Mlegezo style we veepeee[emoji15]Mbona wamemvalisha mtoto oversize,
Kila mtu ana nafasi ya kuchagua malezi ya kumpa mwanae,
Mtoto wangu wa kike ataweka dawa kwenye nywele zake baada ya kuondoka kwangu.
Ngoja nikascreen shot insta nitupieNimeangalia zipo nyingi ila za zari hamna[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Shoga huu ubuyu wa uzee wa Zari natafuta pa kuumung'unyia nakosa!Hater wa mwendokasi[emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85]
Ukweli zari kaonekana uhalisia wake! Nadhani hiki kipindi cha ma ishu ya kukutana na kadamnasi huwaga ni kipindi kibaya sana kwake! Visimu mshenzi havina editing vinamtoa kama alivyo...
Tuliomuona Mlimani City tulijionea maajabu!
okayYou cant
sawa basi haya mambo waachie wanadaresalamandiyo, mimi si wa dsm.
Hapana sijapenda walivomsuka mtoto.... Sio msuko wa kitoto uo. Zari angejiremba kawaida angeoendeza san... Niliona vedio aliyoenda kuhojiwa clouds kwa ajil ya hii 40 pake alionekana mrembo sana kuliko hata apa.
Ngoja nikascreen shot insta nitupie
Asante mamy wangu.... Usiangaike ndio nimeona saivi.Ngoja nikascreen shot insta nitupie
Huu mswiba mzito, Kisheria mtoto anapozaliwa hufanyiwa hakika, Hii sherehe ni tukio la kibiashara nashangaa amejaribu kuipa sura ya tukio la kidini kwa kualika madrassa n.k.inna lillahi...!!!
Weee basi navomuonaga najua yupo kama bint wa miaka 12 mwenzenu... Had nikijiangaliaga kwenye kioo najiona me mzee wakat yeye kanizid umrShoga huu ubuyu wa uzee wa Zari natafuta pa kuumung'unyia nakosa!
Yani leo kutwa nzima nimeshika mdomooooo!
Jamani Zari kazeekaje? Uwiiiiiiiii
Na sio leo tu,tokea walipoenda clouds picha zilizua kizaazaa,makeup anajaza usoni lakini wapi!
Looh shkmoo filters.[emoji13] [emoji119]
Jamani Watanzania wabayaaaa!Mmemcheka mama wa watu meno yake hadi kaamua kuweka chuma kwenye meno na uzee wote ule!Na kuna watu wametega camera kutaka kumfotoa hata akiongea loh
unataka kumpangia mtu maisha namna ya kuishi na binti yake!sio kwa tifah tu
Mimi mzazi yoyote anayemsuka rasta bintiye ni mpumbavuuu
Kaongezwa mi foundation na joto hili la Dar basi ikawa iko vibayaHapana sijapenda walivomsuka mtoto.... Sio msuko wa kitoto uo. Zari angejiremba kawaida angeoendeza san... Niliona vedio aliyoenda kuhojiwa clouds kwa ajil ya hii 40 pake alionekana mrembo sana kuliko hata apa.
nimeshushuliwa mwenzio nimeambiwa mpk first world wanasuka
kila mzazi na maamuzi yake
shoga angu tukae kimyaa....
Kaonekana mtu mzima mashavu sijui yameshuka nilivo mwona clouds loh bora anenepe akikonda mashavu ni shidaShoga huu ubuyu wa uzee wa Zari natafuta pa kuumung'unyia nakosa!
Yani leo kutwa nzima nimeshika mdomooooo!
Jamani Zari kazeekaje? Uwiiiiiiiii
Na sio leo tu,tokea walipoenda clouds picha zilizua kizaazaa,makeup anajaza usoni lakini wapi!
Looh shkmoo filters.[emoji13] [emoji119]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Jamani Watanzania wabayaaaa!Mmemcheka mama wa watu meno yake hadi kaamua kuweka chuma kwenye meno na uzee wote ule!
Looooh ndio maana njaa imetukumba,sio kwa laana hizi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaaaaaaa zari ana hela siakayatengeneze tu vzuri maana wabongo nao wakishupalia mapungufu mweeeh hadi maskini Dada wa watu huwa hajiamini lohJamani Watanzania wabayaaaa!Mmemcheka mama wa watu meno yake hadi kaamua kuweka chuma kwenye meno na uzee wote ule!
Looooh ndio maana njaa imetukumba,sio kwa laana hizi!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwani ni sweet 18 mkuu?Kaonekana mtu mzima mashavu sijui yameshuka nilivo mwona clouds loh bora anenepe akikonda mashavu ni shida
samahani kaka....!!!unataka kumpangia mtu maisha namna ya kuishi na binti yake!