Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hee
Nikamuuliza umeijuaje ID yake mbona zaidi yangu hakuna anayeijua au ulipekua simu yangu kusoma PM zangu eeh? Akajibu hapana, sehemu nyingi sana anatagiwa hata kuna uzi wake pia alijisema yeye ndio baba wa anko wangu. Kweli Shemeji anajiaibisha sana hata kama tunatumia fake IDs (Mimi na dogo tunazijua ID's zetu).
Mtu namjua ID yake automatically nikiingia uzi aliochangia nitamwona. Yeye pia analike sana comment zangu means huwa ananifwatilia?? No hatufwatiliani ila kwa kuwa tunajua ni ID ya fulani lazima utainotice.Mtu yupo anonymous ili awe huru kuandika anachotaka kuandika, humu kuna watu na nafasi zao kubwa na wanaandika ushenzi, let them be.
Hata hivyo ulishaachana nae, kumfatilia manake ni kuwa kuna jambo bado unalitaka.
Hajaleta umbea ila alishangaa kuna ID inajinasibu ni baba wa anko halafu inaandika pumba na ujinga. Ikabidi nimwambie hana ujinga huoKwahiyo mdogo wako wa kiume ndio anakuletea umbea kuhusu shemeji yake!
Mwambie huyo mdogo wako atafute kazi ya kumkeep busy ili aache ujinga.
Anaeyeandika ujinga sio baba mtoto wangu ila ni mjinga mmoja anayetembelea kiki tuuWewe na baba mtoto wako (kama kweli) yamalizeni nje ya mtandao...
Unachokilalamikia hapa ndio hicho hicho ambacho umekuwa unakifanya na hata kwenye uzi huu unafanya vivyo hivyo...
Ni kwanini unafanya hivyo?? Obviously jibu itakuwa incase watu wasijue ID yako nashangaa wanaobisha ila ni ukweli tunajificha kwa fake IDs ila ikitokea ikawa exposed wengi heshima zitashuka kwenye jamii.Situmiii jf kupitia app so rahis mtu akajua kama natumia, nikishamaliza kubrowse naclear history naswitch email chap.
Huwa ananiambia kila siku hiyo avatar toa dada inakudefine ndivyo sivyo hata kama sio wewe kwenye picha. Alishanipa ukweli mchungu toka siku alioijua ID yanguMbona we kwenye profile yako umeweka picha umegeukia nyuma? Hujui hiyo nayo inasadifu ulivyo
Mdogo wako alitakiwa aanze na wewe dada yake kukujulisha kuwa anakudharau kwa mambo unayofanya
Apana sijawahi fungua thread yeyote humu zaidi ya comments za hapa na pale na venye hazina content mbaya sema sipendi kujulikana na hata kwa mitandao nayotumia situmii ID halisi kwa sababu hamna cha maana nachotegemea kukipata mtandaoni zaidi ya habar sawa na kijiweniNi kwanini unafanya hivyo?? Obviously jibu itakuwa incase watu wasijue ID yako nashangaa wanaobisha ila ni ukweli tunajificha kwa fake IDs ila ikitokea ikawa exposed wengi heshima zitashuka kwenye jamii.
Mbona tunazijua IDs kibao na hatufatilii maandishi yao? Kwamba kama unanifaham in person utakuwa kila ninachoandika unafatilia na nikiandika upupu unaanza kunidharau?Mtu namjua ID yake automatically nikiingia uzi aliochangia nitamwona. Yeye pia analike sana comment zangu means huwa ananifwatilia?? No hatufwatiliani ila kwa kuwa tunajua ni ID ya fulani lazima utainotice.
Huyo sio mzazi mwenzangu mkuu,Mzazi mwenzie Chizi Maarifa ndiye anaongelewa hapo ama nani?
Sasa mbona hujaitoa?Huwa ananiambia kila siku hiyo avatar toa dada inakudefine ndivyo sivyo hata kama sio wewe kwenye picha. Alishanipa ukweli mchungu toka siku alioijua ID yangu