DOKEZO Kilakala: Mwalimu Mkuu anashirikiana na Mwenyekiti kuficha taarifa za ulawiti kwa Mwanafunzi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Kosa la mzazi ni kupeleka kesi shule wakati imetokea nyumbani hapa mkuu wa shule hapaswi kabisa kulaumiwa
Wao waende Moja kwa Moja kituo Cha polisi watoe ripoti kwa kupitia serikali ya mtaa watuhumiwa wakamatwe
Hiyo ndo jibu sahii zaidi mkuu wa shule ajui chochote hapo atatoa ushirikiano upi sasa kama si kumpotezea mda
 
Wote wakamatwe wapelekwe polisi ama jela kuna minjemba inawasubiri kule.
 
Mie ndo wanapo nichosha hapoo tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ninachoona mlezi na ticha wanaona wanaenda kupoteza familia ya mlezi kwa matendo yao.
 
Wakuu wa shule sijui wakoje ilitokea dar pia watoto Kumi walikutwa chooni wanakula (Mda kidogoo)wakiume Tena,mkuu WA shule akasema habaro ifichwe Hawa wakuu Hawa sijui Wana shidaa Gani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…