Kilichomponza Diamond ni hiki

Kwa mujibu wa Mzee Zuma ilimsaidia kujiokoa na ngoma....nawasihi vijana, AIDS. is real
 
Na ndo tunalenga ndani na ni hit
 
To be honest Wimbo wa Diamond unaoitwa Baba lao ni wimbo mbovu saaana, unaweza ukatoa back to back Ila kama Ngoma ni Kali wala hamna taabu , kumbe idea ya Kiba inaweza ikawork ,unatoa Ngoma moja lakn ya ukwel, mshumaaa ni bonge la pini,
May be kwako but BABA LAO ni more than pin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…