Kile kiapo cha damu hiki hapa

Kile kiapo cha damu hiki hapa

[emoji813]Yakobo : Mlango 5[emoji813]

12 Lakini zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, wala kwa mbingu wala kwa nchi; wala kwa kiapo kinginecho chote; bali ndiyo yenu na iwe ndiyo, na siyo yenu iwe siyo, msije mkaangukia hukumu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
WRITTEN IN BLOOD
I act this spell upon you
From my whole heart
Wishing you to never rest
No eat no sleep the rest part of your life
I hope your will waste away
And I hope you will never spend another penny I ought to have
WISHING THIS FROM MY WHOLE HEART

Haya ni maneno mabaya mno! Ni spell mbaya kabisa
Kinachofanyika:~~~
Mwenye kutamka/kunuiya hii Laana hujikata kidogo na kukinga damu kiasi kisha kuchukua karatasi na Kijiti na kuandika haya maneno kwa kutumia wino wa damu
Kisha anaweza kufanya yafuatayo
-kuloweka ile karatasi na kunywa ile mixer ya damu na maneno au
-kwenda kumwaga ile mixer njiapanda au
-kwenda kumwaga ile mixer mtoni au baharini au
Kuchoma moto ile karatasi
Kila kimoja hapo kina athari yake

NB: Kama wewe ni mshika dini si vema kujiapiza au kulipa visasi kwakuwa Mungu anajua na anaona kikubwa ni KUSAMEHE

CC: witnessj chrissleon lazalaza na wote waliokuwa na interest ya hiki kitu
Nina swali kwanini ukamwage ile mixer ya damu njiapanda...na kwanini njiapanda huwa ni sehemu inayoogopwa sana
 
Inategemea na dhamira juu ya matokeo
Maji yanafurisha
Moto unaunguza
Njia panda inatawanya
Asante mkuu Mshana Jr kwa unavyojib maswali yetu, sasa..kwa nia yangu ile ya kila atakae nifanyia mabaya na yy akaptwe na majanga zaid na mazito kip ni bora kwa matokeo mazur kat ya kuunguza ninywe majiv, niloweke karatas ninywe, au nitafune karatas nimeze???
Kip bora kwa matokeo mazur
 
Asante mkuu Mshana Jr kwa unavyojib maswali yetu, sasa..kwa nia yangu ile ya kila atakae nifanyia mabaya na yy akaptwe na majanga zaid na mazito kip ni bora kwa matokeo mazur kat ya kuunguza ninywe majiv, niloweke karatas ninywe, au nitafune karatas nimeze???
Kip bora kwa matokeo mazur
Bado uamuzi unao mwenyewe kulingana na MUKTADHA wa matokeo.... Hatufanani.. Inategemea umefanyiwa nini, umedhulumiwa nini.. Nk nk
 
Hakuna kitu hapo. Hayo ni maneno ya kawaida sana kama mengine hayana madhara yoyote katika Maisha ya mwanadamu.
Usiogopeshe wadau humu ndani.
 
Uko eneo lenye mambo yote [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Ahhhh mshana eneo la kilinge cha wachawi linakuaje ni bahati kwangu mzee manyaunyau...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hebu fafanua usiniache njiaapanda [emoji16][emoji16]
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] Ahhhh mshana eneo la kilenge cha wachawi linakuaje ni bahati kwangu mzee manyaunyau...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], hebu fafanua usiniache njiaapanda [emoji16][emoji16]
Kuna vingi vunatupwa unaweza kuokota fuko la midorari
 
Back
Top Bottom