Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Kile unachoandika mtandaoni kinasadifu jinsi ulivyo

Wote mnaoandika mapungufu ya wwnzenu mkumbuke kua nanyi mko na mapungufu sasa haina haka yakuja kutufaidisha hapa kumwaga mchele kwenye kuku wengi Kisha tukaanza kushambulia ili tushimbe huo ujinga wako ww pia ulie andika hii unatovu wa akili kua pungufu
Vizuri sana
 
Sasa mbona hunitag?? Mods wanafaidi sana ujinga wetu piem [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mello anifikirie tu anifanyie favor mdogo ake nateseka na umbea wa watu
Yule hata nikimchokoza huwa hajibu zaidi ya kulike tuu kwahiyo naishiaga kuchamba hewa tuuu.... ngoma wanakuja kucheza wasiohusika na mdundo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shem mrudie mwana
Mkuu hata dunia iumbwe upya hatuwezi kurudiana ( wote) kuna yale mahusiano yakivunjika inakuwa kama injili vile inasonga mbele hata mnapokutana unamuona kama kaka/ dada yako zero affection.
 
Mkuu hata dunia iumbwe upya hatuwezi kurudiana ( wote) kuna yale mahusiano yakivunjika inakuwa kama injili vile inasonga mbele hata mnapokutana unamuona kama kaka/ dada yako zero affection.
🤣🤣🤣🤣Mliachana kwa ubaya mngekua mmeachana kwa Amani ata viporo mngepasha
 
Yule hata nikimchokoza huwa hajibu zaidi ya kulike tuu kwahiyo naishiaga kuchamba hewa tuuu.... ngoma wanakuja kucheza wasiohusika na mdundo

Anajielewa sio wengine vichaa ndo kwanza anaandaa silaha kwa mpambano, kwann msikae chini mkamaliza tofauti zenu mlee mtoto!
Kwenye maisha kuna kukoseana hakuna mkamilifu
 
Back
Top Bottom