Kilicchotokea beef la leo kati ya pogba na mourinho,kumbe alimfukuza

pogba aje barca tu..maniyu anapoteza muda tu..he doesnt fit there
 
We wa ajabu kweli. Yaani mtu akutrace tu from nowhere.
 
Hata Soudy brown alijiandalia maisha ya kutag page na kuandaa vipindi vya kumsifu kubwa la maadui, ila mwisho wa siku kakaa nyuma ya nondo wiki moja, sasa wewe endelea kujiona uki salama.
 
Anakujaje bila kuuzwa
ishu ya yeye kuuzwa inamuhusu wakala wake mino raiola.. yeye kazi yake kwenda kwenye timu husika na na kutandaza soka sasa wapi nmesema anaondoka halafu asiuzwe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…