Hizo mada sio mpaka uzilete mara nyingi, ukiileta mara moja tu, inatosha kukuweka kwenye list 😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kweli kabisa ila tuwe na kiasi na tunayoyaandika mkuu. Imagine kila siku nilete mada za kubadilisha wanaume humu si lazima mtaconclude ndio nilivyo hata nje ya JF??
Hata sio shemeji yake anayeandikaga ujinga mkuu, ni memba tuu wa JF hatumjui aliamua kujinasibu humu.Huyo mdogo wako kwa jinsi anavyomfuatilia huyo shem wake na siku mdogo wako akigegedwa na huyo mumeo utaona kama atakuhadithia.
Fukuza huyo mkuda chap kabla hajakuvunjia ndoa
Umeona sasa?? Tena hawahawa wanaonitukana humu ndio vinara wa kutukana tena mtu akileta mada yake na wanamjudge kwenye maisha halisi. Huwa hawadhani kwamba anaweza kuwa anatoa stress au anachangamsha jukwaaHizo mada sio mpaka uzilete mara nyingi, ukiileta mara moja tu, inatosha kukuweka kwenye list [emoji28]
Mf. Wewe umeweka avatar nguo fupi na matako... haya unaji define aje humu + huko nje? 🤐🤐🏃♀️
Hivyo hivyo[emoji3]Mf. Wewe umeweka avatar nguo fupi na matako... haya unaji define aje humu + huko nje? [emoji850][emoji850][emoji2088]
😂😂😂😂 basi yatoshaaaaMf. Wewe umeweka avatar nguo fupi na matako... haya unaji define aje humu + huko nje? 🤐🤐🏃♀️
Inategemea..Unaamini hilo kabisa mkuu?? Unaweza kujisifia umalaya humu kuwa na wanawake wengi wakati in real life sio?? Lazima kutakuwa na asilimia fulani ya ukweli
Sawa mkuu una hoja usikilizwe pia.Yani kwenye maisha ya kawaida tuigize...na mtandaoni tuigize? ili kumfurahisha nani?
Badala ya kushauri turekebishe kuandika mtandaoni Bora ungesema turekebishe kuishi maisha ya kawaida a. Yani kama Wewe ni fisi ishi kifisi sio unaishi kwa kujificha ficha ili jamii ikuone Wewe ni kondoo
Simjui mtu huyu ( in Petroz voice)We unamtafuta Chizi Maarifa
Humu home mmoja ananiita Mamndenyi hata mbele za watu sijui wakinisoma wanawaza nini?Mfano mama siku binti yako akijua ID yako bahati mbaya vipi utabaki kuwa comfotable kwa unavyojipotray humu?? Ndio ninalolisemea
Sasa Kwann wewe hutaki kubadilika alaf unataka sisi tubadilike?Huwa ananiambia kila siku hiyo avatar toa dada inakudefine ndivyo sivyo hata kama sio wewe kwenye picha. Alishanipa ukweli mchungu toka siku alioijua ID yangu