The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Huyo jamaa ni mshamba sana,kama mim ndiyo ningekuwa bosi wake hapo hapo ningempa barua ya onyo kali anatumia rasilimali zangu vibaya(vifaa na umeme)Uone mpenz wako ana chart na danga jipyaaa na ukasoma notes zote unadhani utakuwa ktk hali ya kawaida
Mwamba afadhali umerudisha Avatar picha yako. Ila shem alizingua kichiz kukubania kuweka avatar picha.Kwa jinsi ulivyomulezea huyo rafiki yako inaonesha kabisa Huyo jamaa mwenyewe ndio wewe, lakini hamna baya hapo labda boss wako tu awe na roho ya mbaya
Mwambie "mind your own business" yaani amwone huyo boss kama hamwoni!Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.
Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.
Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁
Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.
Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Kuna ujumbe wako pmsungura wangu wanakufa tu sijui shida nini
Jamaa yako hana kosa lolote na yupo hapo kwa ajili ya kuitafuta kesho yake na kama ingekuwa boss hamkubali kiutendaji kazini nafikiri angeshamtafutia vijisababu kwani inaonekana hiyo ni kampuni binafsi thats why hata wanawafanyisha masaa mengi.Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.
Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.
Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁
Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.
Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁
Aache kujipa pressure za bure anaondoka kwenda wapi? Yeye akaze buti afanye kazi mpaka mwajili ajiulize mara mbilimbili na wakati huo huo akiendelea kutafuta fursa kwingine.Sasa hapa jamaa aishije maana ishaonekana ana mpango wa kuondoka mbaya zaidi boss wake kajua na hajapata bado sehemu ya kwenda
Amwombe msamaha kwa kosa lipi??Sasa afanyaje hapa akaombe msamaha kwa mwajiri wake ama??
Huyo boss ni masikini kifikra kama wajinga wengine, kutumia computer ya ofisi ka mind kihivyo sasa wangekutana naye mitaani huko akipeleka hizo barua zake kwa gari ya ofisi ingekuwaje?? Angemfungulia jarada la uhujumu uchumiMakosa ya kipuuzi alifanya kwa kutaka dezo ya kompyuta ya ofisi.Amegeuka kua kama muhalifu aliyeacha ushahidi eneo la tukio.An alibi!
Automatically huyo BOSS wako apewe maua yake, yuko vizuri thats why hata hayo mashirika ya kimataifa yamamshirikisha kwenye interview zao. Na amini pasi na shaka kuwa kama ungekizi vigezo asingekubania kupata nafasi hapo.Siku moja nliaga kazini kwenda kwenye matatizo binafsi ya kifamilia ,kama ilivyo sheria za kazi inaruhusiwa kumbe nmetarget kuiwahi imterview ya shirika moja la kimataifa huko unalipwa kwa umate umate wa dollars 😂, bana kufika kwenye oral interview na mahojiano pap boss wqngu huyu hapa yuko kwenye panel ya wasaili !!, Nilifanya lakini hajawahi niuliza kitu mpaka sasa na maisha yanaendelea , uwoga hautasaidia Kumbukeni ,You have family to feed ,and not community and bosses to impress!
Unatumia vipi muda na kompyuta za kampuni moja kufanyia maombi kwenye kampuni nyingine?Rafiki yangu mmoja kanipa kisa chake kaomba nimshauri nimemwambia anipe muda nikakumbuka wazee wa busara wako hapa nitashare kisa chake ili nipate hoja imara za kumshauri.
Rafiki yangu huyu anafanya kazi katika kampuni Z. Juzi akiwa kazini kwake ambako wanaingia saa moja asubuhi na kutoka saa moja na nusu jioni. Akiwa na kompyuta ya kazini kwao aliona tangazo la kazi sehemu basi bhana akataka kutuma maombi ya kazi maana aliona huko wanamaslahi bora kuliko alipo.
Akiwa katika harakati za kuandika barua ya kuomba kazi kampuni B, mwajiri wake wa kampuni Z si akamfuma akamwambia tu naona unafanya ma application ya kazi, jamaa kwa hofu na mshtuko akakaa kimya😁
Sasa jamaa yangu huyu hana raha tena maana mwajiri wake wa kampuni Z anaonekana kummind sana sasa hivi hata akimsalimia hajibiwi, kiufupi jamaa yangu kaonekana kama msaliti anasema boss wake hamchangamkii tena kama mwanzoni hapa anauliza aache kazi ama afanyaje.
Napokea mawazo wakuu ili nikampe namna ya kushinda hiyo pressure😁