TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Khaaa ngoja nkamfanyie kazi
Hahhahahhaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa ngoja nkamfanyie kazi
Kila binadamu ana uwezo wa kufanya hayo na zaidi Occult ni mojawapo ya powers za binadam. Wakati mwingine maneno, na visualisation vinatosha kumlaani mtu au kumtakia mema au kupata kile unachotaka.
Utafanyaje ukiwa uchi? kwani mimi nimeandika kitu gani hapo juu? unauliza jibu wakati nimesha weka kila kitu kipo wazi bibie amu ningelikuwa karibu ningekuja kukufundisha namna ya kufanya .Nafanya nikiwa uchi ila nikiwa nimevaa khanga.
Ila hujanijibu maneno yote hayo ena mara 3 yataenea kwa mshumaa..
....mapenzi yake yoe yahamie kwangu....
Na majibu nayapata lini...
Bibie amu inaonyesha mzito kuelewa hebu soma tena haya maelekezo ya Duwa yenyewe hapo chini.Dr hujanj7bu maeneo yanaenea kwa mshumaa????
Ni kweli mda mwingine mambo yanakaba mpaka MTU hajui afanye nini ili ajinisuru mwishowe anaingia kwenye mtegoKuna wakati shetani akisimamia ukucha huna jinsi
Na hizo solutions pia zilete tijaWakati wa matatizo huwa tunaangalia solution zaidi kuliko matokeo ya baadae
natamani mrejesho nataka nijaribuAfadhali tuunge nguvu aiseee... Hapa hatoki mtu shosti