Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Mkungunero

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2023
Posts
401
Reaction score
569
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii. Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
 
Yule ibilisi aliharibu akili za watanganyika wengi.
Mpaka kesho utawasikia wanamtaja angekuwa Jiwe, angekuwa Jiwe.
Ngoja na huyu Bibie ajivutevute katika kutupa KATIBA MPYA atakuja tena mtu dizaini ile na hii Katiba 77 itampa nguvu tutaanza kulia tena na kusaga meno.

Nadhani Kinana na Nape na wengineo wengi bado wanakumbuka sisi Wapinzani bado hatujasahau.
 
Ngoja na huyu Bibie ajivute katika kutupa KATIBA MPYA atakuja tena mtu dizaini ile na hii Katiba 77 itampa nguvu tutaanza kulia tena na kusaga meno.

Nadhani Kinana na Nape na wengineo wengi bado wanakumbuka sisi Wapinzani bado hatujasahau.
Huyu mama atuachie katika mpya ili tusije pata zimwinlingine tena kama lile
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Huoni nchi inaangamia umeme umezimika majizi kama nyie mnahongwa Kuja kutupigia kelele vitu vimepanda bei kupe ni wengi isipime vijana wa Pwani vilaza wala mihogo ya pilipili na wapaka hinaa mtuambie nini nyie nchi imewashinda wekeni mbali kabisa ujinga wenu wa kutuharibia nchi kwa kuhongwa hongwa hovyo nyambaaaf
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
limtu kama wewe ndiyo yaliyokuwa yanapata zero darasani
 
Hata vitu alivyofanya vilikuwa vinaonekana kuliko nyie mmejaza wapigaji wanajitafunia nchi kwa urefu wa kamba zao.

Kuna fry over ya ubungo. Wengine watakuja lile daraja. Mmeshindwa nini nyie kutengeneza madaraja kama hayo manne tu mbeya mawili mafiat na uyole,kwanza,morogoro. Wanaosema madaraja wamefeli pia ona ilivyoipendezesha dar.
2. Barabara ile ya kimara. Kumbuka foleni ilivyokuwa kabla hajaitanua hiyo barabara.
3. Barabara kufungua mkoa kwa mkoa kuingilika kwa barabara.
4. Alirudisha uwajibikaji ofisi za Umma. (Ona sasa unaingia ofisi ya Umma kama huna mkono mrefu hawana habari kipindi chako kulikuwa na hofu.
5. Alidhibiti utafunaji mali za Umma. Lakini siku hizi wale kwa urefu wa kamba zao.
6. Umeme ulishaanza kuwa historia kukatikatika mpaka wengi waliuza magerator yao ksbb yalikosa kazi. (Ona sasa umeme umetia fora ukatikaji toka Tz ipate Uhuru.
7. Alipunguza gharama za ulipaji huduma za umeme kwa kwa kiwango kikubwa ili kila mmoja mpaka masikini awe na hiyo nishati. (Ona alivyoondoka tu kuingiza umeme bei juu sana,imekuwa ni anasa,imebaki kwa matajiri.
Ni mengi mazuri yake kuliko mapungufu. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa kuoanisha Kwanza mazuri ndipo muunganishe na mabaya,na mlinganishe na yanayoendelea sasa .
=}mapungufu yake ni machache kama kuminya democracy. Lakini vinginevyo mwamba angetusogeza sana sana kwa Tanzania hii ilimhitaji sana sana kiongozi wa namna ile.
MWISHO ALISEMA IMEKWISHA MTANIKUMBUKA.
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Kwahili nakuunga mkono ...Mh Samia yupo tayari kuiunganisha nchi , mtu wa haki na usawa shida kubwa ipo amerithi mfumo wakikatili aliucha marehemu ....hawezi kuufuta moja kwa mojo ...wanaweza kumkill
 
Hata vitu alivyofanya vilikuwa vinaonekana kuliko nyie mmejaza wapigaji wanajitafunia nchi kwa urefu wa kamba zao.

Kuna fry over ya ubungo. Wengine watakuja lile daraja. Mmeshindwa nini nyie kutengeneza madaraja kama hayo manne tu mbeya mawili mafiat na uyole,kwanza,morogoro. Wanaosema madaraja wamefeli pia ona ilivyoipendezesha dar.
2. Barabara ile ya kimara. Kumbuka foleni ilivyokuwa kabla hajaitanua hiyo barabara.
3. Barabara kufungua mkoa kwa mkoa kuingilika kwa barabara.
4. Alirudisha uwajibikaji ofisi za Umma. (Ona sasa unaingia ofisi ya Umma kama huna mkono mrefu hawana habari kipindi chako kulikuwa na hofu.
5. Alidhibiti utafunaji mali za Umma. Lakini siku hizi wale kwa urefu wa kamba zao.
6. Umeme ulishaanza kuwa historia kukatikatika mpaka wengi waliuza magerator yao ksbb yalikosa kazi. (Ona sasa umeme umetia fora ukatikaji toka Tz ipate Uhuru.
7. Alipunguza gharama za ulipaji huduma za umeme kwa kwa kiwango kikubwa ili kila mmoja mpaka masikini awe na hiyo nishati. (Ona alivyoondoka tu kuingiza umeme bei juu sana,imekuwa ni anasa,imebaki kwa matajiri.
Ni mengi mazuri yake kuliko mapungufu. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa kuoanisha Kwanza mazuri ndipo muunganishe na mabaya,na mlinganishe na yanayoendelea sasa .
=}mapungufu yake ni machache kama kuminya democracy. Lakini vinginevyo mwamba angetusogeza sana sana kwa Tanzania hii ilimhitaji sana sana kiongozi wa namna ile.
MWISHO ALISEMA IMEKWISHA MTANIKUMBUKA.
Maendeleo

Chato Airport
Chato CRDB
Chato TRA
Chato Hospital
Chato Burigi
n.k

Ukatili
Ben Sanane
Azaryo
Tundu Lissu kutwangwa risasi
n.k

Kweri tutamkumbuka
 
chombo gani utawala huu kimeruhusiwa kuandika matusi ?

Au achilia mbali matusi. Uhuru tubwa kawaida wa kukosoa, ni chombo gani kimeruhusiwa kuwa huru na huwa kinamchana Rais hewani ?

Taja kimoja
Mdude kila siku anatukana kupitia twita na popote pale hajapotezwa. Ingekuwa enzi zile tubgekuwa tunaongra mengine. Hata slaa Sasa hivi anatukana tu anvyojisikia
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Pumbafu vitu vyake vinaonekana sio kama sasa miradi haikamiliki na inayokamilika Haina kiwango Magufuli was the best president sasa mnalamba asali ndio maana mnasifi Kila kitu.
 
Back
Top Bottom