2015-16 Real Madrid Atlético Madrid 1-1 (5–3)
2014-15 Barcelona Juventus 3-1
2013-14 Real Madrid Atlético Madrid 4-1
2012-13 Bayern Munich Borussia Dortmund 2-1
2011-12 Chelsea Bayern Munich 1-1 (4–3)
2010-11 Barcelona Manchester United 3-1
2009-10 Internazionale Bayern Munich
Tumia kichwa chako kufikiri my dear, kwenda kliniki na maternity gown ya bei kubwa hakukusaidii kuzaa mapacha. Nimekuekea list ya WINNERS na RUNNER UPS kuanzia 2010. Angalia number of entries kati ya La Liga na EPL, hapo ndio kwenye majibu ya nani mkali, maana mpira unachezwa uwanjani na sio DSTV.
La Liga 6 entries
Bundesliga 3 entries
EPL 2 entries na
Serie A 2.
Sasa hizo takwimu zako za DSTV zitaisaidia vipi Chelsea kuifunga Barcelona? Au wewe kwa akili yako kwa kuwa wengi wanaangalia ngono zaidi ya makala za biashara basi kwako ngono is more productive?