Kili Marathon kugawa barakoa kwenye Mbio zitakazofanyika mwaka huu

Watu wana kojorea pazuri piga picha hapo awe uchi wa munyama.
Naona jamaa hapo juu amesahau kwenda kwake karibu atadondosha mfuko na mwanariadha mwingine hapo chini ameshika kiuno badala ya kuendelea na jogging!
 
Marathon na barakoa wapi na wapi
Wabongo kwa kulazimisha mambo
Juzi nandy koffie mmelazimisha
Bado hali si shwar mnalazimisha

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Watu wa ajabu sana wao wanangalia pesa tu
Hawana tofauti na wasanii wa bongo fleva

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Maajabu hayotoisha..unavaaje barakoa huku unakimbia.
Wakati wa kukimbia unahitaji oxygen nyingi sana ,sasa unavalishwa barakoa ambayo itakufanya upumue kwa shida.
Nimeliona Sana hili,mtu yuko jogging na barakoa au yuko mwenyewe tu kwenye gari amevaa barakoa.
Kazi kweli kweli.
 
Meya alisema mkoa wake ni salama so kikaoni hataki kuona barakoa kwani vipi tena?
 
Kuna wajinga watakimbia kweli na barakoa ili kumfurahisha jiwe.
 
Si wahairishe tu?
Utakimbiaje na Mask?
Wataanza kuanguka kama kuku sasa.Maana hewa zitawaishia naturally tu.

Na kudanga je
Hizo marathon ni starehe tu na kudangiana
 
Ni jambo la kushangaza sana, watu wanapenda sana Pesa kuliko uhai wa watu.... Misongamano watu hawavai barakoa, hawachukui tahadhari

Ifike wakati mamlaka husika ivalie njuga suala hili kabla ya maafa zaidi

Hii mikusanyiko isiyokuwa na ulazima wowote (inayokutanisha watu wengi) ifutwe
 
Wanataka wauwe watu, sasa ukivaa barakoa halafu unakimbia si utakosa hewa kabisa
Mtoa mada hajafafanua vizuri.matangazo yao ni kuvaa barakoa kabla ya mbio .wakati wa kukimbia wanashauri watu wasivae
 
moto unawaka huku, njooni mkimbie na zirael
 
Watu wenyewe wanavuta kila kukicha

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
hizi ndio taasisi ambazo zinaungwa mkono na wapinzani wa jf na kule twitter[emoji16][emoji16][emoji16].

aliyetoa hili wazo anaumwa corona ya kichwani.
 
Meya wa hilo eneo hataki barakoa
 
Wengi wetu ni kama mang'ombe hatuendi mpaka fimbo(ngoja liwakute jambo ndowataelewa)

Kingsmann
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