Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Pole sana rafiki! Una ufahamu mzambarau? Tafuta Maganda ya mti wake, twanga na uchemshe. Kunywa lita moja asubuhi, mchana na Jioni kwa muda wa mwezi mmoja. Halafu utakuja niambia kuhusu CD4 na mengine. Jioni Njema
 
Pole sana rafiki! Una ufahamu mzambarau? Tafuta Maganda ya mti wake, twanga na uchemshe. Kunywa lita moja asubuhi, mchana na Jioni kwa muda wa mwezi mmoja. Halafu utakuja niambia kuhusu CD4 na mengine. Jioni Njema
Asante sana mkuu, ila sina huo UKIMWI nilimjibu huyo aliyekurupuka kuja kunitukana kama kawekwa kaa la moto chini. Nashukuru kwa elimu i hope itawasaidia na wengine watakaosoma hapa wenye uhitaji.
 
Wewe kweli ndo maana mtoto alichukuliwa. Umeona kuna sehemu nimekutaja? Wewe mtu anazaa nawe kwa bahati mbaya tu. Ujinga wako unaleta huku.... We mwanamke hovyo sana. Hamna mwanaume anaweza jisifia kuzaa na wewe kwa akili zako. Ukue wewe. Mtoto alikuwa salama zaidi kwa bibi yake kuliko kwako. Watu wanajuta kutotumia condoms sometime si sababu ya kuogopa HIV ila tu kuzaa na kichwa kama hiki. 😁
 
Acha kupenda kiki za kijinga nimemaliza.
 
Heee huu uzi nao Kwema😀😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…