Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
B… bwana acha maneno yako ya Kiswahili hayo.Hii ina-sound kama vile unasema mzazi naye huwa anakosea mara ngapi, mbona wanawe hawachukui fimbo kumtandika bakora.
Ova
Mfano huo unafit vipi hapa?
Ila ujue namkubali sana Malone? Ndiye mchezaji pekee pale Simba nafurahi kumuangalia.
Na katika hili kapandisha daraja lake kwangu 👏🏽👏🏽