Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji813]Yakobo : Mlango 5[emoji813]
12 Lakini zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, wala kwa mbingu wala kwa nchi; wala kwa kiapo kinginecho chote; bali ndiyo yenu na iwe ndiyo, na siyo yenu iwe siyo, msije mkaangukia hukumu
Hii haitakuwa na madhara kwangu?! (Kiapo)Ichome moto majivu koroga kunywa ama iloweke kwenye maji kisha kunywa karatasi itafune mpaka iishe kabisa.. Usiiteme
Ucku nafanya hii..karatas ni lazima iwe ya aina fulan au yyye??Usidhulumu cha mtu ama kufanyia ubaya wengine... Utakuwa salama
Nina swali kwanini ukamwage ile mixer ya damu njiapanda...na kwanini njiapanda huwa ni sehemu inayoogopwa sanaWRITTEN IN BLOOD
I act this spell upon you
From my whole heart
Wishing you to never rest
No eat no sleep the rest part of your life
I hope your will waste away
And I hope you will never spend another penny I ought to have
WISHING THIS FROM MY WHOLE HEART
Haya ni maneno mabaya mno! Ni spell mbaya kabisa
Kinachofanyika:~~~
Mwenye kutamka/kunuiya hii Laana hujikata kidogo na kukinga damu kiasi kisha kuchukua karatasi na Kijiti na kuandika haya maneno kwa kutumia wino wa damu
Kisha anaweza kufanya yafuatayo
-kuloweka ile karatasi na kunywa ile mixer ya damu na maneno au
-kwenda kumwaga ile mixer njiapanda au
-kwenda kumwaga ile mixer mtoni au baharini au
Kuchoma moto ile karatasi
Kila kimoja hapo kina athari yake
NB: Kama wewe ni mshika dini si vema kujiapiza au kulipa visasi kwakuwa Mungu anajua na anaona kikubwa ni KUSAMEHE
CC: witnessj chrissleon lazalaza na wote waliokuwa na interest ya hiki kitu
Na mm nina swali la nyongeza..Nina swali kwanini ukamwage ile mixer ya damu njiapanda...na kwanini njiapanda huwa ni sehemu inayoogopwa sana
Asante mkuu Mshana Jr kwa unavyojib maswali yetu, sasa..kwa nia yangu ile ya kila atakae nifanyia mabaya na yy akaptwe na majanga zaid na mazito kip ni bora kwa matokeo mazur kat ya kuunguza ninywe majiv, niloweke karatas ninywe, au nitafune karatas nimeze???Inategemea na dhamira juu ya matokeo
Maji yanafurisha
Moto unaunguza
Njia panda inatawanya
Bado uamuzi unao mwenyewe kulingana na MUKTADHA wa matokeo.... Hatufanani.. Inategemea umefanyiwa nini, umedhulumiwa nini.. Nk nkAsante mkuu Mshana Jr kwa unavyojib maswali yetu, sasa..kwa nia yangu ile ya kila atakae nifanyia mabaya na yy akaptwe na majanga zaid na mazito kip ni bora kwa matokeo mazur kat ya kuunguza ninywe majiv, niloweke karatas ninywe, au nitafune karatas nimeze???
Kip bora kwa matokeo mazur
Ni wazi kuna roho zaidi ya mojabinadamu ni roho inayokaa ndani ya nyumba na nyumba yenyewe inaitwa mwili!swala la muhimu kuelewa unapotaka kuapa ni je unaeapa nae ndani ya mwili ni mtu kweli au kuna roho tofauti?ukielewa hii hutaapa hata iweje
Makazi yangu yapo ukingoni mwa crossroad mzee vipi imekaaje, maana nasikia hapo kwenye njia panda ndiyo vilinge vya wachawi hahaahahaMakutano ya kila aina ya kiumbe
Wachaaaa wewe mbona unanificha hebu niambie mzee wa manyaunyau hiyo bahati ikoje mzee babaUna bahati sana
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Ahhhh mshana eneo la kilinge cha wachawi linakuaje ni bahati kwangu mzee manyaunyau...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hebu fafanua usiniache njiaapanda [emoji16][emoji16]Uko eneo lenye mambo yote [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna vingi vunatupwa unaweza kuokota fuko la midorari[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Ahhhh mshana eneo la kilenge cha wachawi linakuaje ni bahati kwangu mzee manyaunyau...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hebu fafanua usiniache njiaapanda [emoji16][emoji16]