Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kuna rank ya kipuuzi iliyotolewa na watu wanaoitwa IFFHS sijui kama nimekosea jina, jamaa hawajui kabisa mpira
Nilivyoona ile list mimi nikajichekea tu, mashabiki wasiokuwa na uelewa wakashadadia kweli kuwa timu yao ni ya 3 kwa ubora Afrika, wakati hata haijawahi kushiriki klabu bingwa kwa miaka 25, v
Imeenda Algeria ikijiamini ni ya 3 kwa ubora Afrika na kucheza kama wao ndio timu bora na CRB ndio underdog, matokeo yake ndio hayo, underdog halisi akajulikana
Sasa hivi wanatamani warudi Shirikisho wakavae tena medali
Nilivyoona ile list mimi nikajichekea tu, mashabiki wasiokuwa na uelewa wakashadadia kweli kuwa timu yao ni ya 3 kwa ubora Afrika, wakati hata haijawahi kushiriki klabu bingwa kwa miaka 25, v
Imeenda Algeria ikijiamini ni ya 3 kwa ubora Afrika na kucheza kama wao ndio timu bora na CRB ndio underdog, matokeo yake ndio hayo, underdog halisi akajulikana
Sasa hivi wanatamani warudi Shirikisho wakavae tena medali