Kilichomkuta huyu dada naamini hatosahau maisha yake yooote.

Kuna mtu aliniambia wanandoa ndo wanaongoza kwa umbea.. sasa ndo naanza kuamini!!
Ukiwa na mke huwezi kukwepa umbea ikiwa utamfanya mkeo pia ni rafikiyo, la uwe mkatili kwake ndo hatopata mood ya kukupa habari za kitaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…