Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Soma reply hiyo uielewe.Mkuu umesoma huku unasinzia nini,,???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma reply hiyo uielewe.Mkuu umesoma huku unasinzia nini,,???
na Infinix zenu zenye utando wa buibui🤭Unapenda ligi wewe [emoji23][emoji23][emoji23]
Mawig ya kubond na super glue
Vizuri sanaWote mnaoandika mapungufu ya wwnzenu mkumbuke kua nanyi mko na mapungufu sasa haina haka yakuja kutufaidisha hapa kumwaga mchele kwenye kuku wengi Kisha tukaanza kushambulia ili tushimbe huo ujinga wako ww pia ulie andika hii unatovu wa akili kua pungufu
Yule hata nikimchokoza huwa hajibu zaidi ya kulike tuu kwahiyo naishiaga kuchamba hewa tuuu.... ngoma wanakuja kucheza wasiohusika na mdundoSasa mbona hunitag?? Mods wanafaidi sana ujinga wetu piem [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mello anifikirie tu anifanyie favor mdogo ake nateseka na umbea wa watu
Sawa.Nimekuuliza hivyo mkuu kwa sababu sijaona sehemu nimemwongelea huyo chizi kama namkubali. Labda sijaelewa nilichoandika
🤙Jitafakari kwanzaVizuri sana
🤣🤣🤣Shem mrudie mwanaYule hata nikimchokoza huwa hajibu zaidi ya kulike tuu kwahiyo naishiaga kuchamba hewa tuuu.... ngoma wanakuja kucheza wasiohusika na mdundo
Mkuu hata dunia iumbwe upya hatuwezi kurudiana ( wote) kuna yale mahusiano yakivunjika inakuwa kama injili vile inasonga mbele hata mnapokutana unamuona kama kaka/ dada yako zero affection.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shem mrudie mwana
🤣🤣🤣🤣Mliachana kwa ubaya mngekua mmeachana kwa Amani ata viporo mngepashaMkuu hata dunia iumbwe upya hatuwezi kurudiana ( wote) kuna yale mahusiano yakivunjika inakuwa kama injili vile inasonga mbele hata mnapokutana unamuona kama kaka/ dada yako zero affection.
Unamix calorite' zile creams za 2000 unamix kama 4 hivi...na kajik kakuuchachusha😆[emoji23][emoji23][emoji23] Mkorogo wa low budget afu umedunda sugu kibao niliweka jik
Kuna mahali amesema, ''hatakama namchukia, simpendi ni shemeji yako'' kwenye maongezi yake na mdogo wake wakiume 😂😂Mf. Wewe umeweka avatar nguo fupi na matako... haya unaji define aje humu + huko nje? 🤐🤐🏃♀️
Yule hata nikimchokoza huwa hajibu zaidi ya kulike tuu kwahiyo naishiaga kuchamba hewa tuuu.... ngoma wanakuja kucheza wasiohusika na mdundo
Fact kama ugomvi unaweza malizika basi make mmalizege hiyo kituAnajielewa sio wengine vichaa ndo kwanza anaandaa silaha kwa mpambano, kwann msikae chini mkamaliza tofauti zenu mlee mtoto!
Kwenye maisha kuna kukoseana hakuna mkamilifu
Unamix calorite' zile creams za 2000 unamix kama 4 hivi...na kajik kakuuchachusha[emoji38]
Kumbe saa nyengine unakuwa na mawazo yenye akili ATI, hongera.Anajielewa sio wengine vichaa ndo kwanza anaandaa silaha kwa mpambano, kwann msikae chini mkamaliza tofauti zenu mlee mtoto!
Kwenye maisha kuna kukoseana hakuna mkamilifu
eNa magadi afu unauweka juani uive vizuri dah! [emoji23]
Hizi akili Leo kakopesha wapi Shem cjui🤣Ila wewe😆😆😆
e
Kumbe saa nyengine unakuwa na mawazo yenye akili ATI, hongera.