Tetesi: Kilichomponza Balozi Adadi Rajabu hiki hapa

Tetesi: Kilichomponza Balozi Adadi Rajabu hiki hapa

Angalia vizuri walioteuliwa, vijana wote wenye umri wa miaka 20+ wenye shule na waliogombea na kupata kura chache wamepitishwa kugombea lengo ni kuweka damu changa katika system za chama, CCM haiwazi uchaguzi wa 2020 inawaza pia wa 2030.
CCM inawaza uchaguzi wa 2020 kuliko chochote kwa mtukufu anaogopa akitoka ikulu ataweza kuondolewa kinga kama kule malawi walivyofanya, yupo tayari hata kumeza watu ili mradi arejee ikulu kulinda kinga yake ili mwaka 2025 apachike mtu ambaye atailinda kinga yake na madhambi yake yote
 
Kama akiamua kwenda upinzani atashinda mchana kweupe.Shida ni kuwa anaweza kwenda upinzan afu akajiuzulu.Yakaanza kutokea yale ya kina luwasa na Simaye
Adad Rajab hawezi kwenda popote kwani akifanya hivyo ajue mtukufu atamwandama watambambikia kesi kibao za uhujumu uchumi afungwe aoezee jela.
 
Mwakymbe hajasoma, tangu siku alipoyakana yaliyomo kwenye tafiti iliompa PhD, kielimu alijifuta.
Wanaojiita wasomi huko CCM wengi ni wasomi feki feki waliiba mitihani wamenunua vyeti, kipimo cha Usomi huwa ni busara weledi na hekima ya mtu, hivyo vyote hawanavyo wanaojiita wasomi huko CCM.
 
Elli Mshana,

Adadi mpuuzi kwa CV yake akiwa polisi hadi ukamishna alikuwa na cv ya tuhuma kibao cjui hata CCM walimtoa wapi kuingia bungeni, ukiwa polisi ni polisi tu you don't change ur no. into a name again, sasa awaongoze hao vibaraka namna ya kukamatwa na yeye ajiunge nao
 
Wanapaharibu sana na matokeo yake wengi humu watakimbilia Twitter na kulowea kule kama hawataachana na huu uminywaji wa habari nyeti.

Kuna uzi wa Kigogo alivyoamsha dude Twitter leo umefutwa kufumba na kufumbua.
 
Adadi mpuuzi kwa CV yake akiwa polisi hadi ukamishna alikuwa na cv ya tuhuma kibao cjui hata CCM walimtoa wapi kuingia bungeni, ukiwa polisi ni polisi tu you don't change ur no. into a name again, sasa awaongoze hao vibaraka namna ya kukamatwa na yeye ajiunge nao
Pamoja na ile ya kiwanda cha madawa ya kulevya iliyosababisha apewe ubalozi SA kwa muda.
 
Angalia vizuri walioteuliwa, vijana wote wenye umri wa miaka 20+ wenye shule na waliogombea na kupata kura chache wamepitishwa kugombea lengo ni kuweka damu changa katika system za chama, CCM haiwazi uchaguzi wa 2020 inawaza pia wa 2030.
Taletale Ana shule gani? Au kibajaji lusinde?
 
Muacheni former DCI apumzike JPM keshasema hafukui makaburi. Anataka kuendelea kuwatumikia Watanzania basi.
 
Adadi tu mwenyewe aamue, tunajua Adadi ni mtu wa system na ni mtu anayeheshimu system na kuitekeleza. Atavumilia na kuyakubali maamuzi ya dhulma haya.

Ila adadi akiamu kujiunga na chama chochote cha upinzani hata chauma, bora mgombea ni yeye basi anachkua jimbu bila shida yoyote, hata wakija akina Magu, kikwete na Kinana ambao wanaheshimika na kukubalika, kumfanyia campaign huyu aliye chaguo lao, Adadi ataibuka kidede.

Hawa hawatujui wanabonde, sisi tu watu wa heshima, wapole lakini hatupendi kiburi na dhuluma.
 
Daah hizi hasira hizi. Ila hongera kwa kuonyesha utu na natamani sana Chadema wamsimamishe jimboni Muheza. Hata baadaye akija kuunga mkono juhudi potelea pote. Ameonyesha utu dhidi ya wenye kuleta mauti.

 
Adad Rajab hawezi kwenda popote kwani akifanya hivyo ajue mtukufu atamwandama watambambikia kesi kibao za uhujumu uchumi afungwe aoezee jela.
Ni kweli kabisa.Watu wataogopa kuhama saivi.Ila wakibak naamini watapewa majukumu mengine
 
Back
Top Bottom