The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Huyo jamaa ni mshamba sana,kama mim ndiyo ningekuwa bosi wake hapo hapo ningempa barua ya onyo kali anatumia rasilimali zangu vibaya(vifaa na umeme)Uone mpenz wako ana chart na danga jipyaaa na ukasoma notes zote unadhani utakuwa ktk hali ya kawaida
Au namtimua tu ili akaombe kazi vizuri akiwa hana kazi