Kila Wizara/Idara iandae documentary ya mambo inayoshughulikia tangu uhuru, kisha iwasilishwe kwa vyombo vyote vya habari

Kila Wizara/Idara iandae documentary ya mambo inayoshughulikia tangu uhuru, kisha iwasilishwe kwa vyombo vyote vya habari

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Naona kama hakuna makala sheheni ambazo zitaelezea hali ya nchi tangu uhuru zilizoandaliwa na kila Wizara/Idara ili kutanua wigo wa ufahamu wa jamii ya sasa. Hata kama zipo, basi kuna taasisi (hasa TBC na Idara ya Habari Maelezo) wamezihodhi, na hawataki jamii izifikie.

Kama nchi tunahitaji vijana wajue hali ya barabara tangu ukoloni, away ya kwanza, mpaka ya sasa. Hii inasaidia watu kujua nchi ilipotoka mpaka sasa ilipofikia. Tusije kuona daraja la Busisi au Tanzanite, bila kujua safari iliyohusika.

Katika ardhi pia, viwanda, maendeleo ya elimu na kila kitu.

Iwe documentary hasa sio zile za TBC mtu anaandaa kama anakimbizwa, iwe documentary ambayo itaishi miaka kadhaa mbele.

Ionyeshwe siasa kuanzia wakati huo wa ukoloni mpaka sasa, watu waelewe nchi yao kwa nini ilipitia hatua fulani.

Siku kama ya leo pasiwe na ombwe la habari katika makala, zisambazwe bure katika vyombo vyote vya habari watu walijue taifa lao
 
Naona kama hakuna makala sheheni ambazo zitaelezea hali ya nchi tangu uhuru zilizoandaliwa na kila Wizara/Idara ili kutanua wigo wa ufahamu wa jamii ya sasa. Hata kama zipo, basi kuna taasisi (hasa TBC na Idara ya Habari Maelezo) wamezihodhi, na hawataki jamii izifikie.

Kama nchi tunahitaji vijana wajue hali ya barabara tangu ukoloni, away ya kwanza, mpaka ya sasa. Hii inasaidia watu kujua nchi ilipotoka mpaka sasa ilipofikia. Tusije kuona daraja la Busisi au Tanzanite, bila kujua safari iliyohusika.

Katika ardhi pia, viwanda, maendeleo ya elimu na kila kitu.

Iwe documentary hasa sio zile za TBC mtu anaandaa kama anakimbizwa, iwe documentary ambayo itaishi miaka kadhaa mbele.

Ionyeshwe siasa kuanzia wakati huo wa ukoloni mpaka sasa, watu waelewe nchi yao kwa nini ilipitia hatua fulani.

Siku kama ya leo pasiwe na ombwe la habari katika makala, zisambazwe bure katika vyombo vyote vya habari watu walijue taifa lao
Idara ziko busy na mambo muhimu. Hilo si order maana huna mamlaka hayo
 
Naona kama hakuna makala sheheni ambazo zitaelezea hali ya nchi tangu uhuru zilizoandaliwa na kila Wizara/Idara ili kutanua wigo wa ufahamu wa jamii ya sasa. Hata kama zipo, basi kuna taasisi (hasa TBC na Idara ya Habari Maelezo) wamezihodhi, na hawataki jamii izifikie.

Kama nchi tunahitaji vijana wajue hali ya barabara tangu ukoloni, away ya kwanza, mpaka ya sasa. Hii inasaidia watu kujua nchi ilipotoka mpaka sasa ilipofikia. Tusije kuona daraja la Busisi au Tanzanite, bila kujua safari iliyohusika.

Katika ardhi pia, viwanda, maendeleo ya elimu na kila kitu.

Iwe documentary hasa sio zile za TBC mtu anaandaa kama anakimbizwa, iwe documentary ambayo itaishi miaka kadhaa mbele.

Ionyeshwe siasa kuanzia wakati huo wa ukoloni mpaka sasa, watu waelewe nchi yao kwa nini ilipitia hatua fulani.

