YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,155
- 36,337
Ila wewe[emoji38][emoji38][emoji38]
e
Unaliongezea kasi ya 5G [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wewe[emoji38][emoji38][emoji38]
e
Hizi akili Leo kakopesha wapi Shem cjui[emoji1787]
SUgu kama zotee..uso mwekunduuu...ukipishana na mtu unasmell balaa...dahUnaliongezea kasi ya 5G [emoji23]
SUgu kama zotee..uso mwekunduuu...ukipishana na mtu unasmell balaa...dah
Sipendi hayo mamichirizi..haahaaa mikononi yamepasuka balaa..Ngozi km kitimoto, michirizi km half cake za mama Kibinda nkoi
trudieKwa ninachoandikaga Naombeni mniambie Tabia zangu kwanza!🤔
Nawe pia ruksa kunijaji kwa maandishi mamy!
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!!Ngumu sana kumtafsiri mtu mwenye akili zake kwa kupitia JF.Ni ngumu.
Trudie Mimi unachonishangaza ni vile vitu vyako unakataa sio kweli ila vya Antonia ndio unafosi viwe kweli hapo tu unaponiacha hoi!!Sio kabisa mkuu na hata simjui wala hanijui, baba mtoto wangu mchaga lenyewe litindiga huko, kusema kweli inakera sana huu upuuzi.
Ukisoma vizuri hii mada pia nimekanusha kwamba huyu sio baba mtoto wangu.
Hapana mkuu halafu hatukuachana kwa ubaya huwezi amini mpaka siku nimemuaga naondoka tunaongea vizuri na kutakiana heri ya maisha. Hata baada ya kubreak up still tulikuwa friends. Sema sijuagi kwanini pamoja na bond ya mtoto tuliyonayo tukionana we feel nothing zaidi ya urafiki tuu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mliachana kwa ubaya mngekua mmeachana kwa Amani ata viporo mngepasha
Kwani ishu yake ni kweli maana naona kama ni changamsha genge.Trudie Mimi unachonishangaza ni vile vitu vyako unakataa sio kweli ila vya Antonia ndio unafosi viwe kweli hapo tu unaponiacha hoi!!
Juzi nilishangaa sana zile habari ulizonipa za Jr!!
Mbaya zaidi mimi humu hakuna sehemu huyo uliemsema alitoa Uzi kuhusu kuwa na mtoto namimi wala mi nayeye hatujawahi zozana kama mlivo weww na Chizi Maarifa !
Nashukuru sasa umejua kuwa si kila wanachokuongelea wana jf kukuhusu ni cha kweli!!
Unajua kuna pumba mtu unaandika but still personality yako inabaki kuwa positive halafu kuna zile pumba zinazokufanya udharaulikeKwa pumba/ ujinga ninaoandikaga humu Naombeni mniambie Tabia zangu halisi kwanza nipo nimekaa paleeee[emoji117][emoji144][emoji144] [emoji848]
Jamani sikukufosi ila niliuliza tuu, kuna uzi wako mmoja ulisema uulizwe chochote utajibu ndio nilipoona wanasema umezaa mtoto na Smart911 na wala hukukataa wala kukubali thats why juzi nikauliza.Trudie Mimi unachonishangaza ni vile vitu vyako unakataa sio kweli ila vya Antonia ndio unafosi viwe kweli hapo tu unaponiacha hoi!!
Juzi nilishangaa sana zile habari ulizonipa za Jr!!
Mbaya zaidi mimi humu hakuna sehemu huyo uliemsema alitoa Uzi kuhusu kuwa na mtoto namimi wala mi nayeye hatujawahi zozana kama mlivo wewe na Chizi Maarifa !
Nashukuru sasa umejua kuwa si kila wanachokuongelea wana jf kukuhusu ni cha kweli!!
Anyways acha tuishi humohumoo tu!!
Kumbe mimi najuaga nyuzi zako ni utani ila kwa nini maisha yako unaamishia kwenye mtandao unadhani huku utapata faraja au amani🤷🏼♀️Ni kweli baba mtoto wangu yupo humu ila sio Chizi maarifa ndio mzozo unapokuja kila siku.