Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajamii kwa wale wataalamu wa kodi ninaomba maelekezo step by step jinsi ya kuiseti hii castaway add-on maana ninaona inashida kufunguka inawezekana kuna namna ya kuiset
Upande wa azam ikoje wadauAsante sana Mkuu. Zuku walishaniletea sms wakidai VAT imeongezeka na hivyo kifurushi kimepanda. Sasa nitakuwa najimwaga na KODI. Ubarikiwe!
Download bluestack kwenye computer yako.....ni lazima pc yako iwe na RAM kuanzia 2GB.....install bluestack then ifungue......hapo utaenda kwenye kusearch na utaisearch mobdro na kuidownloadIv jamn unawezaje kuhamixha mobdro kutoka kwenye cm ad tv
Wadau wa kodi naomba kufahamu addons za kuangalia mechi za mpira zinazofanyakazi kwa sasa
wanasiasa bwana, hakuna kitu cha kodi ambacho huwezi kifanya kwengine, chanell hizo hizo za piracy unaziplay na vlc, ace player, mx player etc wanataka tu kupata ujiko basi
wanasiasa bwana, hakuna kitu cha kodi ambacho huwezi kifanya kwengine, chanell hizo hizo za piracy unaziplay na vlc, ace player, mx player etc wanataka tu kupata ujiko basi
Habari wakuu samahani nimeletewa zawadi apple tv 3rd generarion nimefungua na kuweka i tune account ila kinasumbua kinataka niwe na tv provider niweze kuangalia hapo ndo nimeshindwa msaada kwa anayejua nifanyaje hapo maana wanataka details za us
Ina tundu la HDMI?Habari wakuu samahani nimeletewa zawadi apple tv 3rd generarion nimefungua na kuweka i tune account ila kinasumbua kinataka niwe na tv provider niweze kuangalia hapo ndo nimeshindwa msaada kwa anayejua nifanyaje hapo maana wanataka details za us
Hamna mkuu wameweka stations zao tu na uwez kudownload apps yeyote ipo strictly sana you tube ndo naangalia bila accountyah kwa feature za us huwezi tumia,
hakuna option au player yoyote inayoruhusu kuplay chanell zako mwenyewe?
NdioIna tundu la HDMI?