yake kwenye HDMI ya TV nkashindwa nimwambie nini simu ni Galaxy A7 2016 version,Nilivofatilia mtandaoni wanasema latest 2016 phones samsung wame disable hiyo capability,sijui kama kuna ukweli hivo sikutaka kumchomesha jamaa.
nimecheki online mbona kama inayo otg?Sikujua hiyo...
Unafahamu vipi device ina support OTG kwa kucheki USB kama ni USB 2.0 Plus ama?
Je hizi MHL cable nazo ziko based kwenye OTG to HDMI?
Kuna mtu alitaka nimsaidie kuchomeka simu yake kwenye HDMI ya TV nkashindwa nimwambie nini simu ni Galaxy A7 2016 version,Nilivofatilia mtandaoni wanasema latest 2016 phones samsung wame disable hiyo capability,sijui kama kuna ukweli hivo sikutaka kumchomesha jamaa.
Jaribu kufuata process hii: (kama una tatizo soma hii makala)Naomba maelekezo ya jinsi ya kuziingiza hizo links kwenye kodi
Mi natumia MXQ-4K Ultra HD ila mobdro inanizingua ila kodi ipo njema sana tu,Youtube
nimecheki online mbona kama inayo otg?
nunua ile cable ya otg sh 3000 tu aggrey pale halafu chomeka flash ikisoma ujue ipo otg.
pia kama hela anayo anunue adapter ya samsung ya usb kwenda samsung.
kuhusu mhl ni mhl inabidi manufacture wenyewe waieke ila nafkiri zipo version tofauti inabidi ucheki site ya mhl ujue simu yako inakubali version ipi.