Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Ukirudi kusoma uzi vizuri utagundua huyo anayeandika upuuzi sio Ex shemeji yake na nilimuelekeza tatizo umesoma kwa kukimbilia kucoment, anyway my Ex is very anonymous even to my young bro zaidi yangu hakuna anayejua ID yake na huwa hacoment upuuzi.
Duh, sawa mkuu. Kumbe ni third party anajadiliwa na third party?
 
Anaeyeandika ujinga sio baba mtoto wangu ila ni mjinga mmoja anayetembelea kiki tuu

Ushauri wangu ni anza kwa kujirekebisha wewe...

Huyo unayemuita si baba mtoto wako asingekuwa anaandika kama wewe usingelikuwa kuweka nyuzi za maisha yako ya kudinyana hadi kupelekea kuleta kiumbe duniani...

Sisi wengine tumekujua kwa sababu ya nyuzi zako hizo na infact umetuachia memory fulani hivi (i dont want to disclose) kuwa trudie ni kiumbe wa namna gani...
 
Mbona suala lako la profile hujalifafanua?
Hiyo picha imekaa kikahaba je inakudefine ulivyo?
In real life before kabla sijawa mama nilikuwa napenda sana kuvaa nguo fupi ( ingawa profile sio mimi) but baada ya kukua nikaacha na picha hiyo ina historia sana ni ya rafiki yangu ambae hayupo tena duniani na nina pic yake hiyo tuu hapa ndio sehemu ambayo haitapotea kabisa unless nikiitoa.
 
Back
Top Bottom