Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

Kwahio yanga akiwa juu ya simba inakuongezea shilingi ngapi kwenye maisha yako
 
Gongowazi wengi haya mahesabu hawayajui wengi wanavamia tu baada ya kuona wadau wa sports wamezungumza.

Kuna moja humu lilikuwa linabisha bila hoja nikaamua kuliacha libaki na msimamo wake.

Ukimtoa changaule hakuna Gongowazi ambaye unaweza kufanya mabishano yenye hoja.

The rest ni kama alivyosema Manara.
 
Yani hayana akili
 
Basi wewe endelea 'kujikita' kwenye pesa, mimi nikienda kwa jirani kuangalia mpira wa timu yangu pendwa, ninafurahi, napata amani, hiyo inanitosha πŸ˜€
Na uwanjani utaenda zikitolewa tiketi bure, na jezi hutonunua, inshort umeamua kuwa mzigo kwa timu unayoshabikia. Halafu mkuu, hao wachezaji unaenda kuwatazama wanalipwa pesa.
 
Na uwanjani utaenda zikitolewa tiketi bure, na jezi hutonunua, inshort umeamua kuwa mzigo kwa timu unayoshabikia. Halafu mkuu, hao wachezaji unaenda kuwatazama wanalipwa pesa.
Pesa niliyonayo inanitosha! Hata nisingekuwa nayo nikisikiliza mpira redioni kwa jirani inatosha pia! Pesa ina kila kitu lakini kila kitu si pesa! Jifunze kufurahia maisha bila kuruhusu material things itawale furaha yako.
 
Unajumlishaje?
 
Pesa niliyonayo inanitosha! Hata nisingekuwa nayo nikisikiliza mpira redioni kwa jirani inatosha pia! Pesa ina kila kitu lakini kila kitu si pesa! Jifunze kufurahia maisha bila kuruhusu material things itawale furaha yako.
Sasa mbona sikuelewe mkuu, kumbe pesa unayo. Kwahiyo unahitaji pesa uhitaji?
 
Ninahitaji. Lakini si kwa namna unayoizungumzia wewe kwamba siruhusiwi kufurahia mpira au kushabikia mpira, au kuzungumzia mambo yanayonipa furaha! Sasa hiyo pesa itakuwa na manufaa gani?
Ili ufurahie huo mpira unahitaji pesa si ndio? Au?
 
Na uwanjani utaenda zikitolewa tiketi bure, na jezi hutonunua, inshort umeamua kuwa mzigo kwa timu unayoshabikia. Halafu mkuu, hao wachezaji unaenda kuwatazama wanalipwa pesa.
Wanalipwa pesa zetu Wanachama
Acha kijana afurahie Yanga yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…