Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 3,359
- 6,568
Ishatokea kwa Petr Cech na Ivanovic...walisukumana nusu ya kuzichapa ila baada ya game mambo yote yanakuwa shwari.Laiti kama mtoa uzi ungekuwa unajua mambo yanayotokea ndani ya vyumba vya kubadilishia nguo usingetoa post ya kishamba kama hiyo