Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ungekaa kimya,
Hata wewe unamatatizo Kwa huo uandishi wako.
Duh, sawa mkuu. Kumbe ni third party anajadiliwa na third party?Ukirudi kusoma uzi vizuri utagundua huyo anayeandika upuuzi sio Ex shemeji yake na nilimuelekeza tatizo umesoma kwa kukimbilia kucoment, anyway my Ex is very anonymous even to my young bro zaidi yangu hakuna anayejua ID yake na huwa hacoment upuuzi.
Umetishaaaa 🔥🤣🤣Password ya simu yenyewe inaupdetiwa kila baada ya dakika 20 just in case 🤣
Anaeyeandika ujinga sio baba mtoto wangu ila ni mjinga mmoja anayetembelea kiki tuu
Umetishaaaa 🔥🤣🤣
Ngoja tumsubiri
Ndio yeye anaishi maisha yake anonymous ila anayetaka trend na kiki ni tofauti kabisa.
In real life before kabla sijawa mama nilikuwa napenda sana kuvaa nguo fupi ( ingawa profile sio mimi) but baada ya kukua nikaacha na picha hiyo ina historia sana ni ya rafiki yangu ambae hayupo tena duniani na nina pic yake hiyo tuu hapa ndio sehemu ambayo haitapotea kabisa unless nikiitoa.Mbona suala lako la profile hujalifafanua?
Hiyo picha imekaa kikahaba je inakudefine ulivyo?
Sasa mkuu,Ndio mkuu tunayemjadili ni third party na sio mhusika.
Mbona kama Kuna mahali umetafuna tafuna hujaeleweka. Ulivyomuuliza huyo mdogo wako mbea kajuaje kama hiyo id ni ya huyo shemeji yake mbona kajiuma uma tu mara anatagiwa mara sijui nn
hmm wa kienyeji kabisa uyu una kula mpaka unasaza