Kilichomkuta rafiki yangu kazini kwake

Kilichomkuta rafiki yangu kazini kwake

Dogo si useme tu kuwa ni wewe!

Hakuna sababu ya kuishi kwa hofu, timiza majukumu yako, hakuna sababu ya kuomba msamaha wowote maana si kosa kutafuta kazi unapohitaji kufanya hivyo, mwisho endelea kusaka kazi uitakayo kwa bidii...
 
Kwanini asiandike hiyo barua akiwa nyumbani kwake,boss kamaindi jamaa kutumia muda wa kazi kufanya shughuli binafsi
 
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Rafiki yako amekosea sana! Kwasababu alitumia mda wa kazini, ambao analipwa kufanya mambo yake binafsi. Nadhani ni “utovu wa nidhamu ya kazi”.

Zaidi ya hapo, mkuu wake ameona anafanya hiki kitendo, moja kwa moja,atakuwa anajua,sio mtu wa “kutegemewa” tena hapo ofisini maana mda sio mrefu anaweza kuondoka. Hii inaweza kukupunguzia chances za promotion hapo baadaye,maana hakuna umuhimu kuku promote kama wanajua hautakuwa hapo mda mrefu!

ni vizuri kuwa “honesty “ kama akiulizwa.maana paka boss amemwambia anajua,Inawezekana amekuwa anafanya “monitoring “ kama unavyo jua sio kitu kigeni boss wengi kufanya hii remotely kwa computers na simu za ofisini.

Mwambie akae kimya,aongeze juudi za kazi kuondoa mashaka. Kama akiulizwa awe mwazi itasaidia. Hachaneni na mambo ya ujanja ujanja na mwongo,meisho ni hatari
 
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Amwambie boss wake wa sasa ongeze maslahi
 
Wewe ndo huyo
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
rafiki yako unaemuongelea, usikondee mzee wee piga kazi na pia upige maombi uko ulikoba kampuni B upate
 
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Mbona huyu kama ni wewe mwenyewe?
 
Mwanaume anatikiswa na kajambo kadogo hivyo!!!
Amevunja katiba ya nchi?
Amevunja kanuni za mkataba wake wa kazi?
Kama aliijiriwa bila mkataba sawa lakini kama ana mkataba anaogopa nini?
Mimi nimeandika barua za kuomba uhamisho mara kadhaa na nampelekea bosi asaini. Nikikosa maisha yanasonga, akikataa kusaini napiga Saini napiga muhuri maisha yanasonga
Ahaa wewe kweli mwamba
 
Rafiki yako amekosea sana! Kwasababu alitumia mda wa kazini, ambao analipwa kufanya mambo yake binafsi. Nadhani ni “utovu wa nidhamu ya kazi”.

Zaidi ya hapo, mkuu wake ameona anafanya hiki kitendo, moja kwa moja,atakuwa anajua,sio mtu wa “kutegemewa” tena hapo ofisini maana mda sio mrefu anaweza kuondoka. Hii inaweza kukupunguzia chances za promotion hapo baadaye,maana hakuna umuhimu kuku promote kama wanajua hautakuwa hapo mda mrefu!

ni vizuri kuwa “honesty “ kama akiulizwa.maana paka boss amemwambia anajua,Inawezekana amekuwa anafanya “monitoring “ kama unavyo jua sio kitu kigeni boss wengi kufanya hii remotely kwa computers na simu za ofisini.

Mwambie akae kimya,aongeze juudi za kazi kuondoa mashaka. Kama akiulizwa awe mwazi itasaidia. Hachaneni na mambo ya ujanja ujanja na mwongo,meisho ni hatari
ushauri mzuri sana nitamfikisha
 
Kuingia saa moja asubuhi kutoka saa 1 na nusu jioni 🤔
Mambo mengine unafanya saa ngapi mkuu?

Turudi kwenye mada
Kuomba kazi sehemu nyingine sio kosa, kutafuta nafasi nzuri zaidi ni wajibu wake. Aache kuwaza kuhusu boss wake.

