KILICHO WAGHALIMU BARCA NA AJAX NI LIGI WANAZOTOKA

KILICHO WAGHALIMU BARCA NA AJAX NI LIGI WANAZOTOKA

Hapa shida mahaba na ligi zenu yamezidi.Point ya mdingi ni kuwa ligi kuu ya England imeboreshwa(imeimprove)katika miaka 7 ilopita tangu chelsea abebe ubora ligi imeongeza nguvu na mvuto,labda ni kutokana na kuongezwa kwa man city na improvement kwenye soka la vijana la England ndio maana hata sasa timu ya taifa ya England ya wakubwa na wadogo inafanya vizuri.
Kipindi cha miaka 7 ilopita ligi iliporomoka hasa liverpool,Arsenal na Man u.Lakin mwaka jana na huu zimerudi kwenye mstari hata ile top 4 haipo bali ni top 6.
Ligi za Italy,Bundersliga,Ligue 1,eredivise na zinginezo zimepunguza ufanisi.
Katika kipindi cha miaka 7 ilopita tuliona man u anafungwa na Bilbao,liverpool anafungwa fainali na sevila,arsenal anafungwa 10-1 na Munich.Lakin kwa sasa hilo haliwezi kutokea.Labda ndio mwanzo wa kurudisha utawala wa EPL na kuzika rasmi utawala wa La liga.
Arsenal hakuwahi kufungwa 10-1 kwa sababu mpira ni dakika 90.
Alifungwa 5-1 na mechi ya pili 1-5.
Msipotoshe umma kwa chambuzi za kipambe kama genge la Sports Bar.
 
EPL NI BORA

- ushindani ni wa hali ya juu tofauti na LA LIGA timu tatu
- kupendwa dunia nzima hakuna kituo kinachorusha bure isipokuwa jmos game moja ambayo hadi EATV WANARUSH
si kama HISPANIA ni bure ambapo AZAM wanaibia wateja pesa
- kuna title race kuna big four race kuna big six rce kuna wanoushuka wakikaza hapo hisipania ishazoeleeka
Barca real atletico (sevila/valencia)

- Mapaka sasa ulaya katika ligi hizo kubwa ndio ligi ambyo bigwa ajapatikana ilihali game imebaki moja moja


Kigezo chako kimoja cha uefa inaonesha huna point za kuitetea la liga

Tunarudia

LA LIGA NI LIGI YA TIMU TATU BORA SIO LIGI BORA
TIMU TATU AZIWEZI FANYA LIGI YOTE KUWA BORA

Mnapozungumzia ushindani nashindwa kuwaelewa kabisa, Man City anakusanya vikombe vyote mezani vya ndani ya nchi, na ligi anabeba kwa mara ya pili mfululizo huku akiweka rekodi za kufunga mabao mengi. Huo Ushindani upo Wapi?
 
Unaweza kuangalia watfod vs wolves kwa dakika tisini.but sidhani kama unaweza kuangalia girona vs alaves kwa dakika tisini. Ni hayo tu....

Mkuu wewe ni EPL fan ndio mana. Kwa wasiokua EPL fans achilia wolve hata Arsenal na Man Utd kuzitizama ni kujichosha. HUjalazimishwa kutizama La Liga tuachie wenyewe tutizame.
 
Kuna Watu wamekuwa wakipinga Sana Kuwa ukiwaambia EPL ni ligi Bora duniani ,,,narudua Kwa herufi kubwa LIGI BORA DUNIANI.... point kuu wanazo Toa wanao pingaga huu ukweli ni Namna tim za Spain zinavyopeta UEFA au zile back to back za Madrid kuchukua UEFA..

Kwa na Namna Fulani wanakua na point japo haina mashiko! tunapo zungumzia ubora wa ligi.....
Ubora wa ligi na ubora wa vilabu shiriki kwenye ligi ni vitu viwili tofauti

KWA MAFANO
Kuna Darasa A na Darasa B,, Darasa A wakwanza na wapili wanapata 90 lakini kuanzia watatu ni 20 kushuka chini mpaka ziro lakini B wao hawapati 90 wapo kwenye 75 lakini Darasa zima Hakuna alie chini ya 70 ...wamefungana na kupishana point...

Kwa wastani B Ndio Darasa Bora..!!
Kwasababu wanafaulu Darasa zima na wanakua na wastani mkubwa Sana japo Hakuna anaepata 90
Hivyo A Lina wanafunzi Bora lakini B ni Darasa bora...

Turudi kwenye Soka Spain Kuna Barcelona na Madrid mbili atletico na Real,Hawa Ndio vipanga wa ligi na Hata atletico nao Kwa siku za hivi karibuni wanakua vibonde

Wooootee waliobaki kuanzia sevila mpaka girona Hakuna anaweza akachalenge UEFA

Kule AJAX ligi ya uholanzi Ndio 0 Kabisa

kinachitokea
Kikosi kinakosa ukomavu timu inapata overconfidence wanajiona mafundi wa dunia Kumbe bado....

