DOKEZO Kilakala: Mwalimu Mkuu anashirikiana na Mwenyekiti kuficha taarifa za ulawiti kwa Mwanafunzi

DOKEZO Kilakala: Mwalimu Mkuu anashirikiana na Mwenyekiti kuficha taarifa za ulawiti kwa Mwanafunzi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] I just wanted to see your smile.

Ujue tangu Asubuhi haujacheka we mtu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ànyways...swala lako linashughulikiwa. Kuanzia kesho utaona kitakachoendelea. Haki ni lazima itendeke.


Poleni sana
😂😂😂😂
 
Pole,umenikumbusha miaka ya 2008 nilifika hapo Kilakala home of gifted girls kikazi.Madizini hapo tulichakata nyama haramu.Morogoro ni tamu,najichanga one day ntakuja kuchakata mbususu nna manzi hapo Mzumbe
Wapare bwana
 
Hiyo issue serikali za mtaa watoe ushirikiano kwa mzazi lifije kwenye ngazi za sheria huyo mkuu wa shule afanye kazi ngapi taaluma na malezi ya mtoto tena uko nyumbani yeye atokua na taarifa sahii mtoto kafanyiwa ukatili nyumani ni vema serikali ya mtaa waambatane na mzazi kulishughulikia hilo
 
Hiyo issue serikali za mtaa watoe ushirikiano kwa mzazi lifije kwenye ngazi za sheria huyo mkuu wa shule afanye kazi ngapi taaluma na malezi ya mtoto tena uko nyumbani yeye atokua na taarifa sahii mtoto kafanyiwa ukatili nyumani ni vema serikali ya mtaa waambatane na mzazi kulishughulikia hilo
Uko sahihi sana, kosa la mkuu wa shule ni kumshinikiza mzazi kuacha kufuatilia jambo hili wakati yeye kama mlezi na msomi ilibidi atoe ushauri na mwongozo sahihi kwa mzazi.
 
Namba ya polisi kata unayo, uripoti yule kijana naona anaweza kushughulikia hilo.
 
Hao waliomlawiti ni ndugu zake wako wapi?
Dawa ya walawiti ni kukata vikojoleo vyao na kuwaacha waendelee kujenga taifa, kuwafunga ni matumizi mabaya ya kodi zetu,

Hao ni waharibifu na hawezi kuisha na tunao hata kwenye huu uzi na ni wepesi sana kuwatukana mashoga na kushinikiza wauwawe huku wao wakiendelea kubaka na kulawiti watoto.

Kuna moja lipo kwenye huu uzi linajisifu kubaka watoto wa shule kwenye Miembe, hapo hutaona akikemewa atakua shujaa ila likija suala la ushoga kila mmoja anajifanya kupandwa na kichaa cha hasira.
 
Hao waliomlawiti ni ndugu zake wako wapi?
Dawa ya walawiti ni kukata vikojoleo vyao na kuwaacha waendelee kujenga taifa, kuwafunga ni matumizi mabaya ya kodi zetu,

Hao ni waharibifu na hawezi kuisha na tunao hata kwenye huu uzi na ni wepesi sana kuwatukana mashoga na kushinikiza wauwawe huku wao wakiendelea kubaka na kulawiti watoto.

Kuna moja lipo kwenye huu uzi linajisifu kubaka watoto wa shule kwenye Miembe, hapo hutaona akikemewa atakua shujaa ila likija suala la ushoga kila mmoja anajifanya kupandwa na kichaa cha hasira.
We punga mamito?
 
Usikute huyo mwalimu na Mwenyekiti wake ni walewale.
 
Vitendo vya unyanyasaji wa kingono vimeendelea kushamiri katika nchi yetu na tunategemea jamii iwe na ushirikiano katika kupinga na kutokomeza uovu huu ili kuokoa jamii yetu.

Katika hali ya kushangaza, mwanafunzi mmoja (jina linahifadhiwa) (KE) wa shule ya msingi Kilakala katika manispaa ya Morogoro amebainika kufanyiwa vitendo hivyo na ndugu zake 2 ambao kwa nyakati tofauti wamekuwa wakimwingilia mwanafunzi huyo kinyume na maumbile.

Baada ya walimu kubaini hilo, walimshauri mzazi kuchukua hatua stahiki ambapo mtoto alipelekwa hospitali kwa uchunguzi na madaktari walibaini kuwa ni kweli mtoto amekuwa akiingiliwa hivyo alipatiwa matibabu ya awali.

Mara baada ya hatua hiyo, mzazi alikwenda kuripoti polisi na polisi walihitaji akaripoti kwanza kwenye serikali ya mtaa, kiongozi wa serikali ya mtaa akamwelekeza mzazi kuanzia kwa mwalimu mkuu.

Jambo la ajabu ni kuwa mwalimu mkuu ambaye ni mwanamama amemshauri mzazi kuwa kwakuwa mtoto amepata matibabu basi hakuna haja ya kulipeleka kwenye vyombo vya sheria hivyo kumsihi mzazi asiendelee kufuatilia.

Pia amewatisha walimu wasitoe ushirikiano kwa mtu yeyote kuhusiana na jambo hili.

Binafsi nilitegemea kuwa mwalimu mkuu ambaye ni mama angeshirikiana na mama wa mtoto kuhakikisha mtoto anapata haki yake badala yake, yeye ndiye anamshawishi kuachana na jambo hilo.

Pili nilitegemea polisi kufanyia kazi jambo hili hata kama mlolongo wa utoaji taarifa haukuwa sahihi.

Tatu nilitegemea ofisi ya serikali ya mtaa ingetoa ushirikiano kumsaidia mwananchi wake.

Nadhani mambo yamekwenda hivyo kwakuwa aliye lawitiwa si mtoto wao kwahiyo haiwahusu.
Nimesoma andiko hili,NAMTETEA MWALIMU.Jambo limeanzia shule wao ndio walimshauri mzazi kwenda kwenye vyombo vya sheria(polisi).Kule tena badala wafanye wajibu wao kama polisi wakamrudisha tena huyu mzazi kuwa sijui aende S/ mtaa,s/mtaa nayevakachanganyikiwa afanyeje,naye akairudisha shule!! Sasa shule wafanyeje?Suala waliloona linahitaji kupelekwa polisi wao wamerudishiwa.Hivyo kwa nafasi yao wanamwambia mzazi alimalize.Ndio ni sawa kwani kuliko mzazi kwenda kuwafungq jela maisha hao watoto wake wengine ni bora alipeleke kwenye ukoo lifanyiwe maamuzi makali ya kiukoo.
 
Uko sahihi sana, kosa la mkuu wa shule ni kumshinikiza mzazi kuacha kufuatilia jambo hili wakati yeye kama mlezi na msomi ilibidi atoe ushauri na mwongozo sahihi kwa mzazi.
Kosa la mzazi ni kupeleka kesi shule wakati imetokea nyumbani hapa mkuu wa shule hapaswi kabisa kulaumiwa
Wao waende Moja kwa Moja kituo Cha polisi watoe ripoti kwa kupitia serikali ya mtaa watuhumiwa wakamatwe
 
Back
Top Bottom