Kweli hakuna anayekufwatilia maisha ila what if siku mwanao au mkeo akaijua ID yako unexpectedly utakuwa comfotable around her kwa unayoyaandika??Mimi nacoment chochote, regardless [emoji38][emoji38] heshima itashuka kwa nani? Hakuna mtu wa kunifuatilia maishaa.
Kweli hakuna anayekufwatilia maisha ila what if siku mwanao au mkeo akaijua ID yako unexpectedly utakuwa comfotable around her kwa unayoyaandika??
Pole sana rafiki! Una ufahamu mzambarau? Tafuta Maganda ya mti wake, twanga na uchemshe. Kunywa lita moja asubuhi, mchana na Jioni kwa muda wa mwezi mmoja. Halafu utakuja niambia kuhusu CD4 na mengine. Jioni NjemaKuna sehemu mkuu nimesema kwamba sina UKIMWI?? Acha kunizushia bwana utanifanya nikose ARV za bure. Sema rafiki yangu alichelewa kuanza kutumia dawa ndio maana akafa kwa UKIMWI. Kwetu sitoki kama unataka njoo unipige na kushindikana kwangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umetoa povu kama umetoka kupumuliwa vile. Yaani utafungua kila aina ya fake IDs ila uhalisia wako utabaki palepale ni SHOGA uliyeshindikana. Si umekula BAN juzi tuu ushakuja na ID mpya. TAFUTA KAZI YA KUFANYA uache kuliwa mtaro bure.
Asante sana mkuu, ila sina huo UKIMWI nilimjibu huyo aliyekurupuka kuja kunitukana kama kawekwa kaa la moto chini. Nashukuru kwa elimu i hope itawasaidia na wengine watakaosoma hapa wenye uhitaji.Pole sana rafiki! Una ufahamu mzambarau? Tafuta Maganda ya mti wake, twanga na uchemshe. Kunywa lita moja asubuhi, mchana na Jioni kwa muda wa mwezi mmoja. Halafu utakuja niambia kuhusu CD4 na mengine. Jioni Njema
Kama Josephine Nyamwasa niko nae huku Takamatsu.🙂🙂 hivi Josephine yuko wapi ..
Wewe kweli ndo maana mtoto alichukuliwa. Umeona kuna sehemu nimekutaja? Wewe mtu anazaa nawe kwa bahati mbaya tu. Ujinga wako unaleta huku.... We mwanamke hovyo sana. Hamna mwanaume anaweza jisifia kuzaa na wewe kwa akili zako. Ukue wewe. Mtoto alikuwa salama zaidi kwa bibi yake kuliko kwako. Watu wanajuta kutotumia condoms sometime si sababu ya kuogopa HIV ila tu kuzaa na kichwa kama hiki. 😁Acha kupenda kiki kwa kitu ambacho sio cha kweli mkuu, hii tabia yako inaanza kumcost hata baba mtoto wangu wanaojua ID yangu wakiona hivi wanamdharau sana wakijua ndio yeye anayeandika pumba hizo. Kua basi atlist kidogo hata kama tupo behind fake IDs unaweza jiropokea chochote ni haki yako ila sio kwa kiwango hiki. Hivi unaonaga fahari sana ukionekana ulizaa na mimi eeh??
Achana na huyu ameshachanganyikiwa.
Kumbe! Basi sawaAsante sana mkuu, ila sina huo UKIMWI nilimjibu huyo aliyekurupuka kuja kunitukana kama kawekwa kaa la moto chini. Nashukuru kwa elimu i hope itawasaidia na wengine watakaosoma hapa wenye uhitaji.
Acha kupenda kiki za kijinga nimemaliza.Wewe kweli ndo maana mtoto alichukuliwa. Umeona kuna sehemu nimekutaja? Wewe mtu anazaa nawe kwa bahati mbaya tu. Ujinga wako unaleta huku.... We mwanamke hovyo sana. Hamna mwanaume anaweza jisifia kuzaa na wewe kwa akili zako. Ukue wewe. Mtoto alikuwa salama zaidi kwa bibi yake kuliko kwako. Watu wanajuta kutotumia condoms sometime si sababu ya kuogopa HIV ila tu kuzaa na kichwa kama hiki. [emoji16]
🤣🤣Au namna gani pale[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo ni one of the halls of residences main campus. Haya endelea kutetea mada yako. Hahaaa...naona imekurudia kwa Kasi ya 4G.Ni ndoo ya kuogea huoni soap dish na sabuni hiyo?? Kwa waliosoma UDSM haiihitaji kuuliza kama hapo ni hostels zao
Hahaaaa yaani swali hili umemuuliza chizi maarifa?No nimemaanisha umemzalisha mtoto yaani we ni baba wa watoto wake
Hahahaa najaribu kujitetea kwa nguvu zote, naona vijana wa hovyo wananivamia. Halafu asilimia 99 ndio zikianikwa IDs zao in real life watakimbianaHapo ni one of the halls of residences main campus. Haya endelea kutetea mada yako. Hahaaa...naona imekurudia kwa Kasi ya 4G.
Sema nini kuna inshu za kupotezea siyo kila kitu unajibu. Cheki replies zako hapo juu na mada yako.Hahahaa najaribu kujitetea kwa nguvu zote, naona vijana wa hovyo wananivamia. Halafu asilimia 99 ndio zikianikwa IDs zao in real life watakimbiana
Hakika, Niliwahi andika hapa | What you post online speaks VOLUME about who you really are. POST with intention. REPOST with caution!"Jamani wanajukwaa mitandao ya kijamii inadefine sana jinsi ulivyo. Kile unachokiandika humu kinadefine uhalisia wako kwa hiyo tujitahidi sana kuandika vitu vyenye tija na vya maana. Unaweza kuwa mtu unayeheshimika kweli ila mitandao ikakufanya ujishushie heshima yako.
Heee huu uzi nao Kwema😀😀Kuna sehemu mkuu nimesema kwamba sina UKIMWI?? Acha kunizushia bwana utanifanya nikose ARV za bure. Sema rafiki yangu alichelewa kuanza kutumia dawa ndio maana akafa kwa UKIMWI. Kwetu sitoki kama unataka njoo unipige na kushindikana kwangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umetoa povu kama umetoka kupumuliwa vile. Yaani utafungua kila aina ya fake IDs ila uhalisia wako utabaki palepale ni SHOGA uliyeshindikana. Si umekula BAN juzi tuu ushakuja na ID mpya. TAFUTA KAZI YA KUFANYA uache kuliwa mtaro bure.
Acha kujitangazia ujinga ulianza kuja lalamika humu mtoto kachukuliwa. Utadhani wakati unapewa mimba ulileta taarifa humuAcha kupenda kiki za kijinga nimemaliza.