DOKEZO Kilakala: Mwalimu Mkuu anashirikiana na Mwenyekiti kuficha taarifa za ulawiti kwa Mwanafunzi

DOKEZO Kilakala: Mwalimu Mkuu anashirikiana na Mwenyekiti kuficha taarifa za ulawiti kwa Mwanafunzi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Vitendo vya unyanyasaji wa kingono vimeendelea kushamiri katika nchi yetu na tunategemea jamii iwe na ushirikiano katika kupinga na kutokomeza uovu huu ili kuokoa jamii yetu.

Katika hali ya kushangaza, mwanafunzi mmoja (jina linahifadhiwa) (KE) wa shule ya msingi Kilakala katika manispaa ya Morogoro amebainika kufanyiwa vitendo hivyo na ndugu zake 2 ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa wakimwingilia mwanafunzi huyo kinyume na maumbile.

Baada ya walimu kubaini hilo, walimshauri mzazi kuchukua hatua stahiki ambapo mtoto alipelekwa hospitali kwa uchunguzi na madaktari walibaini kuwa ni kweli mtoto amekuwa akiingiliwa hivyo alipatiwa matibabu ya awali.

Mara baada ya hatua hiyo, mzazi alikwenda kuripoti polisi na polisi walihitaji akaripoti kwanza kwenye serikali ya mtaa, kiongozi wa serikali ya mtaa akamwelekeza mzazi kuanzia kwa mwalimu mkuu.

Jambo la ajabu ni kuwa mwalimu mkuu ambaye ni mwanamama amemshauri mzazi kuwa kwakuwa mtoto amepata matibabu basi hakuna haja ya kulipeleka kwenye vyombo vya sheria hivyo kumsihi mzazi asiendelee kufuatilia.

Pia amewatisha walimu wasitoe ushirikiano kwa mtu yeyote kuhusiana na jambo hili.

Binafsi nilitegemea kuwa mwalimu mkuu ambaye ni mama angeshirikiana na mama wa mtoto kuhakikisha mtoto anapata haki yake badala yake, yeye ndiye anamshawishi kuachana na jambo hilo.

Pili nilitegemea polisi kufanyia kazi jambo hili hata kama mlolongo wa utoaji taarifa haukuwa sahihi.

Tatu nilitegemea ofisi ya serikali ya mtaa ingetoa ushirikiano kumsaidia mwananchi wake.

Nadhani mambo yamekwenda hivyo kwakuwa aliye lawitiwa si mtoto wao kwahiyo haiwahusu.
 
Duuuuh hii dunia inaitaji reset ya sodoma na gomorah
 
Kwani kwà taarifa ulizopewa wanasema kapewa sh.ngapi ili afiche siri hiyo?

Ova
 
Kuficha taarifa si lazima upewe pesa, wengine huficha taarifa kwa interest zao nyingine.
Kama zipi? Kwani yeye nae alikua anakula mzigo? Au huyo anayemfichia anazijua siri zake, kwamba kama akiweka hadharani , yake pia yatakua hadharani? Ndo unavyomaanisha Ndugu?
 
Pole,umenikumbusha miaka ya 2008 nilifika hapo Kilakala home of gifted girls kikazi.Madizini hapo tulichakata nyama haramu.Morogoro ni tamu,najichanga one day ntakuja kuchakata mbususu nna manzi hapo Mzumbe
 
Nne nilitegemea wewe ungelifikisha kwenye vyombo vya dola kisha utuletee hukumu iliyotolewa na mahakama
JamiiForums ina impact kubwa sana, imefichua maovu mengi na vyombo husika vimechukua hatua, hili pia liko sehemu salama na litafanyiwa kazi.
 
nimekaa kambini hapo.Hapo kilakala shule ya msingi nimejificha sana na videmu enzi zangu kweny miembe
 
Anahisi kutoa ushirikiano itahatarisha hicho kiti chake cha ualimu mkuu...
Sio kweli bhana. Unamsingizia huyo Mzee. Labda wewe ndiye unakitaka hicho kiti na ndio maana umekuja humu mtandaoni kumchafua.
 
Mkuu kabla hujafanya research kaa kimya.
Research kitu gani Bob? Huyo Mzee ana familia , Ndugu , jamaa, watoto na marafiki,...kwanini unamchafua Bob?