Siku kama ya leo pasiwe na ombwe la habari katika makala, zisambazwe bure katika vyombo vyote vya habari watu walijue taifa lao
Hivi vitu vyote vipo na Makala nyingi sana zinaelezea masuala ya uhuru, fuatilia TBC utajua vitu vingi sana kuhusu nchi yako hasa kipindi hiki cha Uhuru wamerusha makala nyingi sana tokea uhuru unapatikana na masuala mengine
 
Naona kama hakuna makala sheheni ambazo zitaelezea hali ya nchi tangu uhuru zilizoandaliwa na kila Wizara/Idara ili kutanua wigo wa ufahamu wa jamii ya sasa. Hata kama zipo, basi kuna taasisi (hasa TBC na Idara ya Habari Maelezo) wamezihodhi, na hawataki jamii izifikie.

Kama nchi tunahitaji vijana wajue hali ya barabara tangu ukoloni, away ya kwanza, mpaka ya sasa. Hii inasaidia watu kujua nchi ilipotoka mpaka sasa ilipofikia. Tusije kuona daraja la Busisi au Tanzanite, bila kujua safari iliyohusika.

Katika ardhi pia, viwanda, maendeleo ya elimu na kila kitu.

Iwe documentary hasa sio zile za TBC mtu anaandaa kama anakimbizwa, iwe documentary ambayo itaishi miaka kadhaa mbele.

Ionyeshwe siasa kuanzia wakati huo wa ukoloni mpaka sasa, watu waelewe nchi yao kwa nini ilipitia hatua fulani.

Siku kama ya leo pasiwe na ombwe la habari katika makala, zisambazwe bure katika vyombo vyote vya habari watu walijue taifa lao
Kwenye DEVELOPMENT STUDIES (GS) Kuna topics kabisa zinaelezea.

Achievements za tangu uhuru mpaka Sasa kwa kila sector afya,elimu, kilimo, ufugaji, miundombinu ie.barabara lami na weather road..
 
Naona kama hakuna makala sheheni ambazo zitaelezea hali ya nchi tangu uhuru zilizoandaliwa na kila Wizara/Idara ili kutanua wigo wa ufahamu wa jamii ya sasa. Hata kama zipo, basi kuna taasisi (hasa TBC na Idara ya Habari Maelezo) wamezihodhi, na hawataki jamii izifikie.

Kama nchi tunahitaji vijana wajue hali ya barabara tangu ukoloni, away ya kwanza, mpaka ya sasa. Hii inasaidia watu kujua nchi ilipotoka mpaka sasa ilipofikia. Tusije kuona daraja la Busisi au Tanzanite, bila kujua safari iliyohusika.

Katika ardhi pia, viwanda, maendeleo ya elimu na kila kitu.

Iwe documentary hasa sio zile za TBC mtu anaandaa kama anakimbizwa, iwe documentary ambayo itaishi miaka kadhaa mbele.

Ionyeshwe siasa kuanzia wakati huo wa ukoloni mpaka sasa, watu waelewe nchi yao kwa nini ilipitia hatua fulani.

Siku kama ya leo pasiwe na ombwe la habari katika makala, zisambazwe bure katika vyombo vyote vya habari watu walijue taifa lao
Ni vizuri,ila ziwe na uhalisia zisitiwe chumvi kama ilivyo kuwa kawaida ya mtu mweusi,hata kama ni mahali hatukafanya vizuri ama timefanya vibaya tuyaone hayo kwa uhalisia tujifunze kuacha kuchakachua kila kitu.
 
Wasisahau kuweka na historia ya kufutwa kwa vyama vingi baada ya uhuru na sababu zake
 
Waweke pia waandishi wa katiba ya Tanganyika na Tanzania tuwajuwe walikuwa watu wa aina gani.
 
Waweke pia historia ya uchaguzi wa Zanzibar alioshinda Maalim Seif lakini hakutangazwa mshindi
 
Waweke historia ya wabunge 55 waliodai serikali ya Tanganyika
 
Kiufupi sisi wazee wa zamani tulifurahia sana maisha ya ukoloni.wakoloni walikuwa wakiweka mradi ulizingatia ubora wa wastani wa kudumu miaka miambili ndiyo maana Hadi Sasa miradi ya wakoloni tunaitumia .Viwanda vilikuwa vingi,mazao yetu yalikuwa na masoko ya uhakika maana viwanda vilikuwa vingi.Pia hakukuwa na rushwa kama ilivyo sasa.Kuondoka Kwa wakoloni kumpelekea Nchi yetu kuharibika sana
 
Mohamed Said ana historia yote ya Tanganyika na Tanzania, jitahidi tu unapoisoma kujua wapi kuna chumvi ya udini wake.
 
Back
Top Bottom