Kilichomharibia VUNJABEI ni hiki hapa

Kilichomharibia VUNJABEI ni hiki hapa

Zitto na mnyika ni wakubwa sana 2007 walishakuwa kitaa kwenye siasa.

Hio 2007 ni kakae whozu anaitwa frank ndie aliesoma na Fred.

Fred amenizidi miaka kidogo tu na Mimi nilimaliza advance 2010
We jamaa tunaweza kuwa tunajuana. Mimi pia nimemaliza hapo Advance 2010.Mkonge moja
 
Huyu jamaa nilisoma nae Msolwa ''St Gapare Bertoni'' Morogoro.Watu walimcheka alipofungua fremu yake ya kwanza pale survey. Alivyokuja kutoboa na kuanza kumiliki fremu kubwa washkaji wakataka wapewe discount hadi ya laki sita kwa iphone kisa classmate. Kutoboa bongo inabidi uwe na msimamo aisee. Alll in all god bless this guy
Darasani pia yuko vzuri nae. Maisha yake ya sasa ni stori tu imebaki. Maneno mengi yanaongewa lakini navojua jamaa ni hustler sio poaa anajua kuztafutaa alooo na muonekano wa kibishoo ndio unaeza mdharau kabisa
 
Ulisoma Combination gani maana mi nilifundisha hapo Galanos 2005 hadi 2010. Nilikuwa na Socha Boy na headmaster alianza mwalimu Imma then akaja Mark master.
Galanos penda watoto. Markmaster tulimtimua sisi mwaka 2013 kulitokea mgomo mkubwa sana. Msocha watu walimzimia taa wakampiga sana bwenini. Kulikua na madam Mgina sijawahi kuona mtu anajua watu kama huyu mama shule nzima alikua anatujua. Wakina mwalimu Mziwanda kifupi hivi kinapiga fimbo balaa. Baada ya ule mgomo waliondoka karibu wote ila msocha alibaki mpaka akastafia pale.
 
Ulisoma Combination gani maana mi nilifundisha hapo Galanos 2005 hadi 2010. Nilikuwa na Socha Boy na headmaster alianza mwalimu Imma then akaja Mark master.
Nilisoma EGM. nilimkuta Emma then tukamaliza na Mc Master.

Jamaa alishawahi Tufukuza na pikipiki yake pale karibu na kota za Tanesco usiku tulikuwa tunatoka kuangalia UEFA 2008 hiyo Chelsea anakufa kwa matuta.
 
Jicho la husda ni baya sana,ndugu zangu jifunzeni kucheza chini ukitaka kutoboa katika haya maisha.
 
Jamaa kwenye maduka yake Huwa anauza malonyalonya...nilinunulia jeans nyeusi dukani kwake Dodoma Ile suruali niliigawa mapema
 
Sifahamu ila najua walikuwa wanafunzi wangu na walikuwa wanatoroka sana kwenda majani mapana na wenzake akina Kipesha, Bulldog, John, yule mtoto wa shimbo Geofrey, Amani na wenzake. Walikuwa wanaishi bweni la chai Cube namba 16 na 17.

Nilikuwa nawaomba fimbo hao wakitoroka na kuwahimiza kisha kuwashika mi na mwalimu Msocha.😀😀😀

Hayo ya matokeo siyajui mkuu.
Wewe ndiye lile liticha ulikua na misifa mingi,ulikua unapigisha chemistry?
 
Wewe ndo hujielewi. Ulikuja mjini lini? Unafahamu kama Mnyika alishawahi date Jokate? Mnyika sio mkubwa kiumri.
Una utaahira. Mama ako na baba ako nani mkubwa kiumri?
Mnyika kamaliza form 4 mwaka 1998,kipindi hicho jokate yuko darasa la 5,leo unakuja kuwalinganisha kiumri kweli?uko sawa upstairs kweli we bichwa maji?
 
Una utaahira. Mama ako na baba ako nani mkubwa kiumri?
Mnyika kamaliza form 4 mwaka 1998,kipindi hicho jokate yuko darasa la 5,leo unakuja kuwalinganisha kiumri kweli?uko sawa upstairs kweli we bichwa maji?
Jina "Jojo" la Jokate kalipata kutokana na uhusiano wake wa Mnyika, John $Jokate
 
Una utaahira. Mama ako na baba ako nani mkubwa kiumri?
Mnyika kamaliza form 4 mwaka 1998,kipindi hicho jokate yuko darasa la 5,leo unakuja kuwalinganisha kiumri kweli?uko sawa upstairs kweli we bichwa maji?
Labda kama alisoma shule inayomilikiwa na mamako. Jokate kamaliza darasa la 7 mwaka 1999 akachaguliwa Msalato ila akaenda St Anthony. Mnyika bado mdogo kulinganisha na kina Zitto.
 
Vunja bei ana shida, kinachokuja kumkuta ni kikubwa, namshauri aache mara moja kutumia mashine za EFD za wafanyabiashara wadogo kwenye maduka yake ya sinza kukwepa kodi
Shida kubwa ya vunja bei anataka kuvuna tu hataki kurudisha kwa jamii sikumbuki ni lini huyu jamaa katoa misaada sehemu Fulani ajifunze kwa waarabu wanaotoa kila siku lakini kila siku wanazidi kuongeza mali
 
Back
Top Bottom