Una uthibitisho? Ujue nyie bodaboda hizo story mlizozoea kuzipiga huku mkiwa mmelala juu ya pikipiki zetu , ipo siku zitawafikisha Kubaya sana. Mnadanganya mpaka mnafikia hatua ya kuleta mambo yasiyo na ukweli kwenye mitandao!..

Oya, Mods eeeh...asee huyu jamaa anazingua,...futeni hili li uzi lake! Hizi si habari za kweli!!!
 
Vitendo vya unyanyasaji wa kingono vimeendelea kushamiri katika nchi yetu na tunategemea jamii iwe na ushirikiano katika kupinga na kutokomeza uovu huu ili kuokoa jamii yetu.

Katika hali ya kushangaza, mwanafunzi mmoja (jina linahifadhiwa) (KE) wa shule ya msingi Kilakala katika manispaa ya Morogoro amebainika kufanyiwa vitendo hivyo na ndugu zake 2 ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa wakimwingilia mwanafunzi huyo kinyume na maumbile.

Baada ya walimu kubaini hilo, walimshauri mzazi kuchukua hatua stahiki ambapo mtoto alipelekwa hospitali kwa uchunguzi na madaktari walibaini kuwa ni kweli mtoto amekuwa akiingiliwa hivyo alipatiwa matibabu ya awali.

Mara baada ya hatua hiyo, mzazi alikwenda kuripoti polisi na polisi walihitaji akaripoti kwanza kwenye serikali ya mtaa, kiongozi wa serikali ya mtaa akamwelekeza mzazi kuanzia kwa mwalimu mkuu.

Jambo la ajabu ni kuwa mwalimu mkuu ambaye ni mwanamama amemshauri mzazi kuwa kwakuwa mtoto amepata matibabu basi hakuna haja ya kulipeleka kwenye vyombo vya sheria hivyo kumsihi mzazi asiendelee kufuatilia.

Pia amewatisha walimu wasitoe ushirikiano kwa mtu yeyote kuhusiana na jambo hili.

Binafsi nilitegemea kuwa mwalimu mkuu ambaye ni mama angeshirikiana na mama wa mtoto kuhakikisha mtoto anapata haki yake badala yake, yeye ndiye anamshawishi kuachana na jambo hilo.

Pili nilitegemea polisi kufanyia kazi jambo hili hata kama mlolongo wa utoaji taarifa haukuwa sahihi.

Tatu nilitegemea ofisi ya serikali ya mtaa ingetoa ushirikiano kumsaidia mwananchi wake.

Nadhani mambo yamekwenda hivyo kwakuwa aliye lawitiwa si mtoto wao kwahiyo haiwahusu.
Kesi Kama hii ilishatokea shule ya mazoezi kigurunyembe, enzi hizo, walimu wa pale walishirikiana na walimfunga mtu, sahivi huyo mfungwa marehemu, hao wanakwama wapi, Tena wapo karibu na maaskari.
 
Ulawiti umeshamiri mnoo, hadi ishakua hatari.

Ila ushoga unapigwa vita.
 
Research kitu gani Bob? Huyo Mzee ana familia , Ndugu , jamaa, watoto na marafiki,...kwanini unamchafua Bob?

Una uthibitisho? Ujue nyie bodaboda hizo story mlizozoea kuzipiga huku mkiwa mmelala juu ya pikipiki zetu , ipo siku zitawafikisha Kubaya sana. Mnadanganya mpaka mnafikia hatua ya kuleta mambo yasiyo na ukweli kwenye mitandao!..

Oya, Mods eeeh...asee huyu jamaa anazingua,...futeni hili li uzi lake! Hizi si habari za kweli!!!
Mods sio wapuuzi kama wewe, watafanya research na hatua zitachukuliwa. Huu ujinga ni lazima ukomeshwe.
 
Hahahaa nijue ili iweje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I just wanted to see your smile.

Ujue tangu Asubuhi haujacheka we mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ànyways...swala lako linashughulikiwa. Kuanzia kesho utaona kitakachoendelea. Haki ni lazima itendeke.


Poleni sana
 
Back
Top Bottom