Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Ndiyo maana wapigwa vitatu wanaipenda sana hiyo nambaKuna rank ya kipuuzi iliyotolewa na watu wanaoitwa IFFHS sijui kama nimekosea jina, jamaa hawajui kabisa mpira
Nilivyoona ile list mimi nikajichekea tu, mashabiki wasiokuwa na uelewa wakashadadia kweli kuwa timu yao ni ya 3 kwa ubora Afrika, wakati hata haijawahi kushiriki klabu bingwa kwa miaka 25, v
Imeenda Algeria ikijiamini ni ya 3 kwa ubora Afrika na kucheza kama wao ndio timu bora na CRB ndio underdog, matokeo yake ndio hayo, underdog halisi akajulikana
Sasa hivi wanatamani warudi Shirikisho wakavae tena medali ila ndio hivyo ,
Mbona hata shirikisho mechi ya kwanza Yanga walifungwa ugenini mbili bilaKuna rank ya kipuuzi iliyotolewa na watu wanaoitwa IFFHS sijui kama nimekosea jina, jamaa hawajui kabisa mpira
Nilivyoona ile list mimi nikajichekea tu, mashabiki wasiokuwa na uelewa wakashadadia kweli kuwa timu yao ni ya 3 kwa ubora Afrika, wakati hata haijawahi kushiriki klabu bingwa kwa miaka 25, v
Imeenda Algeria ikijiamini ni ya 3 kwa ubora Afrika na kucheza kama wao ndio timu bora na CRB ndio underdog, matokeo yake ndio hayo, underdog halisi akajulikana
Sasa hivi wanatamani warudi Shirikisho wakavae tena medali ila ndio hivyo ,
Kwa akili yako hii ni kama Shirikisho?Mbona hata shirikisho mechi ya kwanza Yanga walifungwa ugenini mbili bila
Sahihisho: Kapigwa vi 3.Namba 3 kapigwa 3
Shirikikisho yale ni mashindano ya vilaza mkuu,huku sasa ndiyo kiumeniMbona hata shirikisho mechi ya kwanza Yanga walifungwa ugenini mbili bila
Kilicho iponza mikia leo ni nini??Kuna rank ya kipuuzi iliyotolewa na watu wanaoitwa IFFHS sijui kama nimekosea jina, jamaa hawajui kabisa mpira
Nilivyoona ile list mimi nikajichekea tu, mashabiki wasiokuwa na uelewa wakashadadia kweli kuwa timu yao ni ya 3 kwa ubora Afrika, wakati hata haijawahi kushiriki klabu bingwa kwa miaka 25, v
Imeenda Algeria ikijiamini ni ya 3 kwa ubora Afrika na kucheza kama wao ndio timu bora na CRB ndio underdog, matokeo yake ndio hayo, underdog halisi akajulikana
Sasa hivi wanatamani warudi Shirikisho wakavae tena medali
Kwa Mkapa hatoki mtuNa hapo hawajakutana na mamelody waliyoipita kwenye rank za Caf kweli wale ni utopolo.