Kile kiapo cha damu hiki hapa

Kile kiapo cha damu hiki hapa

Vipi kuhusu vile viapo wanavyoapa viongozi kwa kushika quran na biblia wakiapa kwamba watailinda na kuitetea katiba ya nchi na matokeo yake inakua kinyume na viapo walivyoapa siiajabu hivi viapo vinawatafuna taratibu.
 
Vipi kuhusu vile viapo wanavyoapa viongozi kwa kushika quran na biblia wakiapa kwamba watailinda na kuitetea katiba ya nchi na matokeo yake inakua kinyume na viapo walivyoapa siiajabu hivi viapo vinawatafuna taratibu.
Wanamdhihaki na kumkufuru Mungu
 
WRITTEN IN BLOOD
I act this spell upon you
From my whole heart
Wishing you to never rest
No eat no sleep the rest part of your life
I hope your will waste away
And I hope you will never spend another penny I ought to have
WISHING THIS FROM MY WHOLE HEART

Haya ni maneno mabaya mno! Ni spell mbaya kabisa
Kinachofanyika:~~~
Mwenye kutamka/kunuiya hii Laana hujikata kidogo na kukinga damu kiasi kisha kuchukua karatasi na Kijiti na kuandika haya maneno kwa kutumia wino wa damu
Kisha anaweza kufanya yafuatayo
-kuloweka ile karatasi na kunywa ile mixer ya damu na maneno au
-kwenda kumwaga ile mixer njiapanda au
-kwenda kumwaga ile mixer mtoni au baharini au
Kuchoma moto ile karatasi
Kila kimoja hapo kina athari yake

NB: Kama wewe ni mshika dini si vema kujiapiza au kulipa visasi kwakuwa Mungu anajua na anaona kikubwa ni KUSAMEHE

CC: witnessj chrissleon lazalaza na wote waliokuwa na interest ya hiki kitu
Sawa kabisa ndo nataka hiki sasa, hakika. Ngoja nikaanzishe uzi niliokusudia sasa.

Thanks sana, Mshana Jr
 
Hahaa kuna mdada alikuwa kila akikutwa na kosa anakimbilia biblia na kuishika kisha anaanza kuapa kumbe anazuga ili mume amuamini na mume wake anaamin sana dini hivyo akawa anamuamin mkewe kuwa hana kosa sababu ameapa akiwa na biblia cku alipogundua huo mchezo wa mkewe alichoka mwili na roho pia hahaaa
Hahahahahahahahaaaaaaaaaaaa
 
WRITTEN IN BLOOD
I act this spell upon you
From my whole heart
Wishing you to never rest
No eat no sleep the rest part of your life
I hope your will waste away
And I hope you will never spend another penny I ought to have
WISHING THIS FROM MY WHOLE HEART

Haya ni maneno mabaya mno! Ni spell mbaya kabisa
Kinachofanyika:~~~
Mwenye kutamka/kunuiya hii Laana hujikata kidogo na kukinga damu kiasi kisha kuchukua karatasi na Kijiti na kuandika haya maneno kwa kutumia wino wa damu
Kisha anaweza kufanya yafuatayo
-kuloweka ile karatasi na kunywa ile mixer ya damu na maneno au
-kwenda kumwaga ile mixer njiapanda au
-kwenda kumwaga ile mixer mtoni au baharini au
Kuchoma moto ile karatasi
Kila kimoja hapo kina athari yake

NB: Kama wewe ni mshika dini si vema kujiapiza au kulipa visasi kwakuwa Mungu anajua na anaona kikubwa ni KUSAMEHE

CC: witnessj chrissleon lazalaza na wote waliokuwa na interest ya hiki kitu
Nataka nifanye hivo kwa malengo kuwa yeyote atakayenifanyia mabaya nae yamkute zaid ya hayo(kwa kuandika kwa dam yangu)
Inawezekana Mshana Jr??
 
Duu... Inawezekana lakini sijushauri... Huyo mtu atapata tabu sana
Kwann mkuu?? Unajua kwann nasema ivo? Mm nahis nina hyo nature, asilimia 90 ya wanaonifanyia mabaya wanapata mabaya pia, mfn mtu akinikopa kit kweny biashara zake asinulipe na yy anafilisika muda si mref, nina mifano zaid ya 3!! Nataka nii-activate hyo nguv
 
WRITTEN IN BLOOD
I act this spell upon you
From my whole heart
Wishing you to never rest
No eat no sleep the rest part of your life
I hope your will waste away
And I hope you will never spend another penny I ought to have
WISHING THIS FROM MY WHOLE HEART

Haya ni maneno mabaya mno! Ni spell mbaya kabisa
Kinachofanyika:~~~
Mwenye kutamka/kunuiya hii Laana hujikata kidogo na kukinga damu kiasi kisha kuchukua karatasi na Kijiti na kuandika haya maneno kwa kutumia wino wa damu
Kisha anaweza kufanya yafuatayo
-kuloweka ile karatasi na kunywa ile mixer ya damu na maneno au
-kwenda kumwaga ile mixer njiapanda au
-kwenda kumwaga ile mixer mtoni au baharini au
Kuchoma moto ile karatasi
Kila kimoja hapo kina athari yake

NB: Kama wewe ni mshika dini si vema kujiapiza au kulipa visasi kwakuwa Mungu anajua na anaona kikubwa ni KUSAMEHE

CC: witnessj chrissleon lazalaza na wote waliokuwa na interest ya hiki kitu
♥Yakobo : Mlango 5♥

12 Lakini zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, wala kwa mbingu wala kwa nchi; wala kwa kiapo kinginecho chote; bali ndiyo yenu na iwe ndiyo, na siyo yenu iwe siyo, msije mkaangukia hukumu
 
Back
Top Bottom