nowsasa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,095
- 1,126
Alietoa hii Mada kasahau kusema kuwa lazima uwe na matumizi unlimited internet . MB kiduchu na figusu figisu za internet bongo itakuwa ngumu kutumia IPTV. Canada tunatumia broadband internet, super fast na mabando yasiyo na kikomo ndiyo maana iptv inawezekana. Tanzania internet bado ni huduma ya luxury. Live Streaming ya TV itamaliza bando lako la tigo within no time.vp inatumia mb??
tdot