Ajax kwenye ligi yao Tayar kashatangazwa Bingwa Barcelona pia ...hyo inashusha Hari ya upambaji Kwasababu tayri timu haina presha ya kutoka kapa ukilinganisha na Liverpool na Tottenham,,,, EPL bado game moja lakini Tottenham Hotspur Kuna uwezekano mwakani asiende UEFA Kwa kukosa top four Pia Liverpool matumaini ya EPL yanaota mbawa kutokana na city kuwa seriously kwahyo automatic Tottenham na Liverpool wana uhitaji kuliko AJAX na Barcelona....

Hata wolvermpton anaweza akachalenge timu yoyote ulaya.. Ila Sio Athletic Bilbao ligi ya uingereza inafanya timu zao ziwe ngumu Sana kutonaka na Kuwa kwao kila mechi fainali.

UEFA CHAMPIONS LEAGUE FINAL
UINGEREZA VS UINGEREZA

EUROPA LEAGUE FINAL
UINGEREZA VS UINGEREZA

LIVERPOOL BACK TO BACK FINALS

COME BACK TATU TENA LWA TIMU BORA
MANCHESTER UNITED KWA PSG
LIVERPOOL KWA BARÇA
TOTTENHAM KWA AJAX

Kama hayo hayatoshi kuifanya EPL kuwa ligi bora basi Hamna ligi bora duniani..

Acha kuongea Pumba, Wakati Barca anwin treble, Real anafululiza 3 champion league Iyo Logic yako inafanya kazi wapi?
 
Ila hii fainali haitakuwa na mvuto sana kama zilizopita.
Timu zilizoingia hasa Totte haina mashabiki wengi duniani kiasi cha kufanya usiku wa fainali watu wasilale.
Wale wote tusioipenda Liver tutakuwa kunasubiri muujiza tu maana inajulikana kabisa wana mpira mzuri kuliko Totte.
 
EPL si ligi bora na ndio maana na were umeshangaa..
Uwezo wenu Mdogo na ndiyo maana wachezaji wenu walioshinda kibahati hizi game mbili ya Jana na juzi wamelia machozi...kwa maana ni ndoto kwao...wakati mwingine mungu anaionea huruma ligi ya EPL..angalau kidogo NATO ipate heshima
Nahisi ligi ya Haji Manara basi itakuwa bora kuliko zote. Mana Simba ndio Bingwa msimu huu.
 
Unaweza kuangalia watfod vs wolves kwa dakika tisini.but sidhani kama unaweza kuangalia girona vs alaves kwa dakika tisini. Ni hayo tu....
anayeweza kuangalia watford vs wolves kwa dakika tisini ni mpenzi (mfuatiliaji wa epl na wale watu wakubet) na vilevile mpenzi wa La liga ((mfuatiliaji wa la liga) kwake ataona bora aangalie girana vs alaves. Kinachoamua hapo ni idadi ya wapenzi wa ligi fulani na wala sio kwavile wolves na watford ni timu bora zaidi ya Alaves na Girona. Epl ina wapenzi wengi duniani kuliko ligi zingine zote duniani.
 
Ata Ajax na Barcelona wangequalify wangelia machozi and Kama hujui Liverpool kaingia hii fainali ya pili mfululizo AJAX wanamiaka zaidi ya 50 wanaiskia tuu.. Kwao kipi kipya zaidi ya machozi ya furaha.... Anyway unatumia kugezo gani kumention ligi bora na isio bora
Sorry mkuu nime google kwa mujibu Wa FIFA no 1 in EPL 2 LA liga 3 serie A 4 bundesliga na 5 ,Ligue 1
 
Spain wametawala ulaya takriban miaka 8 hyo england mwaka 1 tu wanachonga ni bora wangekuwa kama Spain misimu 8 ingekuaje sasa
Nyie England mwakan bebeni tenah ndyo kidogo tutawafikiria
 
Ubora wa ligi na ubora wa vilabu shiriki kwenye ligi ni vitu viwili tofauti

KWA MAFANO
Kuna Darasa A na Darasa B,, Darasa A wakwanza na wapili wanapata 90 lakini kuanzia watatu ni 20 kushuka chini mpaka ziro lakini B wao hawapati 90 wapo kwenye 75 lakini Darasa zima Hakuna alie chini ya 70 ...wamefungana na kupishana point...

Kwa wastani B Ndio Darasa Bora..!!
Kwasababu wanafaulu Darasa zima na wanakua na wastani mkubwa Sana japo Hakuna anaepata 90
Hivyo A Lina wanafunzi Bora lakini B ni Darasa bora...

