Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

Hapo add on bora ni Exodus tu kwa movie, hizo zingine ni vimeo
umeinstall ukaona ni nini? hio sio addon, ni script inayoeka addon automatic, inaingiza addons nyingi tu na nimezitest zinafanya kazi.
 
Monitor zenye Wide colour Gamut ni kama za aina gan??? Na vp kuhusiana na price yake?
monitor nyingi za 4k ndio zinakuwa na hizo rangi nyingi, bei zake ni around milioni moja kupanda juu.
 
monitor nyingi za 4k ndio zinakuwa na hizo rangi nyingi, bei zake ni around milioni moja kupanda juu.
Mkuu naomba unisaidie kitu kimoja samahani.Hakihusiani na topic hii wala hii post niliyokunukuu.Simu inakataa kuinstall applications.Inadownload had mwisho kisha inaandika "can't install this app in sd card"...Naondokana vipi na tatizo hilo au kama ni kitu tayari kimejadiliwa humu naomba link mkuu...Sorry kwa kuchanganya humu
 
Mkuu naomba unisaidie kitu kimoja samahani.Hakihusiani na topic hii wala hii post niliyokunukuu.Simu inakataa kuinstall applications.Inadownload had mwisho kisha inaandika "can't install this app in sd card"...Naondokana vipi na tatizo hilo au kama ni kitu tayari kimejadiliwa humu naomba link mkuu...Sorry kwa kuchanganya humu
kuna baadhi ya apps huwa hazikubali kukaa kwenye memory card (external sd card) mfano whatsapp, hakikisha hio app unaieka kwenye internal memory.

nenda setting halafu storage sometime kunakuwa na option. ya kuchange default storage iwe memory card au internal memory,
 
wadau kuna mbadala wa kodi xbmc ambazo ni spmc,cemc na Jesus box media zote unazipata play store.
 
1.itategemea kwanza na display yako, iwe tv au monitor. kama diaplay ni HD ya kawaida ambayo hata wide color gamut haina huna haja ya kujihangaisha kutafuta box au pc inayotoa resolution kubwa na ubora mkubwa sababu display yako haina uwezo wa kuvionesha hivyo vitu.

2. kuhusu tv box na pc hapa inategemea na gpu/media encoder/decoder iliotumika mkuu, kama box lina gpu nzuri basi box litaonesha resolution kubwa na vice versa.

ila mimi hupendelea zaidi pc sababu inanipa option nyingi ila kama huna matumizi ya pc tv box ni zuri zaidi sababu ya bei.

pia resolution sio kitu pekee cha kuangalia, siku hizi kuna codecs mpya za x265 na vp9 ukiwa nazo utatumia mb chache kuangalia vitu vyenye quality kubwa, hivyo hakikisha hilo box linakubali x265.

3. kuhusu cable nzuri na za kisasa kwa sasa ni HDMI na Display port, hii display port ni zaidi kwenye pc na wataalamu, HDMI ndio sana inatumika majumbani.

ila HDMI nayo ina version nyingi ipo ya kwanza, 1.4, 2.0, 2.1 etc hivyo hakikisha atleast una HDMI ya kisasa, hio 2.1 ndio latest hata ukikosa hio angalau 1.4 uwe nayo.

jinsi version inavyokuwa kubwa ndio jinsi inavyokuwa na bandwidth kubwa na kupitisha resolution kubwa.

kuijua cheki specs za kifaa husika
mfano hapo katika upande wa display port yenye connector ya vga katika upande wa kuconnect na Display hapo unakuwa unapokea quality ya display port au ya vga?
upload_2017-4-18_16-47-0.jpeg
upload_2017-4-18_16-47-0.jpeg
upload_2017-4-18_16-47-0.jpeg
 
mfano hapo katika upande wa display port yenye connector ya vga katika upande wa kuconnect na Display hapo unakuwa unapokea quality ya display port au ya vga?
View attachment 497889View attachment 497889 View attachment 497889
quality ya vga. siku zote unapotumia vitu viwili kimoja chenye speed ndogo na chengine speed kubwa jua utapata speed ndogo.