Asijisaliti nafsi yake na familia yake kwa kumuogopa boss ambaye nae anaweza kuacha kazi akaende sehemu nyingine au kama ni founder akafungua nyingine na hapo akaacha mwingine.

Kama boss anamuelewa amuongezee msharaha na kumpunguzia masaa ya kazi hayo aweze kufurahia hata huo msharaha 😂😂

Otherwise apige kazi akisikilizia mchongo wake aache kujishtukia.
Bonge la ushauri nitampa aipitie hii comment yako
 
  • Thanks
Reactions: I M
hiyo ndio ile dhana uoga wako ndio umaskini wako ndio inamtafuna huyo muungwana.....

nidhamu ya uoga inafanya anakua mtumwa mwa bosi wake, dah umaskini mwingine ni mzigo sana aise.....

wakati wengine tunatuma maombi ya kazi na tunaenda hadi kwa boss atusainie kabisaa ili kuambatanisha na ridhaa ya ofisi kabisa kwenye maombi ya kazi, yeye anaogopa kukutwa tu anatuma maombi, kweli?

uoga gani huo wa kinyonge hivyo? au hana elimu kwamba akitoka hapo hawez kuajiriawa wala kupata kazi kwingine, na hawezi kufanya kitu kingine kumuongezea kipato?

tafadhali sana,
nenda umueleze akamalizie kutuma hiyo application mara moja, mwambie na jana kuna ajira mpya zimetoka asiache kuaply akiwa hapo hapo ofisini, sawa?🐒

Boss akimwambia chochote ananiambie...

na sasa,
nawaombea Baraka na Neema za Mungu katika yote, awaondolee roho ya hofu na nidhamu ya woga, awavishe Roho ya ujasiri na kujiamini katika hali zote daima,
kwa Jina la Baba Mwana na Roho Mtakatifu, Aimen🙏
Amina umemalizia na sala kabisa na jamaa alikuwa anaapply hizi za utumishi,naona mkuu wa kazi kamind sana
 
Dogo si useme tu kuwa ni wewe!

Hakuna sababu ya kuishi kwa hofu, timiza majukumu yako, hakuna sababu ya kuomba msamaha wowote maana si kosa kutafuta kazi unapohitaji kufanya hivyo, mwisho endelea kusaka kazi uitakayo kwa bidii...
Ushauri mzuri sana👏
 
Sasa hapa jamaa aishije maana ishaonekana ana mpango wa kuondoka mbaya zaidi boss wake kajua na hajapata bado sehemu ya kwenda
Hapo afanye majukumu yake kama kawaida.
Kama boss atamwona potential ataanza kumpa vi offer ili asiwaze kuondoka. Bosi asipobadilika asijali. Apige kazi huku akifukuzia ajira kana kwamba mtu ambaye hana ajira.
Hilo lililomkuta ni just catalyst, afurahie maisha.
Binafsi naona mwanga mbele yake
 
Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.

Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.

Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁

Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.

Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Utaachaje kazi ukiwa huna kazi ...La msingi awe mpole tu na apambane tu akifanya maombi katika Kampuni hio nyingine
 
Hapo afanye majukumu yake kama kawaida.
Kama boss atamwona potential ataanza kumpa vi offer ili asiwaze kuondoka. Bosi asipobadilika asijali. Apige kazi huku akifukuzia ajira kana kwamba mtu ambaye hana ajira.
Hilo lililomkuta ni just catalyst, afurahie maisha.
Binafsi naona mwanga mbele yake
Amina mkuu
 
Sikupata ,na uzuri wa haya mashirika ya kimataifa wanakuambia kwa email kwanini hujapata ,Kigezo ilikuwa uzoefu kazini wao huhitaji 7+ yrs’hapo ndio walinizingua na kazini nilirudi kimya namajukum yakaendelea wala sijawahi kuilizwa , nngejibu nlikuwa nasearch green pasture 😁
Kwa hiyo uliyopo ni Red pasture?
 
Back
Top Bottom