Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Una uhakika gani na hili unalosema?? Kuna sehemu yoyote nishawahi kumtaja ID ya baba mtoto wangu hata siku moja???
Haujawahi ila Chizi Maarifa ndo alikuwa anasema yeye ndo babaake mtoto wako tena alisema wapo 2 sijui.

Alisema eti ukiwa na shida ya elfu 10 unaanzisha thread ya kumlalamikia kuwa hakutumiii matumizi.

Au mi ndo sielewi
 
Duuuh kwani Chizi Maarifa sio babaake watoto wako??

Mbona watu huku ndani ndo tunavyojua [emoji848][emoji848][emoji848].
Sio kabisa mkuu na hata simjui wala hanijui, baba mtoto wangu mchaga lenyewe litindiga huko, kusema kweli inakera sana huu upuuzi.

Ukisoma vizuri hii mada pia nimekanusha kwamba huyu sio baba mtoto wangu.
 
wacha kushindana na mwanaume unajiabisha binti yangu
Nimeshindana na nani tena mkuu?? Huyu Chizi maarifa au nani?? Kusema kweli sishindani nae ila tabia yake ya kujifanya baba mtoto wangu inakwaza sana kiasi kwamba watu wanaoijua ID yangu halafu wanamjua baba mtoto wangu wanamshangaa sana wakati kiuhalisia huyu mtu hata hatujuani.
 
Haujawahi ila Chizi Maarifa ndo alikuwa anasema yeye ndo babaake mtoto wako tena alisema wapo 2 sijui.

Alisema eti ukiwa na shida ya elfu 10 unaanzisha thread ya kumlalamikia kuwa hakutumiii matumizi.

Au mi ndo sielewi
Ni kweli huwa anasema ila kiuhalisia hata hanijui huwa anaona akiongelea swala hilo anapata comment nyingi basi anafurahi.
 
Nimeshindana na nani tena mkuu?? Huyu Chizi maarifa au nani?? Kusema kweli sishindani nae ila tabia yake ya kujifanya baba mtoto wangu inakwaza sana kiasi kwamba watu wanaoijua ID yangu halafu wanamjua baba mtoto wangu wanamshangaa sana wakati kiuhalisia huyu mtu hata hatujuani.
haujuani nae kwa namna yoyote kuwa muwazi tuh
 
haujuani nae kwa namna yoyote kuwa muwazi tuh
Mkuu kama ingekuwa sio yeye kutaka privacy basi ningemtaja hapa baba wa mtoto wangu na hata siku akiruhusu basi nitamtaja. Huyo kaka simjui hata sura kwanza sina uhakika kama ni mwanaume au mwanamke nashangaa kwanini huwa anakazania kwamba ananijua. Niliamua kupotezea ila sasa inaleta picha mbaya kwa wanaotujua in real life na JF.
 
Mkuu kama ingekuwa sio yeye kutaka privacy basi ningemtaja hapa baba wa mtoto wangu na hata siku akiruhusu basi nitamtaja. Huyo kaka simjui hata sura kwanza sina uhakika kama ni mwanaume au mwanamke nashangaa kwanini huwa anakazania kwamba ananijua. Niliamua kupotezea ila sasa inaleta picha mbaya kwa wanaotujua in real life na JF.
ok sasa nikwambie jambo binti yangu kama kuna watu wanakujua nje ya jf nafikiri wanamjua na baba wa mtoto waeleweshe wakitaka maelezo wasipokuelewa achana nao au wambie wakamulize huyo baba mwenyewe.na huku mtandaoni mpuuze mbona ni jambo rahisi tuh wewe unavyo jipambanua ndio unalikuza jambo zaidi
 
In real life before kabla sijawa mama nilikuwa napenda sana kuvaa nguo fupi ( ingawa profile sio mimi) but baada ya kukua nikaacha na picha hiyo ina historia sana ni ya rafiki yangu ambae hayupo tena duniani na nina pic yake hiyo tuu hapa ndio sehemu ambayo haitapotea kabisa unless nikiitoa.
kwahio kabla hujawa singo mamá ulikua unavaa nusu uchi kama avatar inavyo muonesha lafikiyako akiwa amevaa nguo inavyo onesha Chupi ndani

ulivyo mjinga unaendelea kumzalilisha humu.unasema amesha kufa nahisi niukimwi ndio ulio muua bilashaka kwauvaaji wenu wewe na lafiki Yako marehemu nawewe ukimwi sijui ulikukosaje?

kwanini uliachana nabwana wako?nadhani niumalaya ulio jifunza utotoni jamaa akaona akuteme tuu

onasasa umegeuka kuwa zigo nyumbani kwenu kazi umbea tuu Tena unamfundisha mdogo wako wakiume umbea.

toka hapo kwenu unatia aibu kwa umalaya tuu.
singo mamá alie shindikana wewe.
huwezi kuolewa tenaaaa
 
ok sasa nikwambie jambo binti yangu kama kuna watu wanakujua nje ya jf nafikiri wanamjua na baba wa mtoto waeleweshe wakitaka maelezo wasipokuelewa achana nao au wambie wakamulize huyo baba mwenyewe.na huku mtandaoni mpuuze mbona ni jambo rahisi tuh wewe unavyo jipambanua ndio unalikuza jambo zaidi
Asante sana kwa ushauri mkuu..nimepokea ushauri
 
Ngoja nikung'ate sikio hii ya Chizi Maarifa ni id yake ya kutolea ya moyoni km ulikiwa hujui #Ni yeyee
Wala mkuu sio ID yake, yeye ya moyoni ananipigiaga simu kunipa direct na sio humu. Kuna personality ya mtu hata akiwa na id fake bado itajulikana tuu kama unamjua. Kuna uandishi fulani utafanana basi hao wawili ni mbingu na ardhi.
Ndio maana humu kuna ID mpya ikija na mada watu utasikia huyu lazima ni Wakuperuzi kaja na ID nyingine inajulikana tuu.
 
kwahio kabla hujawa singo mamá ulikua unavaa nusu uchi kama avatar inavyo muonesha lafikiyako akiwa amevaa nguo inavyo onesha Chupi ndani

ulivyo mjinga unaendelea kumzalilisha humu.unasema amesha kufa nahisi niukimwi ndio ulio muua bilashaka kwauvaaji wenu wewe na lafiki Yako marehemu nawewe ukimwi sijui ulikukosaje?

kwanini uliachana nabwana wako?nadhani niumalaya ulio jifunza utotoni jamaa akaona akuteme tuu

onasasa umegeuka kuwa zigo nyumbani kwenu kazi umbea tuu Tena unamfundisha mdogo wako wakiume umbea.

toka hapo kwenu unatia aibu kwa umalaya tuu.
singo mamá alie shindikana wewe.
huwezi kuolewa tenaaaa
Kuna sehemu mkuu nimesema kwamba sina UKIMWI?? Acha kunizushia bwana utanifanya nikose ARV za bure. Sema rafiki yangu alichelewa kuanza kutumia dawa ndio maana akafa kwa UKIMWI. Kwetu sitoki kama unataka njoo unipige na kushindikana kwangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umetoa povu kama umetoka kupumuliwa vile. Yaani utafungua kila aina ya fake IDs ila uhalisia wako utabaki palepale ni SHOGA uliyeshindikana. Si umekula BAN juzi tuu ushakuja na ID mpya. TAFUTA KAZI YA KUFANYA uache kuliwa mtaro bure.
 
Back
Top Bottom