Kilichomkuta rafiki yangu kazini kwake

Uone mpenz wako ana chart na danga jipyaaa na ukasoma notes zote unadhani utakuwa ktk hali ya kawaida
Huyo jamaa ni mshamba sana,kama mim ndiyo ningekuwa bosi wake hapo hapo ningempa barua ya onyo kali anatumia rasilimali zangu vibaya(vifaa na umeme)
Au namtimua tu ili akaombe kazi vizuri akiwa hana kazi
 
Awe na wasiwasi kama;
  • Barua ya mambo inatakiwa kupitishwa na Mwajiri wake huyo kama ilivyo serikalini.
  • Kama huyo mwajiri wa sasa atatakiwa kutoa maoni yake kwa mwajiri mpya( anaweza kumsagia kunguni).
Kama hayo hapo juu jayapo,Hana jaja ya kuwa na wasiwasi,aendelee kuomba.
 
Kwanza uwa mnajiona kama vile Jf mabosi wenu hawawezi kuwa members umu?
 
Kwa jinsi ulivyomulezea huyo rafiki yako inaonesha kabisa Huyo jamaa mwenyewe ndio wewe, lakini hamna baya hapo labda boss wako tu awe na roho ya mbaya
Mwamba afadhali umerudisha Avatar picha yako. Ila shem alizingua kichiz kukubania kuweka avatar picha.
 
Mwambie "mind your own business" yaani amwone huyo boss kama hamwoni!
 
Kwani mkisemaga ni nyinyi kuna shida gani? Yan ishu ya rafiki yako uje uombe ushauri JF?
 
Jamaa yako hana kosa lolote na yupo hapo kwa ajili ya kuitafuta kesho yake na kama ingekuwa boss hamkubali kiutendaji kazini nafikiri angeshamtafutia vijisababu kwani inaonekana hiyo ni kampuni binafsi thats why hata wanawafanyisha masaa mengi.
 
Sasa hapa jamaa aishije maana ishaonekana ana mpango wa kuondoka mbaya zaidi boss wake kajua na hajapata bado sehemu ya kwenda
Aache kujipa pressure za bure anaondoka kwenda wapi? Yeye akaze buti afanye kazi mpaka mwajili ajiulize mara mbilimbili na wakati huo huo akiendelea kutafuta fursa kwingine.
 
Makosa ya kipuuzi alifanya kwa kutaka dezo ya kompyuta ya ofisi.Amegeuka kua kama muhalifu aliyeacha ushahidi eneo la tukio.An alibi!
Huyo boss ni masikini kifikra kama wajinga wengine, kutumia computer ya ofisi ka mind kihivyo sasa wangekutana naye mitaani huko akipeleka hizo barua zake kwa gari ya ofisi ingekuwaje?? Angemfungulia jarada la uhujumu uchumi
 
Automatically huyo BOSS wako apewe maua yake, yuko vizuri thats why hata hayo mashirika ya kimataifa yamamshirikisha kwenye interview zao. Na amini pasi na shaka kuwa kama ungekizi vigezo asingekubania kupata nafasi hapo.
 
Unatumia vipi muda na kompyuta za kampuni moja kufanyia maombi kwenye kampuni nyingine?

Unaelewa kuwa mwenye kampuni anaruhusiwa ku monitor computer zake za kazini?

Tumia computer yako na muda wako kufanya hizo application kivyako nje ya sehemu ya kazi.
 
Shida iko wapi...? Amalizie maombi kwanza akipata kazi aende ila aondoke kwa wema kabisa na akikosa abaki asubir kufukuzwa kama kweli kamaindiwa kikubwa asibadili mienendo yake ya uchapakaz Boss hawez kumtosa ikiwa ni productive.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…