Turudi kwenye Soka Spain Kuna Barcelona na Madrid mbili atletico na Real,Hawa Ndio vipanga wa ligi na Hata atletico nao Kwa siku za hivi karibuni wanakua vibonde

Wooootee waliobaki kuanzia sevila mpaka girona Hakuna anaweza akachalenge UEFA

1) nitakuona upo sahihi kama huo ubora wa Epl unaupa kwa rejea ya msimu huu na wala sio kwa kutumia rejea ya miaka nane nyuma (2018 kurudi nyuma)

2) kuna vigezo vingi vya kujua ubora wa shule lakini moja ya njia moja wapo ni kuchukua wanafunzi vipanga wa Shule 'A' kwenda kuwashinda na vipanga wenzao wa shule B', C', C, D, nakadhalika. Je ikitoka anayewaongoza woote katoka Shule C' je tutasemaje kuhusu ubora wa shule iliyotoa kipanga bora kwa wote?

3) katika mpira kuna zama (vipindi) kuna kipindi timu za uingereza walikuwa bora zaidi kuliko timu zingine, huwezi kukosa timu 3 za uingereza kwenye robo fainali lakini zama zao zilipita. Waitaliano nao kipindi fulani walikuwa bora kuliko timu zingine huwezi kumkosa Ac milan, intermilan na juventus kwenye robo fainali lakini nao wakapotea.

Kwa miaka takribani nane timu za hispania zimesumbua sana kwenye UEFA na EUROPA kwasababu timu zao zilikuwa bora zaidi kuliko timu zingine. Hata ikikutanishwa timu za Uingereza vs Hispania bado uingereza zilipata tabu.

4)tokea mwaka jana tumeshuhudia kuanza kushuka kwa ubora wa timu za Hispania na pia tumeshuhudia kuanza kupanda kwa ubora kwa timu za uingereza.
Msimu huu timu za Epl zimekuwa bora zaidi kuliko timu zote
 
Wooootee waliobaki kuanzia sevila mpaka girona Hakuna anaweza akachalenge UEFA
Sevilla hiihii iliyowanyoa hao Liverpool kwenye final ya Europa Ligue hapo Basel Switzerland May18th 2016 tena kwa comeback ya 3-1.
Au Sevilla iliyoisambaratisha Man United 2-1 hapo hapo Oldtraford England na kuwatoa hatua ya 16 bora na kumuacha Mourinho akiwa hana lakusema.
Si ndiyo Sevilla hiihii mabingwa wa kihistoria wa Europa Ligue wakiwa wamechukua mara 5 huku wakichukua mara 3 mfululizo au siyo hii? au hii haitoki La liga Spain?
You have to respect your elders.
 
Nasema hivi EPL NI BABA LAO DUNIANI KOTE KWA UBORA.

CR7 kashasepa, Messi age gone na ndiyo wachezaji waliohamasisha sana laliga kuonekana ina ubora lkn haina lolote, yajayo yanafurahisha[emoji87][emoji28]
1) nitakuona upo sahihi kama huo ubora wa Epl unaupa kwa rejea ya msimu huu na wala sio kwa kutumia rejea ya miaka nane nyuma (2018 kurudi nyuma)

2) kuna vigezo vingi vya kujua ubora wa shule lakini moja ya njia moja wapo ni kuchukua wanafunzi vipanga wa Shule 'A' kwenda kuwashinda na vipanga wenzao wa shule B', C', C, D, nakadhalika. Je ikitoka anayewaongoza woote katoka Shule C' je tutasemaje kuhusu ubora wa shule iliyotoa kipanga bora kwa wote?

3) katika mpira kuna zama (vipindi) kuna kipindi timu za uingereza walikuwa bora zaidi kuliko timu zingine, huwezi kukosa timu 3 za uingereza kwenye robo fainali lakini zama zao zilipita. Waitaliano nao kipindi fulani walikuwa bora kuliko timu zingine huwezi kumkosa Ac milan, intermilan na juventus kwenye robo fainali lakini nao wakapotea.

Kwa miaka takribani nane timu za hispania zimesumbua sana kwenye UEFA na EUROPA kwasababu timu zao zilikuwa bora zaidi kuliko timu zingine. Hata ikikutanishwa timu za Uingereza vs Hispania bado uingereza zilipata tabu.

4)tokea mwaka jana tumeshuhudia kuanza kushuka kwa ubora wa timu za Hispania na pia tumeshuhudia kuanza kupanda kwa ubora kwa timu za uingereza.
Msimu huu timu za Epl zimekuwa bora zaidi kuliko timu zote
 
Ata Ajax na Barcelona wangequalify wangelia machozi and Kama hujui Liverpool kaingia hii fainali ya pili mfululizo AJAX wanamiaka zaidi ya 50 wanaiskia tuu.. Kwao kipi kipya zaidi ya machozi ya furaha.... Anyway unatumia kugezo gani kumention ligi bora na isio bora
Ajax kacheza final mwaka 95 kachukua kwa kumfunga Ac Milan 1-0 na mwaka 96 kacheza tena final akafungwa na Juve...acha kubwabwaja njoo na evidence kuna miaka 50 hapo?
 
Back
Top Bottom