Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sasa hakibambi tena kama ilivyokuwa!
Zile hekaya za makaburi ya watu wengi [mass graves] hazivumi tena.
Hata makamanda nao naona wamekubali matokeo. Wameona kirusi hakina shobo kivile. Nimemwona ‘jasusi’ mbobezi akiselfika na wanasiasa wa upinzani bila barakoa wala tahadhari yoyote dhidi ya huyo korona.
Hakuna cha kukaa mbalimbali [social distancing] wala nini.
Kiki za kirusi Rais Magufuli kaziua kabisa. Niseme tu ukweli kuwa kwenye hili nimemkubali saaana.
Kesho ACT wanakutana Mlimani City [katika kile kinachosadikiwa kuwa ni kutangaza ujio wa ‘jasusi’ mbobezi kwenye chama chao]. Sitarajii kuona nyuso zilizofunikwa na barakoa na sitarajii kuona ukumbi ulio mtupu [ingawa wanaweza kubadili mipango yao dakika za mwisho ili tu wafanye nionekane sijui kitu 😄].
CCM walifanya mkutano wao wiki iliyopita. Hivi kuna mtu hata mmoja aliyekuwa kavaa barakoa? Social distancing ndo kabisa! Ni foreign concept 🤣.
Hebu waone...
Bado msimamo wangu kuhusu COVID uko palepale. Huo ugonjwa au sijui hako ka kirusi, siyo hatari kama tunavyoaminishwa.
Magufuli oyeeee kwa kusimama kidete kupinga na kukataa kutishwa tishwa na mawakala wa kusambaza uoga na uongo.
Zile hekaya za makaburi ya watu wengi [mass graves] hazivumi tena.
Hata makamanda nao naona wamekubali matokeo. Wameona kirusi hakina shobo kivile. Nimemwona ‘jasusi’ mbobezi akiselfika na wanasiasa wa upinzani bila barakoa wala tahadhari yoyote dhidi ya huyo korona.
Hakuna cha kukaa mbalimbali [social distancing] wala nini.
Kiki za kirusi Rais Magufuli kaziua kabisa. Niseme tu ukweli kuwa kwenye hili nimemkubali saaana.
Kesho ACT wanakutana Mlimani City [katika kile kinachosadikiwa kuwa ni kutangaza ujio wa ‘jasusi’ mbobezi kwenye chama chao]. Sitarajii kuona nyuso zilizofunikwa na barakoa na sitarajii kuona ukumbi ulio mtupu [ingawa wanaweza kubadili mipango yao dakika za mwisho ili tu wafanye nionekane sijui kitu 😄].
CCM walifanya mkutano wao wiki iliyopita. Hivi kuna mtu hata mmoja aliyekuwa kavaa barakoa? Social distancing ndo kabisa! Ni foreign concept 🤣.
Hebu waone...
Bado msimamo wangu kuhusu COVID uko palepale. Huo ugonjwa au sijui hako ka kirusi, siyo hatari kama tunavyoaminishwa.
Magufuli oyeeee kwa kusimama kidete kupinga na kukataa kutishwa tishwa na mawakala wa kusambaza uoga na uongo.