Kilichofanywa na Ali Salim dhidi ya Che Malone ni ushamba na ujinga

Ishatokea kwa Petr Cech na Ivanovic...walisukumana nusu ya kuzichapa ila baada ya game mambo yote yanakuwa shwari.Laiti kama mtoa uzi ungekuwa unajua mambo yanayotokea ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo usingetoa post ya kishamba kama hiyo
 
Ishatokea kwa Petr Cech na Ivanovic...walisukumana nusu ya kuzichapa ila baada ya game mambo yote yanakuwa shwari.Laiti kama mtoa uzi ungekuwa unajua mambo yanayotokea ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo usingetoa post ya kishamba kama hiyo

Wewe ndio mshamba

Huyo cech sio ally

Hapa tunazungumzia Ally . Alichofanya sio sahihi na sio salama hata kwa upande wake , ajifunze kubeba responsibility zake

Stop non sense justification

AngewezA kusababisha tukio la aibu pale kama sio busara za malone
Tumia akili yako vema
 
Makocha wangu wote hawakuwahi kuwaelekeza makipa kusukuma mabeki zao kishari.
Ila waliwaelekeza kuongea na Mabeki zao.
Team gani umecheza utotoni mkuu?
Si ndio hapo sasa
 
Yanga utawajua tu mbumbumbu wakubwa,kipa asiyezungumza na kuzingua wachezaji hatakiwi kwenye modern football.Tena haka kajamaa Ndio Tz one ajaye.
Ww naye ni ndina kuna aliye mkataza kuongea hapa?

Ngoja aje aingie kwenye anga mbaya uone atakavyo chakaa.
 
Si ndo hapo sasa sisi tunamshauri dogo kwa faida na usalama wake mwenyewe ili asije kuingia kwenye anga mbaya kwa ajili ya ufala wake.

Yaani alikuwa ana msukuma malone jamaa ana muepuka kwa kurudi nyuma lakini bado dogo ana zidi kumfuata tu na kumsukuma, mm mwenye nilihisi hasira sasa sijui aliye kuwa anasukumwa alikuwa anajihisije.
 
Ni jambo la kawaida

Kipa anafokea mabeki kuwakumbusha hukumushudia Buffon alivokuwa kama simba akiwafokea mabeki

Nimependa passion yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Ally salimu asingekubali kufungwa goli la kmc la tatu aendelee kuwafokea mabeki ni wazembe ikibidi awachape kofi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…