Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Kilichompaisha jamaa ni kelele nyingi na kuminya vyombo vya habari tu la sivyo hamna kitu alichofanya

Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Leo lazima mwewe akule
 
Maendeleo

Chato Airport
Chato CRDB
Chato TRA
Chato Hospital
Chato Burigi
n.k

Ukatili
Ben Sanane
Azaryo
Tundu Lissu kutwangwa risasi
n.k

Kweri tutamkumbuka
Utakuwa mgonjwa wewe. Uwe kiongozi uache kwako kusiwe hata na hospital?. Au hujasikia sasa Zanzibar inavyokimbizwa kwenye maendeleo?. Hujasikia bandari za bara ziuzwa,lakini za Zanzibar siziguswe?.
Hizo za chini ndio mengine nimesema mapungufu
 
Aliyepita alisaidiwa na kelele nyingi kila anapoenda anawapiga fix wananchi kwa mbwembwe nyingi wakabaki wanamuomba yeye tu. Si unajua wananchi wanavyopenda kuongopewa mbaya zaidi ukienda na strategy ya kutumbua tena hadharani hivyo wananchi wanapenda ili tu kumkomoa mwingine afanane nao kwa umaskini.

Ila ki ukweli hamna kitu kilichofanyika ukilinganisha na awamu hii.

Bahati nzuri yake alivinyima fursa vyombo vya habari kuandika chochote kama vinavyofanya Sasa hivi ambapo hata matusi vinaandika.

Mbaya zaidi pia mikutano ya siasa akaipiga teke ili tu yeye ndo abaki anaupiga siasa peke yake kwa hiyo wanachi hawakupata kabisa fursa ya madudu yake wakabaki wanasifia tu anayekosoa anapotezwa mazima ikabaki ni wogo nchi nzima mpaka ukiwa kwenye daladala unaonywa na watu usiongelee siasa vinginevyo utapotea. Tukawa tunaogopana sisi kwa sisi.
Nenda pale Ubungo ukapae. Unadalili za kichawi.
 
Hata vitu alivyofanya vilikuwa vinaonekana kuliko nyie mmejaza wapigaji wanajitafunia nchi kwa urefu wa kamba zao.

Kuna fry over ya ubungo. Wengine watakuja lile daraja. Mmeshindwa nini nyie kutengeneza madaraja kama hayo manne tu mbeya mawili mafiat na uyole,kwanza,morogoro. Wanaosema madaraja wamefeli pia ona ilivyoipendezesha dar.
2. Barabara ile ya kimara. Kumbuka foleni ilivyokuwa kabla hajaitanua hiyo barabara.
3. Barabara kufungua mkoa kwa mkoa kuingilika kwa barabara.
4. Alirudisha uwajibikaji ofisi za Umma. (Ona sasa unaingia ofisi ya Umma kama huna mkono mrefu hawana habari kipindi chako kulikuwa na hofu.
5. Alidhibiti utafunaji mali za Umma. Lakini siku hizi wale kwa urefu wa kamba zao.
6. Umeme ulishaanza kuwa historia kukatikatika mpaka wengi waliuza magerator yao ksbb yalikosa kazi. (Ona sasa umeme umetia fora ukatikaji toka Tz ipate Uhuru.
7. Alipunguza gharama za ulipaji huduma za umeme kwa kwa kiwango kikubwa ili kila mmoja mpaka masikini awe na hiyo nishati. (Ona alivyoondoka tu kuingiza umeme bei juu sana,imekuwa ni anasa,imebaki kwa matajiri.
Ni mengi mazuri yake kuliko mapungufu. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni kwa kuoanisha Kwanza mazuri ndipo muunganishe na mabaya,na mlinganishe na yanayoendelea sasa .
=}mapungufu yake ni machache kama kuminya democracy. Lakini vinginevyo mwamba angetusogeza sana sana kwa Tanzania hii ilimhitaji sana sana kiongozi wa namna ile.
MWISHO ALISEMA IMEKWISHA MTANIKUMBUKA.
Achana na hao. Kila wakijaribu wanadumbukia.
 
16538044797770.jpg
 
Utakuwa mgonjwa wewe. Uwe kiongozi uache kwako kusiwe hata na hospital?. Au hujasikia sasa Zanzibar inavyokimbizwa kwenye maendeleo?. Hujasikia bandari za bara ziuzwa,lakini za Zanzibar siziguswe?.
Hizo za chini ndio mengine nimesema mapungufu
Wewe nimpumbavu na mjinga ...kwanza lQ yako ni finyi ....sasa wewe ni lini utakuwa raisi ukajenge kwenu?? nchi watu wamo 60M+ ,hatutaki upendeleo...cake ya nchi nayawote ....kenge mpuuzi wewe.
 
Back
Top Bottom