sema kibongo bongo vga bado ni quality inayotosha inapiga mzigo kwa full HD na hata 2K, sema itachemsha hapo 2k kuelekea 4K kwa wale wachache wenye monitor/tv za ultra HD
 
quality ya vga. siku zote unapotumia vitu viwili kimoja chenye speed ndogo na chengine speed kubwa jua utapata speed ndogo.

sema kibongo bongo vga bado ni quality inayotosha inapiga mzigo kwa full HD na hata 2K, sema itachemsha hapo 2k kuelekea 4K kwa wale wachache wenye monitor/tv za ultra HD
Mkuu naomba nielezee namna ambavyo tv stick with kodi inavyofanya kazi!![emoji116]
 

Attachments

  • 4K-TV-Box-2015-Version.jpg
    4K-TV-Box-2015-Version.jpg
    30.1 KB · Views: 106
Mkuu naomba nielezee namna ambavyo tv stick with kodi inavyofanya kazi!![emoji116]
hayo ni maneno tu ya biashara mkuu, ni kama mtu anasema nauza simu yenye whatsapp, kodi unaweza kuieka kwenye karibia operating system zote na vifaa vyote duniani. hivyo mtu anaweza akakuuzia tv stick ya android ambayo ndani ame install kodi.

tv stick yenyewe inakuwa ni kifaa kidogo kama flash au modem kinakuwa na port ya HDMI unaichomeka nyuma kwenye tv. ukishaichomeka tv yako inakuwa na android na unaweza kuinstall app zote za android ikiwemo hio kodi. kwenye matumizi hakuna tofauti kati ya kodi ya laptop, simu au tv stick ni ile ile, sema tu kwenye stick uta navigate kwa kutumia remote badala ya mouse au touch, na ukiamua pia unaweza tumia mouse ya bluetooth.

ipo kama hivi tv stick
41ElUzWNYfL.jpg


hapa imechomekwa kwenye tv
QoRKdKWbKoU9m5DpUJOmhhDFUVU
 
hayo ni maneno tu ya biashara mkuu, ni kama mtu anasema nauza simu yenye whatsapp, kodi unaweza kuieka kwenye karibia operating system zote na vifaa vyote duniani. hivyo mtu anaweza akakuuzia tv stick ya android ambayo ndani ame install kodi.

tv stick yenyewe inakuwa ni kifaa kidogo kama flash au modem kinakuwa na port ya HDMI unaichomeka nyuma kwenye tv. ukishaichomeka tv yako inakuwa na android na unaweza kuinstall app zote za android ikiwemo hio kodi. kwenye matumizi hakuna tofauti kati ya kodi ya laptop, simu au tv stick ni ile ile, sema tu kwenye stick uta navigate kwa kutumia remote badala ya mouse au touch, na ukiamua pia unaweza tumia mouse ya bluetooth.

ipo kama hivi tv stick
41ElUzWNYfL.jpg


hapa imechomekwa kwenye tv
QoRKdKWbKoU9m5DpUJOmhhDFUVU
Asante mkuu,mimi tv yangu ni Samsung smart tv,je nitafanyaje ili iwe na operating system ya android ili niweze kutumia stick tv? kwa sababu umeeleza kuwa ili nitumie stick tv ni lazima niwe na operating system ya android!
 
Asante mkuu,mimi tv yangu ni Samsung smart tv,je nitafanyaje ili iwe na operating system ya android ili niweze kutumia stick tv? kwa sababu umeeleza kuwa ili nitumie stick tv ni lazima niwe na operating system ya android!
hapana mkuu labda hatujaelewana

hio tv stick ndio itakupa android,

ukichomeka hio stick kwenye smart tv yako ya samsung na ukachagua hdmi basi tv yako itakuwa na android.
 
hapana mkuu labda hatujaelewana

hio tv stick ndio itakupa android,

ukichomeka hio stick kwenye smart tv yako ya samsung na ukachagua hdmi basi tv yako itakuwa na android.
Asante mkuu!.......hiyo stick tv huwa inawekwaje bundle la internet?ina line kama ya simu au?
 
Back
Top Bottom