MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Unaelewa maana ya 5 year ranking? Alama za mwaka husika zinazidishwa kwa coefficient ya 5, mwaka jana ×4, mwaka juzi × 3 nk. Hivyo alama huweza kupanda na kushuka kulingana na alama alizovuna mwaka husikaHao wengine walipigiwaje mahesabu!? Au hakuna aliyefuzu kipindi hicho!?.
Haya ngoja tuone msimu ukiisha.Unaelewa maana ya 5 year ranking? Alama za mwaka husika zinazidishwa kwa coefficient ya 5, mwaka jana ×4, mwaka juzi × 3 nk. Hivyo alama huweza kupanda na kushuka kulingana na alama alizovuna mwaka husika
Usiwasanue mitaahira hiyoCalculator unayo?
Hebu angalia hiyo link. Mpaka 2024 Simba ailikuwa wa 7 point 39, Kwa kwenda Robo tayari ameongeza point 3 maana yake kibindoni ana poin 42.
Utopolo nafasi ya 13, point 31, tumia calculator mkifika final ya CAF Champion League mtakuwa na point ngapi na utahitaji kufika final mara ngapi na probability ya kufika final back to back ni ngapi kwenu.
Yanga wenye akili wawili tuMpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!
Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Waandishi walionunuliwa kuandika habari zao ndio changamoto sana,ndio maana huoni wachezaji wazawa wakiume a zaidi ya Fei toto wengine hawawaoni kisa wamenunuliwa kuwapamba ili wapate posho,tunataarifa zao ilatunawapotezea tuCalculator unayo?
Hebu angalia hiyo link. Mpaka 2024 Simba ailikuwa wa 7 point 39, Kwa kwenda Robo tayari ameongeza point 3 maana yake kibindoni ana poin 42.
Utopolo nafasi ya 13, point 31, tumia calculator mkifika final ya CAF Champion League mtakuwa na point ngapi na utahitaji kufika final mara ngapi na probability ya kufika final back to back ni ngapi kwenu.
Na ndio itakavyokuavinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
1.Wakati Simba imeanza kushiriki michuano ya CAF Yanga ilikuwa INA kazi ya kuwapokea wapinzani WA Simba Airport.🤷Utopolo wenye akili wawili tu
Zamu yenu..!! Maana kwa sasa mna hali mbayaMliteseka sana, poleni
Kwa hiyo...Mpaka sasa yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya caf ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba!
Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake tena ni mpaka afike nusu fainali ya shirikisho vinginevyo ataendeleza kuwa chini ya Yanga rasmi!
Na mbumbumbu walioletewa manzoki kwenye uchaguzi wakapiga makofi tuwaweke kundi Gani? Rage aliona mbali kuwaita mbumbumbu!Hu
Yanga wenye akili wawili tu
Tutaendelea kuwaelewesha mpaka wakae sawa 😀Uzi nimeusoma upo makini sana ila kuna watu waliingia kwa pupa bila kuwa na uelewa, kwa bahati nzuri wakapewa elimu wakaanza kubadilisha mada kwa kejeli.
Usipoelewa omba ueleweshwe. Asante sana MwananchiOG
Yaani mtu yuko robo fainali halafu unasema ana hali mbaya? Kweli standard za simba ni nomaZamu yenu..!! Maana kwa sasa mna hali mbaya
Robo mara ya ngapi? Huwezi kujiona uko vizuri kwa kufika unapoishia kila siku..!! Kama kweli upo vizuri, songa mbele zaidiYaani mtu yuko robo fainali halafu unasema ana hali mbaya? Kweli standard za simba ni noma
Sasa wewe mashindano bado yanaendelea umekaza ubongo tu 5 year ranking... Timu bado zinapambana au ndo mmefika mwisho CAF iwatole hizo 5 year ranking.Unaelewa maana ya 5 year ranking? Alama za mwaka husika zinazidishwa kwa coefficient ya 5, mwaka jana ×4, mwaka juzi × 3 nk. Hivyo alama huweza kupanda na kushuka kulingana na alama alizovuna mwaka husika
Wydad anapambana na nani? Tp Mazembe anaendelea kupambabia nini? Yanga inajulikana wameshavuna alama 10 , wengine wameshafuzu robo na wameshavuna alama, sasa tukipiga hesabu za wakati uliopo kuna ubaya gani? Tunazungumzia alama zilizopatikana mpaka sasa, tunafahamu bado kuna uwezekano wa baadhi ya timu kuongeza alama zaidi, mfano Yanga akifuzu robo atavuna alama 15, akienda nusu atavuna 20 nk. Sasa wewe usichokielewa hapo ni kipi?Sasa wewe mashindano bado yanaendelea umekaza ubongo tu 5 year ranking... Timu bado zinapambana au ndo mmefika mwisho CAF iwatole hizo 5 year ranking.
Kwani simba kashatolewa? Watauvuka mto wakiufikiaRobo mara ya ngapi? Huwezi kujiona uko vizuri kwa kufika unapoishia kila siku..!! Kama kweli upo vizuri, songa mbele zaidi
Tulia, Subiri msimu utakwisha nafasi yenu itajulikana, hata ikishika namba 1 Africa mtakuwa mmestahili mtalipia bango mnywe na supu tusubiri msimu ujao. Hili ni suala endelevu, haliishi mkiwa juu ya Simba, utakufa ukiliacha linaendelea.Wydad anapambana na nani? Tp Mazembe anaendelea kupambabia nini? Yanga inajulikana wameshavuna alama 10 , wengine wameshafuzu robo na wameshavuna alama, sasa tukipiga hesabu za wakati uliopo kuna ubaya gani? Tunazungumzia alama zilizopatikana mpaka sasa, tunafahamu bado kuna uwezekano wa baadhi ya timu kuongeza alama zaidi, mfano Yanga akifuzu robo atavuna alama 15, akienda nusu atavuna 20 nk. Sasa wewe usichokielewa hapo ni kipi?