Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔🤔🤔 Mmh sijaelewa hapo yaani ww au nani??Unamjua aliyemkojolea huyu " baba mzazi wangu"???
😃😃 Julieth Depal , Mie huyu nitumie mda wangu kweli kuandika vitu vya maana hapa JF.. labda niwe nimerogwa .. nitaendelea kuandika matapu matapu tu..Huu ni uongo 😃
Mf Romeo National Anthem kuna muda anajizima data anaandika upupu mtupu. Lakini tunaomjua in person tunaona kabisa wa jF sio yule tunayemjua sisi huku nje.
🙂🙂 hivi Josephine yuko wapi ..Dokta Slaa yuko wapi ?
Yaani trudie ni mtoto wangu?Inasadikika we ndo baba mzazi wa trudie sio
No nimemaanisha umemzalisha mtoto yaani we ni baba wa watoto wakeYaani trudie ni mtoto wangu?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji15]Bora ungekaa kimya,
Hata wewe unamatatizo Kwa huo uandishi wako.
Naona usalama mnabonga co🙂🙂 hivi Josephine yuko wapi ..
Ok. Nimekuelewa. Hayo mambo ya ndani sana si vema kuyaweka humu. Ninyi wenyewe mlishajionea kipindi kile.. yalileta shida sana kwa kweli.No nimemaanisha umemzalisha mtoto yaani we ni baba wa watoto wake
No sijui.Hujaelewa nini wakati wewe ndio umesema unasikia Chizi maarifa ni baba yangu mzazi?? Ndio nimekuuliza unamjua huyo aliyemkojolea??
Acha kupenda kiki kwa kitu ambacho sio cha kweli mkuu, hii tabia yako inaanza kumcost hata baba mtoto wangu wanaojua ID yangu wakiona hivi wanamdharau sana wakijua ndio yeye anayeandika pumba hizo. Kua basi atlist kidogo hata kama tupo behind fake IDs unaweza jiropokea chochote ni haki yako ila sio kwa kiwango hiki. Hivi unaonaga fahari sana ukionekana ulizaa na mimi eeh??Ok. Nimekuelewa. Hayo mambo ya ndani sana si vema kuyaweka humu. Ninyi wenyewe mlishajionea kipindi kile.. yalileta shida sana kwa kweli.
Wapo wanaomaanisha kweli, ila wengine wanaweka maudhui ya kuondoa tu msongo wa mawazoKwa asilimia fulani ina ukweli mkuu
Duuuh kwani Chizi Maarifa sio babaake watoto wako??Acha kupenda kiki kwa kitu ambacho sio cha kweli mkuu, hii tabia yako inaanza kumcost hata baba mtoto wangu wanaojua ID yangu wakiona hivi wanamdharau sana wakijua ndio yeye anayeandika pumba hizo. Kua basi atlist kidogo hata kama tupo behind fake IDs unaweza jiropokea chochote ni haki yako ila sio kwa kiwango hiki. Hivi unaonaga fahari sana ukionekana ulizaa na mimi eeh??